Kwanini Watu waliozaliwa na kukulia Kijijini wakija Mjini inakuwa rahisi kwa wao kufanikiwa kimaisha kuliko wale waliozaliwa na kukulia Mjini?

Wakuja akija town lazima apambane maana hana wa kumtegemea zaidi yake mwenyewe

Starehe nyingi hawazijui

Hawachagui kazi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…