Kwanini watu wanaezeka paa linaenda juu hadi nyumba inakuwa kama piramidi?

Kila kitu kina sababu yake. Umewahi kuishi nyumba yenye paa la chini sehemu kama Dar ukaona khabari

Kila kitu kina sababu yake. Umewahi kuishi nyumba yenye paa la chini sehemu kama Dar ukaona khabari yake?
umenikumbusha niliish nyumba moja hiv yan uko juu ya bati ikifika mchana utasema wanapalilia ubwabwa ikafika kipind nalala na dripu bila vile nazan nisinge toboa yan na ukoboko wangu nilianza kubanduka magamba
hongera kwa wabunifu😅😅
 
Nyingi sababu zinakuwa kutoruhusu matope ya maji kukaa hata sekunde ili kupunguza kuntu, kingine hata joto pia linapunguza panakuwa na distance kutoka kweny paa mpaka kweny Gypsum kwa eneo la katikati.
Hayo 'matope' ya maji (mvua) kwenye bati ni kitu gani?
 
Kila kitu kina sababu yake. Umewahi kuishi nyumba yenye paa la chini sehemu kama Dar ukaona khabari yake?
wakati naanza maisha nilikuwa nakaa nyumba yenye paa la chini yani ukiinua tu mkono juu unagusa paa aiseee ile nyumba ilikuwa lazma ukaoge ndo uje ulale mda huo huo tena feni ikiwa speed ya mwisho

balaa ni umeme ukikatika mzee lazma utoke nje
 
Ushamba tu tena kama huku vijijn ndo zmezdi wenyew wanaita ViDUKU. yan inachongoka mpka fundi ukimwambia akafunge panel za solar anakataa hyo kaz ya kupanda juu
 
Hao still roho za waliojenga mnara wa babeli zinawasumbua.

Binadamu hamjawai acha mjaribu aliye juu.
 
Hilo dari lina uimara gan wa kufanya chumba
 
Nyumba inakuwa Kama Uyoga au Mwamvuli inakuaje na urembo kwa staili hiyo?
 
Ndiyo urefu wa paa uzidi urefu wa kuta?
[emoji1787] fundi Maiko akitaka pesa nyingi za kupaua ni lazima apaue kwa mtindo huo. Hapo anakuingiza gharama kubwa za material na ufundi bila sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…