Kwanini watu wanaezeka paa linaenda juu hadi nyumba inakuwa kama piramidi?

Nyingi sababu zinakuwa kutoruhusu matope ya maji kukaa hata sekunde ili kupunguza kuntu, kingine hata joto pia linapunguza panakuwa na distance kutoka kweny paa mpaka kweny Gypsum kwa eneo la katikati.
Mnajiongelesha Mambo yasiyo na msingi,ukuta standard Ni kuanzia mita 3 na madirisha walau ya 5*5 ft kulingana na Hali ya hewa ya mahala..

Sasa kwa kina Cha mita 3 ,Hilo joto linatoka wapi?
 
Nakataa paa refu kushinda ukuta Wala huwa sio nzuri kimuonekano..

Ukitaka muonekano mzuri paa liwe na urefu pungufu ya ukuta..

Ukuta mita 3 afu paa mita 6 Kuna uzuri gani hapo zaidi ya kuwa Kama kitu kimefunikwa? Shepu ya Uyoga.
 
Porojo hizo zisizo na msingi..
 
Wengi tunajenga hivyo sababu kuu ni muonekano mzuri
Niwekee nyumba yenye paa refu afu tulinganishe na hizi zenye paa la wastani yaani ukuta mrefu kuliko kingpost 👇
 

Attachments

  • NDENJE LAST PLAN1.png
    112.4 KB · Views: 26
  • NDENJE LAST PLAN-1.png
    115.7 KB · Views: 24
  • MWAMBESO FINAL PLAN.png
    44.9 KB · Views: 25
  • MWAMBESO FINAL PLAN1.png
    51.2 KB · Views: 26
  • MWAMBESO FINAL PLAN2.png
    47.2 KB · Views: 24
  • MWAMBESO FINAL PLAN3.png
    62.7 KB · Views: 21
  • MWAMBESO FINAL PLAN4.png
    32.9 KB · Views: 29
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…