Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Jina la id na ulichokomenti kama vinaendana hivii🤣🤣😎Ukoko wa Ugali ni mtamu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina la id na ulichokomenti kama vinaendana hivii🤣🤣😎Ukoko wa Ugali ni mtamu sana
kidogo napata picha kwanini watanzania wengi walioko 40+ wana vitambi visivyokoma.Ugali ni chakula cha matatizo,ndio maana mkiwa mnaula mpaka mvue mashati utafikiri mnachimba shimo kwa Jembe.
Hata wewe piaJina la id na ulichokomenti kama vinaendana hivii🤣🤣😎
Gen Z wengi wana maumbo madogo madogo sana..jiulize kwa nini?kidogo napata picha kwanini watanzania wengi walioko 40+ wana vitambi visivyokoma.
nyama choma kwa sana, wali.... ugali hawali.
Tunakula tu matumbo yajae ila ugali hapana, chakula gani hakiliki bila mboga?!! Ndizi, viazi, mihogo wali vinapanda tu inakuja ugali sasa...
Hatimae umesema ukweli, ugali ni hali tu ya uchumi ndo inatuamulia hivyoKweli muda mwingine ugali hauliki kabisa sema hali zetu zinatufanya tulazimishe mambo
Yesssss ugali una mboga zake bwanaaUgali uupige na nyamachoma, ndimu na kachumbari ya kwenda.
Ugali ule na kambale alioungwa na nazi 🤣
Ugali na kitimoto rosti acha kabisa.
kwasababu ni wadogo, tuwaache wamalize kusomaGen Z wengi wana maumbo madogo madogo sana..jiulize kwa nini?
Hatimae umesema ukweli, ugali ni hali tu ya uchumi ndo inatuamulia hivyo
Kabichi iliyochanganywa na nyama inakuwa poa sana,binafsi hata kabeji huwa najiuliza ni nani alibuni kua ni mboga
Tuna ubaguzi wa rangi mpaka kwenye ugali 😂😂😂.Cha kushangaza,
Nilivyoanza kuishi morogoro na dar es salaam, nilishangaa sana watu kudharau dona na kusema ni chakula cha masikini. Eti dona inanenepesha.
Halafu ni kama ugali unachukiwa zaidi huku dar es salaam kuliko mikoani.
Nafikiri na mapishi ila kabeji silikubali kabisaKabichi iliyochanganywa na nyama inakuwa poa sana,