Ni:-
1. Ni nzuri kimuonekano/Fashion
2. Ukiwa ndani hutazisikia kelele za kwanye paa e.g. mtanuko (expansions na contractions) yoyote kwenye paa hutaisikia japo iko, kelele za mvua na radi
3. Ni rahisi kupita ili kufanya shughuli mbalimbali ndani ya paa e.g. wiring, kudhibiti wadudu/wanyama e.g. popo, nyuki n.k.
4.Joto litokanalo na bati linadhibitiwa(Control) i.e. halifiki chini wanakoishi watu kutokana na umbali uliopo kati ya ceiling na bati
5.Paa haliezuliwi kirahisi na upepo mkali/kimbunga
Ni:-
1. Matumizi mabovu ya rasilimali fedha (it is uneconomical) kwani unatumia bati nyingi, mbao nyingi na misumari kgs.nyingi bila sababu za kimsingi
2. Kutokana na mteremko mkali (Slope/angle of inclination), maji yatiririkayo kutoka kwenye paa e.g. ya mvua huwa na kasi kubwa(speed) na hivyo huchimba sana ardhi-mzunguko wa nyumba na wakati mwingine husababisha uharibifu mkubwa katika mazingira yazungukayo nyumba hiyo.
3. Ni vigumu au huwa ni changamoto kubwa kufanya ukarabati juu ya paa e.g. roof filling au kufagia (Usafi) wa takataka/vumbi ziletwazo na upepo na kunasa juu kwenye paa
##4**Paa hilo likishika moto kwa kweli hakuna rangi utaacha kuona kwani kuna fuel(Mbao/kuni) za kutosha na sio rahisi kupanda huko kama wewe sio jasiri au mtaalam ili ukapambane na moto kichaa utakaokuwepo.
-Kwa maoni yangu wewe Lycaon pictus(mbwa mwitu), akili za kupewa ongezea na za kwako. Je, katika mazingira unayoishi ni lazima paa la nyumba yako liwe hivyo? (Unaiga tu kama fashion ili umpendezeshe nani), Je utamudu gharama husika bila kuathiri/kukwamisha shughuli zingine za kimaendeleo za familia yako?
Ni hayo tu. (Samahani lakini kama nimekuudhi hapo juu kwa kulitaja jina lako kwa kiswahili/kibongo)