MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Inferiority Complex + Uncivilised vinawatesa.Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
😅😅😅una stressHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Brother/sister, kweli wakati ni fedha na kuupoteza ni hasara.Ni sawa, lakini mambo lazima yaende yakibadilika, wakati ni fedha, gone are those days
Madam, kuna recovery services, breakdown services utasalimia watu wote millioni 65 wa Tanzania for fear of unknown?Brother/sister, kweli wakati ni fedha na kuupoteza ni hasara.
Jee utajisikiaje mfano umepata ajali na usafiri wako uko hoi unahitaji msaada na watu wanakupita tuu wakisema TIME IS MONEY usubiri polisi watakuja kukusaidia?
Kusema hello kwa mtu hakukupunguzii muda wako
Salamu ni security tangu awali, kumjulia mtu hali, kumjua.Una point, ila usitumie salamu kama security au uwekezaji, tuwe genuine, tusalimie kwa kumaanisha, vinginevyo kila mtu na hamsini zake
Kwa watu mnaofahamiana salamu inaleta maana, kuna genuine concern ya kujua afya ya mtu na hali ya atokako. Mtu usiyemjua ataukimuuliza huu hali gani, akakujibu ni mgonjwa utamsaidia?
Watu wa mikoani kwani wewe unaishi wapi ambapo sio mkoani,, Kama hupendi unachofanya fanya unachopenda...Habari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Shambulia hoja si mleta hojaWatu wa mikoani kwani wewe unaishi wapi ambapo sio mkoani,, Kama hupendi unachofanya fanya unachopenda...
Shambulia hoja si mleta hojaMkishafika mjini mnaona kila wanachofanya kijijini wanakosea,washamba. Ishi kutokana na mazingira mkuu
Unaishi wapi bro huko kwenye genuine salamuzUna point, ila usitumie salamu kama security au uwekezaji, tuwe genuine, tusalimie kwa kumaanisha, vinginevyo kila mtu na hamsini zake
Acha ujinga sisi wapori pori ulikuja kufanya nini kwetu porini pimbi wewrHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?
Bottom line, salamu is more meaningless kwa mtu usiyemjua, kwa kifupi ni unafkiUnaishi wapi bro huko kwenye genuine salamuz
Hata huko kwa middle and upper class haipo. Watu wanaangalia status na kitu unachomiliki ili wajue kama utawafaa kwa image au matumizi yao
Inshort kwenye genuine intentions bora uswazi maana wanakusalimu kama binadamu mwenzao kuliko huko juu wanaposalimia usefullness yako
Shambulia hoja si mleta hojaAcha ujinga sisi wapori pori ulikuja kufanya nini kwetu porini pimbi wewr
Salamu kwa jamii ambazo hazipo westernized na zinaishi kiasili ni kawaida. Hata Dar uswazi ukipita group la watu wamekaa bila kutoa salamu wanamaindi na ukitaka kulijua hilo, kosea njia halafu urudi kuwaomba maelekezo ndio utajua hujui [emoji16][emoji16]
Inshort hii kuishi kijamaa ni kama kuweka assurance kuwa hata stranger anaweza kukupa msaada ukipata tatizo lakini pia, salamu ni alama ya heshima hivyo usipompa mtu bhasi umemdharau au wewe ndio unajisikia
Salamu ni uungwana tu hakuna jipya,we kama unachoka kuitikia nyosha mkono kuzijibuHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?