Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Status
Not open for further replies.
Machafuko gani ya kuvunja makanisa na kuwaua wakristo ambayo hautaweza kuyahusisha na maswala ya ubaguzi wa kidini??

Unashauri nisitumie source za wakristo wa west kwamba wanaongopa??

Mimi naweza kukubaliana nao tu kwa kusoma mafundisho yenu yaliyojaa ubaguzi kuwa muislamu ndugu yake ni muislamu.

Naweza kukubaliana nao kuwa malalamiko yao ni ya kweli kwasababu Quran yenyewe imetoa kibali cha kuwafanyia fujo wasio waislamu kupitia Surah 3:151 na Surah 2:191 zinazoidhinisha vurugu kwa wasiokuwa waislamu.
Kama Ingekua ni norm kwa waisilamu inge tokea kila siku, kitu gani kiwafanye waisilamu wafanye fujo kwenye machafuko halafu miaka 9 mfululizo waache does that make sense to you?

Na Quran sio Gazeti, usome utafsiri, kama ilivyo vitabu vya sheria ama vitabu vyengine vya intelectual vinahitaji ujuzi, na kitu kikubwa ambacho nyie sio waisilamu mnakosea ni hicho.

Kila Aya ya Quran ni lazima, narudia ni lazima ujue imeshuka wapi na kulikua na sababu gani imeshuka, then ndio mengine yafuatie.

Quran 2:191 kuelewa hii Aya unatakiwa tuanzie 2:190 mpaka 2:195 na maana ya Aya si kuua kila mtu bali wale tu wanaowafanyia "persecution" waisilamu. Kaangalie tafsiri ya ibn Kathir ama kitabu chochote kikubwa.

Quran 3 151 sijaelewa hata vinahusiana nini Na tunachoongea hapa.

Mwisho wa siku hao wakristo wa middle East wapo na waisilamu wenzao, hawayaoni wala kusikiliza propaganda za west, nyie ambao mpo hupu hamjui lolote mpo busy kuwasemea kwa Vitu hata msivyo vijua.
 
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga
Hapana wewe ndyo ufahamu wako ni mdogo; wewe haujiulizi kwanini kila nchi ambako Waislam wanaoshika dini kweli kweli kunakuwa na ukosefu wa amani?
F8EctIkbsAAvAAM.jpeg

Hii ni kwa sababu ya kitabu chenu Cha KISHETANI, Quran
Screenshot_20231219-002646.png

Screenshot_20231221-011449.png

Nyinyi Waislam wote kwa MBELE mmetanguliza Tasbihi zenu kumbe Nyumba mmeshikilia majibisu ya kuchinja wenzenu
Screenshot_20240213-020054.png
 
1. Copts christian in Egypt

Mashambulizi yaliyofanywa na waislamu kwenye makanisa zaidi ya 45 na kuua watu
View attachment 2901974

View attachment 2901976

Kaa maelezo zaidi unaweza kusoma hapa

2. Lebanon
Mwaka 2018 Hezibollah walishambulia makao makuu ya chama cha kisiasa cha kikristo kwa mawe na risasi.

Hopefully hakukuwa na majeruhi wala vifo.

Mwaka 2019 hao hao Hezibollah walishambulia waandamanaji wa kikristo ambao walikuwa wanaandamana kupinga utawala wa kisiasa wa Lebanon uliokuwa unawakandamiza jamii ya wakristo.

Mwaka 2016 Lebanon lilifanyika shambulio la kujitoa muhamga ambalo lili target maeneo yenye wakazi wengi wa kikiristo.

Watu watano walikufa wakati 15 wakiwa majeruhi.

Mwanzoni mwa mwaka 2021 mchungaji wa kanisa la Katoliki alihojiwa akisema idadi ya vijana wengi wakikristo inazidi kupungua kwa kasi.

Vijana wengi wanakimbia mji wa Beirut kwasababu ya unyanyasaji wanaoupata kutoka kwa jamii ya watu wa kiisilamu. Soma hapa

Mataifa karibia yote ya kiislamu hayana mazingira salama kwa asiye muislamu.
Niambie nchi ya wakristo iliyosalama kwa waislam.

01.Agust 2016-Imam na maamuma wake waliuliwa kwa risasi new York marekani

02.December 2016-Jamaa mwenye miaka 30 aliingia msikitini na kuanza kuwashambulia waislam waliokua wanafturu.Hii imetokea Switzerland

03.January 2017-Jamaa anaeitwa Alexander Bissonette aliua waislam huko canada

04.June 2017-jamaa mwenye miaka 48 aliwagonga kwa makusudi waislam kwa kupeleka gari msikitini.

HII NI KWA UCHACHE TU MATUKIO NI MENGI EXCLUDED USHENZI WA WAISRAEL
 
Hili lipo kisiasa zaidi.

Serikali ya Tanzania iliingia makubaliano na nchi mbili za kiarabu kwenye maswala ya ajira.

Hatujui condition ya mkataba inasemaje

Sisi tumetoa manesi 500 kupeleka Saudi Arabia hatujui Saudi Arabia wao wametoa watu wangapi kuja kwetu tena hata idara waliyoifikia bado hatujui.

Na ukumbuke matukio yote yaliyokuwa yana trend msimu huo katika duru ya siasa mjadala mkuu ulikuwa ni uuzwaji wa bandari.

Vipi kama seke seke la bandari na kuhamishwa kwa wamasai ndio ilikuwa exchange kwa ajira 500?

Tuachane na hilo ambalo ni probability..

Lakini tuliambiwa hao manesi 500 wataajiriwa mwezi wa kwanza na serikali ya Saud Arabia.

Saizi ni mwezi wa pili huu, vipi hiyo update ya hao waajiriwa 500 umeipata?

Katika hao waajiriwa 500 kuna idadi ngapi ya watu ambao sio waislamu?

Unaweza ku picture huko Saudi Arabia wakienda wanaweza kuwa treated equal?
Mbona unaleta mambo ya kufikirika sana.Kuna mtu namfaham ni mkristo na yupo saudia anafanya kaz ni dokta na sio yey pekee wapo wengii wasio waislam hata kwenye mpira lini umesikia ubaguzi kwa wachezaji kulinganisha na ligi za ulaya.
 
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulu​

 
Hizo ndizo lugha za MIKAFIRI , ni kutukana watu tu
MAKAFIRI ni wale wasioamini Mungu wa kweli, eg wapagani, wafuasi wa dini za uongo, nk..

Yuda 1:4
Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
 
Mimi sina chuki na uislamu kwa sababu ya mabaya ya waarabu maana mabaya yao naadithiwa tu kama ninavyoadithiwa mabaya ya wazungu

1.Mimi nachukia uislamu kwa sababu ya baadhi ya waislamu wa hapa jamii forum
2.nauchukia uislamu kwasababu ya matendo ya baadhi ya waumini wao

Mf, wale walio lipua waumini wa kanisa katoliki pale Arusha

Wale walio vamia supamaketi pale Nairobi
Wale walio lipua ubolozí pale dar na Nairobi

3. Nachukia uislamu kwa sababu ya tabia ya kulazimisha wamefunga wao wanakulazimisha na wewe ufunge
Wanalazimisha hakuna kujenga kanisa
Kulazimisha watu wafuate matakwa yao.
Yani unauchukia uislam kisa waislam 😂😂
 
Mbona unaleta mambo ya kufikirika sana.Kuna mtu namfaham ni mkristo na yupo saudia anafanya kaz ni dokta na sio yey pekee wapo wengii wasio waislam hata kwenye mpira lini umesikia ubaguzi kwa wachezaji kulinganisha na ligi za ulaya.
Usibishe mkuu..
Angalia hapo chini nduguyo katika imani ameweka andiko la kibaguzi kutoka ndani ya koran

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulu​

 
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga
Unautenganishi vipi uislam na uarabu wakati utamaduni wa Kiislam umejengwa katika misingi ya kiarabu? Hakuna uislamnbila ya uarabu, waarabu ndiyo wamiliki halali wa uislam
Hata Uislam unatambua hivyo na ndiyo maana uislam unau promote uarabu pale unaposema Kiarabu ndiyo lugha Peponi.
Uislam ni project ya mwarabu.
Ni kama Mmasai na lubega, au mchaga na mbege au mzaramo na ngoma au CCM na Rushwa na ufisadi
 
Nimeanin uislam ndio dini ya haki wallah.Sijui ni kwa nin watu hufikia mpaka hatua ya kupotosha 😂😂.

NOTE:Uislam huwez kuuelewa kupitia vijiweni nenda kausome uislam ukiwa umetulia uko na akili zako timamu unless utapotea
Mwanzo nchi za wazungu waliwaza kama wewe wakawakaribisha kwa bashasha wahamiaji waarabu na dini yao. Sasa wameshtuka, wanajuta. Hawawataki tena..

View: https://twitter.com/AzzatAlsaalem/status/1754867942586487291?t=gDiP33nfouzFhk3XxWsUHg&s=19
 
Unautenganishi vipi uislam na uarabu wakati utamaduni wa Kiislam umejengwa katika misingi ya kiarabu? Hakuna uislamnbila ya uarabu, waarabu ndiyo wamiliki halali wa uislam
Hata Uislam unatambua hivyo na ndiyo maana uislam unau promote uarabu pale unaposema Kiarabu ndiyo lugha Peponi.
Uislam ni project ya mwarabu.
Ni kama Mmasai na lubega, au mchaga na mbege au mzaramo na ngoma au CCM na Rushwa na ufisadi
Akili ndogo zinashida sana.....Niambie ni lini ulisikia au kuona warabu wakifanya hijja kabla ya uislam kuelekeza.

Niambie ni lini warabu walifanyiana usawa na haki kabla uislam haujaelekeza.

Niambie ni lini ulisikia au kuona warabu wanafunga na kusali kabla ya uislam kuelekeza.
 
Akili ndogo zinashida sana.....Niambie ni lini ulisikia au kuona warabu wakifanya hijja kabla ya uislam kuelekeza.

Niambie ni lini warabu walifanyiana usawa na haki kabla uislam haujaelekeza.

Niambie ni lini ulisikia au kuona warabu wanafunga na kusali kabla ya uislam kuelekeza.
Uislam umejengwa katika misingi ya waarabu. Bila ya uarabu hakuna uislam na mwarabu ndiye mlinzi na mfadhili mkuu wa uislam...Mwarabu anaulinda na kuufadhili kwa nguvu zote sababu uislam ni alama yake, ni utamaduni wake.
Bila ya Waarabu uislam unakufa. Chukua hilo ukae nalo, hutaki unaacha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom