Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

Ugali wa dona una viritubisho vingi vya protein. Huu ni mzuri sana.

Tatizo ukikoboa unaondoa protein yote unabakisha wanga tu, usio na virutubisho. Ni nishati tu isiyo na virutubisho.

Na Watanzania wengi wanakula ugali wa kukoboa.
Cha kushangaza,

Nilivyoanza kuishi morogoro na dar es salaam, nilishangaa sana watu kudharau dona na kusema ni chakula cha masikini. Eti dona inanenepesha.

Halafu ni kama ugali unachukiwa zaidi huku dar es salaam kuliko mikoani.
 
Ulifanya utafiti, au una backup yeyote ya utafiti?
 
ugali mbona mtamu ukipata mboga nzuri?

nakumbuka shule waliluwa wananiita mr bean kwa jinsi nilivyokuwa nafakamia ugali maharage

na sijawahi tena kula ugali maharage mtamu kuliko ule wa pale tengeru boys sekondari

#ugalimenukali
Ugali ni chakula cha matatizo,ndio maana mkiwa mnaula mpaka mvue mashati utafikiri mnachimba shimo kwa Jembe.
 
Muulize Rayns
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…