Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?

Ni utoto na ubaguzi unakusumbua.

Kichwani mwako tayari kuna dhana ya kwamba hao watu sio wa level zako ni watu wachini ndomana unaona wanakusumbua.

Naamini ukikutana na jamii ambayo akili yako inahisi ni wenye status yako hata wawe 1000 utasalimiana nao. Au ukutane na watu wenye kipato kizuri hutaona wanakusumbua.

Kuishi mjini kumetufanya tujione tunajua sana kumbe tumejaza ujinga mwingi Kichwani.
 
Ni utoto na ubaguzi unakusumbua.

Kichwani mwako tayari kuna dhana ya kwamba hao watu sio wa level zako ni watu wachini ndomana unaona wanakusumbua.

Naamini ukikutana na jamii ambayo akili yako inahisi ni wenye status yako hata wawe 1000 utasalimiana nao. Au ukutane na watu wenye kipato kizuri hutaona wanakusumbua.

Kuishi mjini kumetufanya tujione tunajua sana kumbe tumejaza ujinga mwingi Kichwani.
Mkuu ni levels tu za kimaendeleo, salamu sasa tunafikiria iwe kwenye sehemu ya usumbufu, nuisance, punishable by law
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Bara walau bado Wana utu,zamani maisha yalikua hivyo tz,mkikutana njiani hamjuani mnasalimiana tu,dar watu Kama mbuzi wanapishana tu Tena hata wakiwa wanaishi jirani,utu na maadili tz vinapururuka kwa kasi,ndiyo maana ubakaji na mauaji yamekua mengi
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Hakuna wachafu kama watu wa Dar.....u
Shoga kwenu kulawitiana nyinyi
Mnajiona wajanja sana
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Wamo humu? Huoni pia unapoteza nishati yako na muda kupeleka ujumbe kwa wasiohusika? Hamchekani!
 
Habari wana JF

Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200

Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.

Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.

Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Dah sisi kwenye tunafundishwa kua tupende kusalimiana sanaa ata kma umepita na kupituka ukirudi msalimie muislamu mwenzako tena

Dah we hujui kua Salamu huleta upendo na faraja baina ya watu
 
Back
Top Bottom