Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Status
Not open for further replies.
Kwani hicho ulichokiandika ulikiokota kitabu gani cha kiislamu ??
Sio lazima kitoke kitabibu, tumeona kuanzia Al Qaeda,Isis ,boko haram na wengineo wakitumia Allahu Akbar baada ya kufanya matendo yao ya kigaidi. Jambo hilo linafanya watu waamini kwamba uislam na ugaidi ni pande mbili za kwenye sarafu 1.
 
Hata waarabu wakristo wanasema Allah Akbar, kiswahili chake Mungu ni mkuu ama mkubwa kama hivyo.

View attachment 2901863
So usiogope, Resistance za Wapalestina kuna wakristo pia ambao wanapigania haki yao.
Sawa lakini umewahi kuona wapi wakristo wamefanya uhalifu na wana chant Allahu Akbar?
 
Mwarabu nauislamu ni masega na asali.
Chuki sisi waislmu ndio tunayo dhidi ya wengine kwa kuwaita MAKAFIRI.
Sisindio tunawataka intifada na kubadili watu wote wawe waislamu.

Sio lazima kitoke kitabibu, tumeona kuanzia Al Qaeda,Isis ,boko haram na wengineo wakitumia Allahu Akbar baada ya kufanya matendo yao ya kigaidi. Jambo hilo linafanya watu waamini kwamba uislam na ugaidi ni pande mbili za kwenye sarafu 1.

Unajuwaje ikiwa hao wanao sema Allahu Akbar si wakristo au wayahudi au wazungu , Ni kama wewe unavyoandika hapa Allahu akbar kwani wewe ni muislamu ??
 
Uisilamu auwezi kupendwa na watu sababu unapinga miungu yao mfano wakirito wanamuabu yesu ambaye ni mwana wa mariamu wakiambiwa wanajenga bifu hacha wachukia tu lakini ukweli tutausema tu hata waindu awataki kuambiwa kuwa wanaabudu ng,ombe
 
Chuki inaliopo sio hiyo bhana mbona kaburu anawabagua watu weusi mpaka kesho na kuwaua hivyo hivyo kwa wazungu,tatizo lilipo dini ya uisilamu inaweka wazi imani zote lizopo duniani mfano nyiyi wagaratia amtaki kuambiwa ukweli kuwa mnae muabudu sio mungu bali ni mwana wa mariamu ni kiumbe kama nyiyi hapa ndipo chuki ilipo bhana usizunguke ukweli
 
Usizunguke ukweli bhana chanzo cha chuki ni waisilamu kuwaita wakirito makafiri,ukafiri huo unao sababishwa na kumuabudu yesu badala ya Mungu muumba chuki inaanzia hapo ndugu
 
Unaochukiwa ni uislamu, hebu waza unataka ili ule nyama mpaka uchinje wewe usiyochinja wewe huli utapendekekaje hapo? wewe wa kwanza kuwaita wenzio makafiri kisa hawafuati Iman yako hapo unataka upendeke?? wenye dhihaka kwa wengine ni hao walioshika dini ya kiislamu, tayari wenye dini yao wanasema dini ya haki ni uislamu tu sasa huku si kujiinua na kuwaona wengine dhaifu?? nani anapenda kuonekana dhaifu? na katika mazingira hayo unataka upendeke kwa sababu zipi???
 
Uislamu wenyewe umeagiza wachinjwe wote wasioamini katika hicho kitabu cha mwarabu, halafu wewe unalalamika chuki....
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
Tatizo wakirisito hawataki kuambiwa ukweli mkiitwa makafiri mnachukia lakini ukweli nyiyi ni makafiri sababu yenu kuitwa makafiri ni kumuabudu yesu badala ya mungu ndio chanzo cha chuki ndugu
 
wewe umejuaje kama Wagalatia wanakuabudu Mungu sio wa ukweli ili hali kila mtu anafuata kitabu chake?? huo uhakika umeutoa wapi??? hapo ndipo chuki inapozaliwa
 
Tatizo wakirisito hawataki kuambiwa ukweli mkiitwa makafiri mnachukia lakini ukweli nyiyi ni makafiri sababu yenu kuitwa makafiri ni kumuabudu yesu badala ya mungu ndio chanzo cha chuki ndugu
kwahiyo wakiwa hawataki ndio wachinjwe??
 
Unajuwaje ikiwa hao wanao sema Allahu Akbar si wakristo au wayahudi au wazungu , Ni kama wewe unavyoandika hapa Allahu akbar kwani wewe ni muislamu ??
Mimi ni muislamu lakini sijawahi kuona mkristo anachinja mtu huku anaimba alah akbar!

Sijawahi kuona mkristo anachinja mu eti kwakuwa amekataa kuwa mkristo, wao wanakuhubiria habari za Yesu wa Israel ukikataa wanakuacha, sisi ndio tunalazimishia watu wawe waislamu.
 


Lugha ya yesu siijui na wala hainihusu.

Mimi sio mfuasi wa yesu. Mimi sio mkristo.

Usihamishe hoja.. jibu hoja kuhusu mstari wa Quran niliokuwekea. Kwamba Uislamu ni dini ya waarabu

Usijifiche kwenye kichaka cha yesu ukristo maana mimi sio mkristo.

Sisi wamasai hatunaga ujinga wa kuabudu dini za kuletewa na wakoloni
 

yaani kama vile hakuna mmasai mwislamu wala mkristo ??
 
Kwani neno kafiri ni baya ?? kafiri ni mtu anayekufuru , na nyinyi kufuru yenu kubwa ni kumshirikisha Mungu . Yaani kiumbe chake kilichokunya na kutawazishwa mavi mnakipa cheo cha Mungu . Dhambi hiyo Mungu haisamehe kabisa kaweka wazi
Mfano mimi nikisema Mungu ni Jua wewe Kwanini unichukie?
Au unipe Jina la ajabu?
Unaumia nini nikikosea? Si uniache nikaungue mwenyewe.
 
Mfano mimi nikisema Mungu ni Jua wewe Kwanini unichukie?
Au unipe Jina la ajabu?
Unaumia nini nikikosea? Si uniache nikaungue mwenyewe.

Hakuna mtu atakuuliza ila cheo chako kitakuwa palepale ni KAFIRI yaani umemkufuru Mungu
 
yaani kama vile hakuna mmasai mwislamu wala mkristo ??

Kuwepo watakuwepo ila wachachs sana na mimi sio mmojawao. Mimi sio mkristo na wala sio muislamu.

Wamasai wengi bado tuna misingi yetu ya kuabudu kimila
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…