The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ugali ungekua ni chakula cha maana basi ungekua unaukuta kwenye sherehe,
Ulishaenda kwenye sherehe ukakuta Ugali na Bamia?
Wewe mwenyewe ukikuta Ugali harusini lazima uwaseme wahusika,ugali unaliwa ili kujaza tumbo tu.
Ulishaenda kwenye sherehe ukakuta Ugali na Bamia?
Wewe mwenyewe ukikuta Ugali harusini lazima uwaseme wahusika,ugali unaliwa ili kujaza tumbo tu.