Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Inferiority Complex + Uncivilised vinawatesa.
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
😅😅😅una stress
 
Ni sawa, lakini mambo lazima yaende yakibadilika, wakati ni fedha, gone are those days
Brother/sister, kweli wakati ni fedha na kuupoteza ni hasara.
Jee utajisikiaje mfano umepata ajali na usafiri wako uko hoi unahitaji msaada na watu wanakupita tuu wakisema TIME IS MONEY usubiri polisi watakuja kukusaidia?
Kusema hello kwa mtu hakukupunguzii muda wako
 
Brother/sister, kweli wakati ni fedha na kuupoteza ni hasara.
Jee utajisikiaje mfano umepata ajali na usafiri wako uko hoi unahitaji msaada na watu wanakupita tuu wakisema TIME IS MONEY usubiri polisi watakuja kukusaidia?
Kusema hello kwa mtu hakukupunguzii muda wako
Madam, kuna recovery services, breakdown services utasalimia watu wote millioni 65 wa Tanzania for fear of unknown?
 
Una point, ila usitumie salamu kama security au uwekezaji, tuwe genuine, tusalimie kwa kumaanisha, vinginevyo kila mtu na hamsini zake
Salamu ni security tangu awali, kumjulia mtu hali, kumjua.

Mkuu kama hupendi salamu jamii fulani za Ulaya/ Marekani zingekufaa.

Yani kuna sehemu mtu anaona kukusalimu ni kama kukusumbua.

Ila Kiafrika afrika kama hupendi salamu, unaonekana mchawi.
 
Kwa watu mnaofahamiana salamu inaleta maana, kuna genuine concern ya kujua afya ya mtu na hali ya atokako. Mtu usiyemjua ataukimuuliza huu hali gani, akakujibu ni mgonjwa utamsaidia?

Najua ulishasikia mtu alitoka mkoa hana mtu Ila alipata wenyeji street wakampokea. Wakampa sehemu ya kulala, chakula na kumpa ramani ya mji hadi akatoboa. Hiyo ndio uswazi na ustaarabu wake,
kupata stranger wa kukuokoa ni story za kawaida ndio maana salamu inamatter sana kwa sababu ndio ustaarabu

Vingine ni vya kunogesha story tu, ni kama mtu akuulize kwenye simu habari yako, utamjibu nzuri hata kama upo depressed sababu ni utamaduni tu na sio mtu akikuuliza anamaanisha umtiririkie shida zako.. Hapana
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Watu wa mikoani kwani wewe unaishi wapi ambapo sio mkoani,, Kama hupendi unachofanya fanya unachopenda...
 
Una point, ila usitumie salamu kama security au uwekezaji, tuwe genuine, tusalimie kwa kumaanisha, vinginevyo kila mtu na hamsini zake
Unaishi wapi bro huko kwenye genuine salamuz

Hata huko kwa middle and upper class haipo. Watu wanaangalia status na kitu unachomiliki ili wajue kama utawafaa kwa image au matumizi yao

Inshort kwenye genuine intentions bora uswazi maana wanakusalimu kama binadamu mwenzao kuliko huko juu wanaposalimia usefullness yako
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Acha ujinga sisi wapori pori ulikuja kufanya nini kwetu porini pimbi wewr
 
Unaishi wapi bro huko kwenye genuine salamuz

Hata huko kwa middle and upper class haipo. Watu wanaangalia status na kitu unachomiliki ili wajue kama utawafaa kwa image au matumizi yao

Inshort kwenye genuine intentions bora uswazi maana wanakusalimu kama binadamu mwenzao kuliko huko juu wanaposalimia usefullness yako
Bottom line, salamu is more meaningless kwa mtu usiyemjua, kwa kifupi ni unafki
 
Kuishi kiasili unamaanisha nini?
Salamu kwa jamii ambazo hazipo westernized na zinaishi kiasili ni kawaida. Hata Dar uswazi ukipita group la watu wamekaa bila kutoa salamu wanamaindi na ukitaka kulijua hilo, kosea njia halafu urudi kuwaomba maelekezo ndio utajua hujui [emoji16][emoji16]

Inshort hii kuishi kijamaa ni kama kuweka assurance kuwa hata stranger anaweza kukupa msaada ukipata tatizo lakini pia, salamu ni alama ya heshima hivyo usipompa mtu bhasi umemdharau au wewe ndio unajisikia
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Salamu ni uungwana tu hakuna jipya,we kama unachoka kuitikia nyosha mkono kuzijibu
 
Back
Top Bottom