The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wengi wanaosema hivyo ni wapakwa mafuta mkuu usiwasikilize. Wengi wao ni wateja wa P. Diddy.Wanasema ugali una dumaza akili.
Bado natafiti wale ambao chakula chao ni mpunga/wali Wana akili nyingi kiasi gani?
Kuna Mtu alisema eti ukitaka kujua Ugali siyo chakula..Chakula hata mifugo hawakitaki, ugali sio kabisa.....
Kenya wanakula ugali harusini wale Jamaa kweli ni wadudu wa ungaUgali ungekua ni chakula cha maana basi ungekua unaukuta kwenye sherehe,
Ulishaenda kwenye sherehe ukakuta Ugali na Bamia?
Wewe mwenyewe ukikuta Ugali harusini lazima uwaseme wahusika,ugali unaliwa ili kujaza tumbo tu.
Aliegundua ugali, motoni....Kuna Mtu alisema eti ukitaka kujua Ugali siyo chakula..
Ukienda kwa Mama lishe atakuambia chakula kimeisha umebaki tu Ugali🤣
HahahhahaChakula hata mifugo hawakitaki, ugali sio kabisa.....
Huwa nikiona mbwa na kuku wanavyoukwepa nabak kucheka tu,tunazidiwa akili na kukuChakula hata mifugo hawakitaki, ugali sio kabisa.....
Nikajua naichukia peke yangubinafsi hata kabeji huwa najiuliza ni nani alibuni kua ni mboga
Ugali wa dona una viritubisho vingi vya protein. Huu ni mzuri sana.
Wadau habari ya Jioni,
kwani ugali una shida gani, mimi
nilijua ni hapa tu jamiiforum kumbe hata majumbani kwa watu.
Mimi ni mzanaki wa pale Kyabakari mbona kule kwetu tunakula ule ugali wa mtama na tupo fresh tu.
Tena ukila ugali wa mchanganyiko wa udaga na mtama alafu mboga yako ikawa kuku wa kienyeji jogoo ukalipika chuku chuku mbona tunakuwa tupo strong tu, kimwili na kiakili.
Watanzania tuachane na mambo ya kuzungu, Kama unapenda ugali basi dondosha comment yako kwa aina ya ugali unaopikwa kwenye kabila lako.
Nawasilisha;
Ugali mtamu basi tu unadondoshwa na mboga. Imagine ugali kitimoto losti very yummy
Sasa mtu wa mjini umpe huu ugali lazima atauchukiaView attachment 3117112
ugali mbona mtamu ukipata mboga nzuri?Ugali ungekua ni chakula cha maana basi ungekua unaukuta kwenye sherehe,
Ulishaenda kwenye sherehe ukakuta Ugali na Bamia?
Wewe mwenyewe ukikuta Ugali harusini lazima uwaseme wahusika,ugali unaliwa ili kujaza tumbo tu.
Ugali unadumaza akili ndo mana Africa hatunaga akili. Je akili ni nn? ukitoa kile ulichofundishwa kinachobaki kichwani mwako ndo akili. Ndo mana hatuna ubunifu kama wazungu kila kitu tunasubiri wazungu wabuni kisha na ss tutumie. Mfano kadhaa ni cm, gari, meli, ndege, na vitu vngine kibao
Wadau habari ya Jioni,
kwani ugali una shida gani, mimi
nilijua ni hapa tu jamiiforum kumbe hata majumbani kwa watu.
Mimi ni mzanaki wa pale Kyabakari mbona kule kwetu tunakula ule ugali wa mtama na tupo fresh tu.
Tena ukila ugali wa mchanganyiko wa udaga na mtama alafu mboga yako ikawa kuku wa kienyeji jogoo ukalipika chuku chuku mbona tunakuwa tupo strong tu, kimwili na kiakili.
Watanzania tuachane na mambo ya kuzungu, Kama unapenda ugali basi dondosha comment yako kwa aina ya ugali unaopikwa kwenye kabila lako.
Nawasilisha;
Kumbe umesoma tengeru boysugali mbona mtamu ukipata mboga nzuri?
nakumbuka shule waliluwa wananiita mr bean kwa jinsi nilivyokuwa nafakamia ugali maharage
na sijawahi tena kula ugali maharage mtamu kuliko ule wa pale tengeru boys sekondari
#ugalimenukali