Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,723
- 2,358
Ugali hauna shida, ugali wa mihogo na kisamvu kilochoungwa na karanga na nazi na dagaa pembeni ni chakula kitamu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupewa onyo Bi mkubwa si kwamba tulimvunjia heshima bali ilikua huruka ya mzee kusikiliza watoto wake kuliko mtu yeyote yule, isitoshe tulikua watoto mkuuUnajisikiaje kuandika kuwa mama yako alipewa onyo mbele yako? Umeandika ushuzi mtupu.
Tofauti, tofauti. Unaweza kutumia unga wa mihogo, mahindi, mtama, magimbi.Kwani ugali unaandaliwa kwa kutumia nafaka gani?
Naona wapenda ugali kuna kitu hamkielewi,Ugali hauna shida, ugali wa mihogo na kisamvu kilochoungwa na karanga na nazi na dagaa pembeni ni chakula kitamu sana.
Kawaida hiyo. Hata wali bila mboga haunogi, au ngano yoyote bila mafuta, chumvi, viungo flani hauko sawa.Naona wapenda ugali kuna kitu hamkielewi,
Ukishasema ugali unakua mtamu kwa kusifia mboga ambazo utakula na huo ugali,tayari unakubali kua Ugali sio chakula kizuri ila mpaka upate support ya mboga fulani,
Hizo mboga zikiufanya ugali kua mtamu basi ni sifa kwa mboga sio kwa ugali.
si ndio hapo, wanajifanya wanapenda wali etiWengi wenu hapa mmekuzwa na ugali tangu enzi za ujamaa na kujitegemea, Leo majifanya mnakereka na ugali 😏😏
ugali na maziwa mtindi unaenda bila shidaKawaida hiyo. Hata wali bila mboga haunogi, au ngano yoyote bila mafuta, chumvi, viungo flani hauko sawa.
Carbohydrates nyingi zinahitaji kitu cha kusindikizia ili ushuke, ukishindwa kabisa kupata mboga unaweza kushusha na maziwa, hata maji.
Kabisa.ugali na maziwa mtindi unaenda bila shida
Ugali ni chakula bora sana
Mlikuwa wapumbavu. Na hata sasa wewe bado ni mpumbavu kwa jinsi ulivyoandika. Inaonekana unamchukulia mama yako kama wa kawaida sana.Kupewa onyo Bi mkubwa si kwamba tulimvunjia heshima bali ilikua huruka ya mzee kusikiliza watoto wake kuliko mtu yeyote yule, isitoshe tulikua watoto mkuu
basi ugali ni chakula bora,hii hukumu isiangalie mahindi tu!Tofauti, tofauti. Unaweza kutumia unga wa mihogo, mahindi, mtama, magimbi.
Ugali wa mahindi ambayo hayajakobolewa kiafya ni chakula kizuri kuliko hivi vyakula vingi vinavyotengenezwa na ngano kama chapati, maandazi, macaroni, mikate mweupe nk.basi ugali ni chakula bora,hii hukumu isiangalie mahindi tu!
mtu akipika ugali wa ngano asidhaniwe anakula mahindi.
Hapana Ila jirani yenu hapo katiWakaka wanapiga ugali mzuri hawakai kihasara hasara...
Wewe wa precious blood?