Kwanini watu wanaezeka paa linaenda juu hadi nyumba inakuwa kama piramidi?

Kwanini watu wanaezeka paa linaenda juu hadi nyumba inakuwa kama piramidi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Wakuu sana ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi?

Kuna faida gani? Standard zinasemaje?

1668244873856.png

1668244914497.png


1668244949386.png
 
Wengi watasema ni mwonekano ila faida ni kutiririsha unyevu kwa haraka na kusaidia bati kutokushika kutu kirahisi pia husaidia kuzuia joto.
Wazungu huwa wanajenga hivyo kuzuia barafu kukwama na kushusha paa.

Pia wao kwenye dari(Attic) kunakuwaga na vyumba vya kulala kabisa.

Sasa huku kwetu, ukizingatia imeanza siku hizi bati ni za rangi, point ya maji kutuama na kushika kutu haina nguvu.

Joto ni point nzuri japo utazikuta hata Njombe na Mafinga
 
Nyingi sababu zinakuwa kutoruhusu matope ya maji kukaa hata sekunde ili kupunguza kuntu..
Pia nafikiri kwenye mambo ya ujenzi kuna standard ya umbali wa paa na dari ili kukinga nyumba na joto.

Sidhani kama tunapaswa kujenga nyumba kama mapiramidi.

Ingefaa tungejua standard ipo namna gani.
 
Back
Top Bottom