Sio lazima kitoke kitabibu, tumeona kuanzia Al Qaeda,Isis ,boko haram na wengineo wakitumia Allahu Akbar baada ya kufanya matendo yao ya kigaidi. Jambo hilo linafanya watu waamini kwamba uislam na ugaidi ni pande mbili za kwenye sarafu 1.Kwani hicho ulichokiandika ulikiokota kitabu gani cha kiislamu ??
Sawa lakini umewahi kuona wapi wakristo wamefanya uhalifu na wana chant Allahu Akbar?Hata waarabu wakristo wanasema Allah Akbar, kiswahili chake Mungu ni mkuu ama mkubwa kama hivyo.
View attachment 2901863
So usiogope, Resistance za Wapalestina kuna wakristo pia ambao wanapigania haki yao.
Mwarabu nauislamu ni masega na asali.
Chuki sisi waislmu ndio tunayo dhidi ya wengine kwa kuwaita MAKAFIRI.
Sisindio tunawataka intifada na kubadili watu wote wawe waislamu.
Sio lazima kitoke kitabibu, tumeona kuanzia Al Qaeda,Isis ,boko haram na wengineo wakitumia Allahu Akbar baada ya kufanya matendo yao ya kigaidi. Jambo hilo linafanya watu waamini kwamba uislam na ugaidi ni pande mbili za kwenye sarafu 1.
Uisilamu auwezi kupendwa na watu sababu unapinga miungu yao mfano wakirito wanamuabu yesu ambaye ni mwana wa mariamu wakiambiwa wanajenga bifu hacha wachukia tu lakini ukweli tutausema tu hata waindu awataki kuambiwa kuwa wanaabudu ng,ombeYani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.
Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?
Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.
Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:
1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam
Acheni chuki za kijinga
Chuki inaliopo sio hiyo bhana mbona kaburu anawabagua watu weusi mpaka kesho na kuwaua hivyo hivyo kwa wazungu,tatizo lilipo dini ya uisilamu inaweka wazi imani zote lizopo duniani mfano nyiyi wagaratia amtaki kuambiwa ukweli kuwa mnae muabudu sio mungu bali ni mwana wa mariamu ni kiumbe kama nyiyi hapa ndipo chuki ilipo bhana usizunguke ukweliKabla ya kulalalamika waislamu wanachukiwa au uislamu unachukiwa.
Ulishawahi kuangalia wasio waislamu jinsi wanavyoishi na kuwa treated kwenye mataifa ya kiislamu?
Kwenye nchi za kiislamu, asiye muislamu anaweza kuabudu, kujenga nyumba ya ibada kwa uhuru, na kupata kazi kwa usawa kulingana na vigezo vyake vya kitaaluma??
Usizunguke ukweli bhana chanzo cha chuki ni waisilamu kuwaita wakirito makafiri,ukafiri huo unao sababishwa na kumuabudu yesu badala ya Mungu muumba chuki inaanzia hapo nduguChuki au ubaguzi dhidi ya Waislamu mara nyingine unaweza kutokana na kutokuelewa na miseducation, pamoja na sababu nyingine kama vile vyombo vya habari, matukio ya kihistoria, na hali ya kisiasa. Ni muhimu kutambua kwamba kuenea kwa maoni hasi au chuki dhidi ya jamii fulani haikubaliki na inakwenda kinyume na misingi ya haki za binadamu na utofauti wa tamaduni na dini.
Hapa kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia chuki dhidi ya Waislamu:
1. Ubaguzi wa Kidini:
- Baadhi ya watu wanaweza kuwa na upendeleo au hata chuki dhidi ya dini tofauti, na hivyo wanaweza kuwa na maoni hasi kuhusu Waislamu kwa msingi wa dini yao.
2. Ubaguzi wa Kikabila na Kitamaduni:
- Waislamu wengi wanatoka katika jamii tofauti na za kitamaduni, ikiwa ni pamoja na Waarabu. Ubaguzi wa kikabila au kitamaduni unaweza kuchangia maoni hasi.
3. Ugaidi na Vyombo vya Habari:
- Matukio ya kigaidi yanayofanywa na makundi fulani yanaweza kutoa taswira hasi ya Uislamu kwa jumla. Vyombo vya habari mara nyingine vinaweza kuchochea hofu na chuki kwa kuripoti matukio haya bila kuzingatia muktadha kamili.
4. Ukosefu wa Maarifa:
- Kutokuelewa kuhusu imani za Kiislamu na tamaduni za Waislamu kunaweza kusababisha maoni potofu au ya kupotoshwa.
5. Mzungumzaji wa Kujitenga (Othering):
- Mara nyingine, watu wanaweza kuhisi kutengwa au kuwaona Waislamu kama "wengine," ambao ni tofauti nao. Hali hii inaweza kuchangia kutoelewa na kuleta chuki.
Ni muhimu kukuza elimu, kuelimisha, na kufanya mazungumzo yenye heshima kati ya jamii na dini tofauti ili kupunguza chuki na kusaidia watu kuelewa tofauti zilizopo na kuheshimu utofauti wa tamaduni na dini. Kuelimisha jamii juu ya ukweli wa dini mbalimbali na kukuza mazungumzo ya kuheshimiana ni njia ya kujenga jamii inayokubali na kuheshimu utofauti.
Tatizo wakirisito hawataki kuambiwa ukweli mkiitwa makafiri mnachukia lakini ukweli nyiyi ni makafiri sababu yenu kuitwa makafiri ni kumuabudu yesu badala ya mungu ndio chanzo cha chuki nduguUislamu wenyewe umeagiza wachinjwe wote wasioamini katika hicho kitabu cha mwarabu, halafu wewe unalalamika chuki....
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
wewe umejuaje kama Wagalatia wanakuabudu Mungu sio wa ukweli ili hali kila mtu anafuata kitabu chake?? huo uhakika umeutoa wapi??? hapo ndipo chuki inapozaliwaChuki inaliopo sio hiyo bhana mbona kaburu anawabagua watu weusi mpaka kesho na kuwaua hivyo hivyo kwa wazungu,tatizo lilipo dini ya uisilamu inaweka wazi imani zote lizopo duniani mfano nyiyi wagaratia amtaki kuambiwa ukweli kuwa mnae muabudu sio mungu bali ni mwana wa mariamu ni kiumbe kama nyiyi hapa ndipo chuki ilipo bhana usizunguke ukweli
kwahiyo wakiwa hawataki ndio wachinjwe??Tatizo wakirisito hawataki kuambiwa ukweli mkiitwa makafiri mnachukia lakini ukweli nyiyi ni makafiri sababu yenu kuitwa makafiri ni kumuabudu yesu badala ya mungu ndio chanzo cha chuki ndugu
Mimi ni muislamu lakini sijawahi kuona mkristo anachinja mtu huku anaimba alah akbar!Unajuwaje ikiwa hao wanao sema Allahu Akbar si wakristo au wayahudi au wazungu , Ni kama wewe unavyoandika hapa Allahu akbar kwani wewe ni muislamu ??
Kwani lugha ya Yesu unaijua wewe ??
This article is about the theory that the New Testament was originally composed in Aramaic
matokeo ya kutokifahamu ki aramaic ni haya
O = omitted in main text.
B = bracketed in the main text – The translation team and most biblical scholars today believe were not part of the original text. However, these texts have been retained in brackets in the NASB and the Holman CSB.[147]
F = omission noted in the footnote.
Bible translationPassage NIV NASB NKJV NRSV ESV HCSB NET NLT WEB REB AMP CEB CJB CEV ERV GW EXB GNT Knox LEB MSG Mounce NIrV NLV OJB NWT Matthew 9:34 F Matthew 12:47 F F F F F O F F F Matthew 17:21 F B F O F B O F F F O O O F O O O O O Matthew 18:11 F B F O F B O O F F O O O O F O O O O O Matthew 21:44 F F B F F F O F F F F O Matthew 23:14 F B F O F B O O F F O O O O F O O O O O Mark 7:16 F B F O F B O O F F O O O F F O O O O O Mark 9:44 F B F O F B O O F O O O O O F O O O O O Mark 9:46 F B F O F B O O F O O O O O F O O O O O Mark 11:26 F B F O F B O O F O O O O F O O O O B O Mark 15:28 F B F O F B O O F F O O O O F O O O O B O Mark 16:9–20 B B F F B B B F B F F B F B B B O Luke 17:36 F B F O F B O O F F F O O O O F O O O O O Luke 22:20 F F F F O Luke 22:43 B F F B B F F F F B+F Luke 22:44 B F F B B F F F F F B+F Luke 23:17 F B F O F B O O F F O O F O O F O O O O B O Luke 24:12 F F O F Luke 24:40 F F F John 5:4 F B F O F B O O F O O O O F O O O O B B O John 7:53–8:11 B F F B B B F B B+F O Acts 8:37 F B F F F B O O F F F O O O O F O O O O B B O Acts 15:34 F B F O F O O O F F F O O O O F O O O O B O Acts 24:7 F B F O F B O O F F O O O O O O O B O Acts 28:29 F B F O F B O O F F O O O O F O O O O B O Romans 16:24 F B F O F B O O F F O O O O F O O O O O
Kwahiyo hapa ndio wanatoa maelezo huwa Eunuch ni Shoga?
Lugha ya yesu siijui na wala hainihusu.
Mimi sio mfuasi wa yesu. Mimi sio mkristo.
Usihamishe hoja.. jibu hoja kuhusu mstari wa Quran niliokuwekea.
Usijifiche kwenye kichaka cha yesu ukristo maana mimi sio mkristo.
Sisi wamasai hatunaga ujinga wa kuabudu dini za kuletewa na wakoloni
Labda wanaficha ukweliKwahiyo hapa ndio wanatoa maelezo huwa Eunuch ni Shoga?
Mfano mimi nikisema Mungu ni Jua wewe Kwanini unichukie?Kwani neno kafiri ni baya ?? kafiri ni mtu anayekufuru , na nyinyi kufuru yenu kubwa ni kumshirikisha Mungu . Yaani kiumbe chake kilichokunya na kutawazishwa mavi mnakipa cheo cha Mungu . Dhambi hiyo Mungu haisamehe kabisa kaweka wazi
Mfano mimi nikisema Mungu ni Jua wewe Kwanini unichukie?
Au unipe Jina la ajabu?
Unaumia nini nikikosea? Si uniache nikaungue mwenyewe.
yaani kama vile hakuna mmasai mwislamu wala mkristo ??