Mwishowe paa likiwa na shida mafundi wanakuwa ghali sana.Kila mmoja anaogopa kupanda bila vifaa maalum vya kuzuia kodondoka chini.Wakuu sana. ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi? kuna faida gani? standard zinasemaje?
View attachment 2414305
View attachment 2414306
View attachment 2414308
Ulimbukeni,ushamba na kuigana..Wakuu sana ni nini kinafanya watu waezeke nyumba na paa linaenda juu kama piramidi? Kuna faida gani? Standard zinasemaje?
View attachment 2414305
View attachment 2414306
View attachment 2414308
Kwanza kusema Zina muonekano mzuri Ni uongo ,Ni mbayaWengi watasema ni mwonekano ila faida ni kutiririsha unyevu kwa haraka na kusaidia bati kutokushika kutu kirahisi pia husaidia kuzuia joto.
Thread closed!Wengi watasema ni mwonekano ila faida ni kutiririsha unyevu kwa haraka na kusaidia bati kutokushika kutu kirahisi pia husaidia kuzuia joto.
Au Kama Uyoga au Mwamvuli na Mara nyingi huwa Kama zimefanana mtaa mzimaUtafikiri makanisa
Mnajiongelesha Mambo yasiyo na msingi,ukuta standard Ni kuanzia mita 3 na madirisha walau ya 5*5 ft kulingana na Hali ya hewa ya mahala..Nyingi sababu zinakuwa kutoruhusu matope ya maji kukaa hata sekunde ili kupunguza kuntu, kingine hata joto pia linapunguza panakuwa na distance kutoka kweny paa mpaka kweny Gypsum kwa eneo la katikati.
Nakataa paa refu kushinda ukuta Wala huwa sio nzuri kimuonekano..Ni:-
1. Ni nzuri kimuonekano/Fashion
2. Ukiwa ndani hutazisikia kelele za kwanye paa e.g. mtanuko (expansions na contractions) yoyote kwenye paa hutaisikia japo iko, kelele za mvua na radi
3. Ni rahisi kupita ili kufanya shughuli mbalimbali ndani ya paa e.g. wiring, kudhibiti wadudu/wanyama e.g. popo, nyuki n.k.
4.Joto litokanalo na bati linadhibitiwa(Control) i.e. halifiki chini wanakoishi watu kutokana na umbali uliopo kati ya ceiling na bati
5.Paa haliezuliwi kirahisi na upepo mkali/kimbunga
Ni:-
1. Matumizi mabovu ya rasilimali fedha (it is uneconomical) kwani unatumia bati nyingi, mbao nyingi na misumari kgs.nyingi bila sababu za kimsingi
2. Kutokana na mteremko mkali (Slope/angle of inclination), maji yatiririkayo kutoka kwenye paa e.g. ya mvua huwa na kasi kubwa(speed) na hivyo huchimba sana ardhi-mzunguko wa nyumba na wakati mwingine husababisha uharibifu mkubwa katika mazingira yazungukayo nyumba hiyo.
3. Ni vigumu au huwa ni changamoto kubwa kufanya ukarabati juu ya paa e.g. roof filling au kufagia (Usafi) wa takataka/vumbi ziletwazo na upepo na kunasa juu kwenye paa
##4**Paa hilo likishika moto kwa kweli hakuna rangi utaacha kuona kwani kuna fuel(Mbao/kuni) za kutosha na sio rahisi kupanda huko kama wewe sio jasiri au mtaalam ili ukapambane na moto kichaa utakaokuwepo.
-Kwa maoni yangu wewe Lycaon pictus(mbwa mwitu), akili za kupewa ongezea na za kwako. Je, katika mazingira unayoishi ni lazima paa la nyumba yako liwe hivyo? (Unaiga tu kama fashion ili umpendezeshe nani), Je utamudu gharama husika bila kuathiri/kukwamisha shughuli zingine za kimaendeleo za familia yako?
Ni hayo tu. (Samahani lakini kama nimekuudhi hapo juu kwa kulitaja jina lako kwa kiswahili/kibongo)
Porojo hizo zisizo na msingi..Huo ni ushauri wa Kitaalam.
Mimi nilishauriwa kuwa Paa la chini ni British Style ya zamani sana.
Na Paa la juu ni ya kisasa ya French Style.
Eng aliendelea kueleza kuwa King Post ya Paa inatakiwa iwe na urefu sawa na Nusu lipenyo cha Boma la nyumba. Let say kama nyumba ni ya mraba upana 10M ×10M then King post inatakiwa iwe 5metres above. Hii ni kwa mujibu wa vipimo vyao vya researched evidences na sio porojo za mafundi.
Baada ya kunishawishi ilibidi nikubaliane na ushauri wa kitaalam
Hata hivyo kuna ishu ya utashi na mapenzi unaweza kuezeka unavyotaka
Na Tunduma ndio Kuna huo ulimbukeni.Ushamba tu wawasukuma huo
Nmetembeleza kahama,geita na chato
Nmeona nyumba nyingi ziko hivyo
Hata kaburi la mwendazake nalo wamepaua hivyo[emoji848]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kuna paa niliiona njia ya pugu mnadani, nikajisemea moyoni labda litakuwa cathedral!
Niwekee nyumba yenye paa refu afu tulinganishe na hizi zenye paa la wastani yaani ukuta mrefu kuliko kingpost 👇Wengi tunajenga hivyo sababu kuu ni muonekano mzuri
Yap. Yani nyumba mwonekano wake imetulia kweli. Haina mbwembwe. A decent houseNiwekee nyumba yenye paa refu afu tulinganishe na hizi zenye paa la wastani yaani ukuta mrefu kuliko kingpost 👇
British style na French style ni porojo?Porojo hizo zisizo na msingi..
Design ya roofing mbaya sana kwa picha kama hii.Niwekee nyumba yenye paa refu afu tulinganishe na hizi zenye paa la wastani yaani ukuta mrefu kuliko kingpost 👇