Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,555
- 2,216
Naskia alikuwa mwalimu wakeMpaka sasa Bwana Emma anashikilia usukani. 25 yrs kazidiwa na mkeweView attachment 2052771
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naskia alikuwa mwalimu wakeMpaka sasa Bwana Emma anashikilia usukani. 25 yrs kazidiwa na mkeweView attachment 2052771
[emoji16][emoji16][emoji16]Tatizo si tunaangalia matako
Uyu jamaa nadhan kwenye uchaguzi wanwake wore walimpigia kura.
AISEE jamaa ni mwanamapinduzi kwelikweli[emoji4]
watu hawajui tu siri!! hawa wadada wakubwa safi sana wanajiheshimu halafu watunzaji wazuri wa fegha! siri bahati nk! halafu mwingine unaoa lkn anakupa mwanae mnae lingana uoe! yeye anakuwa yupo yupo tu!! km kuwa tunza!!...... lkn mambo unapata kuleee!!Uyu jamaa nadhan kwenye uchaguzi wanwake wore walimpigia kura.
AISEE jamaa ni mwanamapinduzi kwelikweli[emoji4]
hapana weye ndo kiazi!! huyo!! tena Mama mwenyewe ndo ana mchagulia demu safi wa kuzaa nae!!! hata kujiburudisha tu akitaka!! mama yuko pale kinyota tu!! na ndiye aliye mpa mission za kugombea uraus ! na mbinu za ushindi weevepe huna nyota nini?Huyu kiazi sijui kama ataacha mtoto hapa duniani....
😁😁Wanajua kuililia..😃
Umesema vya ukweli lakini ndani mkikubaliana na kuheshimiana basi lazima maisha yasonge vyema.Sema wenzetu hawaangalii suala la mke kupata watoto jmn kibongobongo ndoa ni watoto ndo maana kuna age Ke Akifika hana mtoto anachanganyikiwa kabisa na makejeli kibao xo kuoa mwanamke alokuzidi usiwaze sana kuhusu watoto maana sisi Tuna expire date mayai yakivilia ndo basi tena afu uwe kapuku ndo patamu maana wenye hela hata kwa kupandikiza kama Janeth Jackson unapata
Kuna Mkenya sio maarufu lakini ana miaka 35 Kaoa miaka 70 mzungu ana watoto wawili na wajukuu mama mzazi kauliza atapataje mjukuu akamjibu wajukuu WA mkewe awaone kama wake.Huyu raisi wa France ndio katia fora, anapata kweli chakula cha usiku.....[emoji23][emoji23]
Mimi wangu ananizidi miaka miwili nampenda hatari hanaga drama, full upendo, mbususu napewa nitakavyo..Mwanamke wangu amenizidi miaka 3.
nikianza kumkoromea utasema mtoto anavyonywea[emoji16][emoji16]
Hakuna mwenye hela/tajiri fala. Weka kichwani mwakoInsecurities..unafikiria ukiwa maarufu au unapesa ndio unakuwa jasiri kwa wanawake..unaweza kuwa Kama Zuzu kwa wanawake
Hii sio bahati mbayaMpaka sasa Bwana Emma anashikilia usukani. 25 yrs kazidiwa na mkeweView attachment 2052771