Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Kwanini watu wana chuki na Uislam na Waislam kwa mabaya ya Waarabu?

Status
Not open for further replies.
Sisi wakristo hautuchukii dini ya ntu ila wewe nyie mnajihisi tu namnatuchukia mnatuita makafiri kwenye dini yetu hatuna majin ya kuwaita watu wenye dini zao majina ya ajabu ndio maana nchi yetu ni haina migogoro tupo peace and love .

Mie nawaogopa tu maana nyie mnatumia majini na majini sio vitu vyema ni vitu ambavyo dini yetu tunawakemea
Majini yanaswali msikitini.
 
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga

Quran imetaja kwamba uislam ni wa waarabu ndio maana imeandikwa kwa lugha yao ili waielewe


1707742673667.png
 
Kabla ya kulalalamika waislamu wanachukiwa au uislamu unachukiwa.

Ulishawahi kuangalia wasio waislamu jinsi wanavyoishi na kuwa treated kwenye mataifa ya kiislamu?

Kwenye nchi za kiislamu, asiye muislamu anaweza kuabudu, kujenga nyumba ya ibada kwa uhuru, na kupata kazi kwa usawa kulingana na vigezo vyake vya kitaaluma??
Hapo Zanzibar tu washachoma makanisa, washauwa Padre, washazuia kanisa lisijengwe tena kwa maandamano na tingatinga..!!
 
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga
Umejuaje?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya kulalalamika waislamu wanachukiwa au uislamu unachukiwa.

Ulishawahi kuangalia wasio waislamu jinsi wanavyoishi na kuwa treated kwenye mataifa ya kiislamu?

Kwenye nchi za kiislamu, asiye muislamu anaweza kuabudu, kujenga nyumba ya ibada kwa uhuru, na kupata kazi kwa usawa kulingana na vigezo vyake vya kitaaluma??
Wakristo Nchi za kiarabu wamelindwa hadi leo, nani anawaua hawa Wakristo? Si ni Israel? Hutaona si humu wala Nchi za Magharibi wakimkemea Israel na washirika wake, Bali ni propaganda kwenda mbele.

1. Egpty, Kuna wakristo wengi sana wa Copts na wana nguvu Egpty na wanamiliki uchumi mkubwa tu, mfano ni Familia ya Sawaris ambayo ndio familia Tajiri zaidi Africa, na katika Familia Tajiri Duniani.

2. Lebanon Nchi nyengine yenye Wakristo wengi ya kiarabu, wana Katiba zao wenyewe namba ya kuunda Serikali ya mseto na waisilamu, For years wanauliwa na West hao wakristo na kupelekea wakristo wa jiunge na Hezbollah, Syria na Makundi mengine ya kiisilamu.

3. Palestina Nchi nyengine ilikuwa na Wakristo wengi, kuanzia miaka hio ya Crusaders west wanaua Wakristo hilo eneo, ila waisilamu ndio wakawatetea na hadi kulinda makanisa yao. Mpaka leo wakristo na waisilamu wana coexist kwa amani tu.

4. Iraq wakati wa Saddam wakristo walikua wakiishi kwa amani kabisa, wakapewa vyeo vikubwa vikubwa nini kimetokea baada ya Usa kuvamia? Wanauliwa

5. Syria wana wakristo wa kutosha nao waliishi kwa amani tu mpaka 2011 baada ya Uvamizi wa Usa Assyrian Christians wanauliwa kama kuku.

Tafuta source za Wakristo wa Middle East na usisubirie vyombo vya Magharibi vikuambie stori za kutunga, waarabu wengi wakristo na waisilamu zinaenda, na movement zote za Pan Arabs miaka kama 70 iliopita utaona wakristo walikuwa bega kwa bega na waisilamu.

Sehemu kama Oman kuna hadi Indigenous wahindu ambao wana Matemple yao na wanapewa hadi vyeo vya usheikh wanapata haki zote kama Raia wengine.
 
Niseme tu pole. Ila hata Muhammed alioa mtoto wa miaka 13 Je tumuite Mhuni au Muislam
Na mengi mabaya alifanya yamefunikwa kwa maslahi mapana. Kama Jamaa alifanya mengi ya ajabu anakuwaje awe kioo cha hiyo Imani Otherwise kuna maswali mengi ya kujiuliza
 
Al Shabaab, Boko Haram, sijui Islamic state West Africa sio waarabu ila wamawaua wakristu kwa jina la huyo Allah wenyu. Tunawachukia waislamu kwa sababu hizo sio kwa sababu ya waarabu.
 


Kwani lugha ya Yesu unaijua wewe ??

This article is about the theory that the New Testament was originally composed in Aramaic

matokeo ya kutokifahamu ki aramaic ni haya

O = omitted in main text.

B = bracketed in the main text – The translation team and most biblical scholars today believe were not part of the original text. However, these texts have been retained in brackets in the NASB and the Holman CSB.[147]

F = omission noted in the footnote.


Bible translation
PassageNIVNASBNKJVNRSVESVHCSBNETNLTWEBREBAMPCEBCJBCEVERVGWEXBGNTKnoxLEBMSGMounceNIrVNLVOJBNWT
Matthew 9:34F
Matthew 12:47FFFFFOFFF
Matthew 17:21FBFOFBOFFFOOOFOOOOO
Matthew 18:11FBFOFBOOFFOOOOFOOOOO
Matthew 21:44FFBFFFOFFFFO
Matthew 23:14FBFOFBOOFFOOOOFOOOOO
Mark 7:16FBFOFBOOFFOOOFFOOOOO
Mark 9:44FBFOFBOOFOOOOOFOOOOO
Mark 9:46FBFOFBOOFOOOOOFOOOOO
Mark 11:26FBFOFBOOFOOOOFOOOOBO
Mark 15:28FBFOFBOOFFOOOOFOOOOBO
Mark 16:9–20BBFFBBBFBFFBFBBBO
Luke 17:36FBFOFBOOFFFOOOOFOOOOO
Luke 22:20FFFFO
Luke 22:43BFFBBFFFFB+F
Luke 22:44BFFBBFFFFFB+F
Luke 23:17FBFOFBOOFFOOFOOFOOOOBO
Luke 24:12FFOF
Luke 24:40FFF
John 5:4FBFOFBOOFOOOOFOOOOBBO
John 7:53–8:11BFFBBBFBB+FO
Acts 8:37FBFFFBOOFFFOOOOFOOOOBBO
Acts 15:34FBFOFOOOFFFOOOOFOOOOBO
Acts 24:7FBFOFBOOFFOOOOOOOBO
Acts 28:29FBFOFBOOFFOOOOFOOOOBO
Romans 16:24FBFOFBOOFFOOOOFOOOOO
 
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga
Mkuu,

Unaweza kuwa na Uislamu wa kwenda kufanya Hijja ile ya kuzunguka Kibra uifanyie Jakarta Indonesia au Chicago , Illinois USA? Na misikiti yote ya dunia ielekee huko? Halafu Uislamu uendelee?
 
Shida ni kwamba hata wakifanya upuuzi huwa wanasema Allah Akbar, mwishowe dunia nzima inahusisha ukatili na dini yao. Hata mashambulizi ya October 7 ya Hamas dhidi ya Israel ambayo mimi naona yalikua sahihi kabisa shida ilikua ni fighters kupiga Allahu Akbar. Ile iliwapotezea marks za support kutoka jamii zote ambazo sio waislam.
 
Shida ni kwamba hata wakifanya upuuzi huwa wanasema Allah Akbar, mwishowe dunia nzima inahusisha ukatili na dini yao. Hata mashambulizi ya October 7 ya Hamas dhidi ya Israel ambayo mimi naona yalikua sahihi kabisa shida ilikua ni fighters kupiga Allahu Akbar. Ile iliwapotezea marks za support kutoka jamii zote ambazo sio waislam.
Ndiyo mafundisho ya kanisa gani hayo ?
 
Mkuu,

Unaweza kuwa na Uislamu wa kwenda kufanya Hijja ile ya kuzunguka Kibra uifanyie Jakarta Indonesia au Chicago , Illinois USA? Na misikiti yote ya dunia ielekee huko? Halafu Uislamu uendelee?

Hujamu ignore huyo ?? Mr Ignoer😛😛😛
 
Eunuch hawaingii katika mkutano wa Bwana kwa mujibu wa aya ya Biblia , au huelewi kuwa eunuch wanakuwa castrated ??

Zamani kulikuwa hakuna neno Gays, wakiita hilo jina eunuch
Nikuandikie kwa kiswahili....
Towashi sio Shoga.
Ungesoma hata hiyo mistari uliyo-quote usingekuwa unajiabisha saiv hapa.
 
  • Thanks
Reactions: 511
  • Masikitiko
Reactions: 511
Yani jamii zote duniani ikiwemo watu weusi kuna wenye matatizo ya akili, kuna wwasio na dini na kuna wahuni.

Lakini jambo akifanya Muarabu: basi huyo moja kwa moja ni muislam, hakuna muarabu asie na dini, hakuna muarabu mhuni au katili au mjinga, chochote anachofanya muarabu basi anafanya kuiwakilisha dini ya kiislam, kwanini?

Ni ujinga kutafsiri uislam kutoka kwa waarabu (generalized), hata waliomganyia madhila makubwa Mtume walikua ni waarabu hao hao tena wengine wa kabila lake alipozaliwa.

Uhusiano wa waarabu na Uislam ni mambo mawili tu:

1. Mtume alikua muarabu
2. Quran imeandikwa kwa kiarabu, tofauti na hapo, muarabu ni muarabu na muislam ni muislam

Acheni chuki za kijinga
IMG_20240212_170734.jpg
 
Shida ni kwamba hata wakifanya upuuzi huwa wanasema Allah Akbar, mwishowe dunia nzima inahusisha ukatili na dini yao. Hata mashambulizi ya October 7 ya Hamas dhidi ya Israel ambayo mimi naona yalikua sahihi kabisa shida ilikua ni fighters kupiga Allahu Akbar. Ile iliwapotezea marks za support kutoka jamii zote ambazo sio waislam.
Hata waarabu wakristo wanasema Allah Akbar, kiswahili chake Mungu ni mkuu ama mkubwa kama hivyo.

cusp9b4yzo321.jpg

So usiogope, Resistance za Wapalestina kuna wakristo pia ambao wanapigania haki yao.
 
Wazungu walitumi nguv nying na kutuaminisha kua ivo muarab ni mtu mbaya! Na sisi tushajenga kwenye akil yetu picha ya muarabu ipo vp
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom