Kwanini Watu wanaoendesha magari binafsi wanapenda kuwachungulia walio kwenye daladala?

Kwanini Watu wanaoendesha magari binafsi wanapenda kuwachungulia walio kwenye daladala?

Wewe hauna mkuu? Jf kila mtu ana gari kasoro mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha waenda kwa miguu tuko wachache humu JF
Boda boda mnatupora simu sisi tulio kwenye madaladala

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo ki kazi zaidi
Mnatupa wakt mgumu tulio kwenye madaladala na wake zetu tunaonekana si lolote si chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnatupa wakt mgumu tulio kwenye madaladala na wake zetu tunaonekana si lolote si chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi gari sina ila mara nyingi nikiazima ndio tabia yangu hiyo. Halafu kuhusu kupata wakati mgumu nadhani hiyo inakua hofu yako tu. Kama mkeo anaielewa hali yako ya nyumbani huna haja ya kuhofu kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena aliyekaa kiti cha abiria ndo anachungulia na kushangaa zaidi, tena ukute siku hiyo kapewa lift! Nafikiri mtu anakuwa anashangaa kuwa duh kumbe hata mimi nilikuwa/uwa napata suluba vile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napendaga tu kuangalia wanaoendesha magari mazuri. Sasa kuna siku kimbelembele changu hiki wakati navuka barabara kukawa na Prado kali nikaisimamisha nivuke. Ile kumuangalia driver nusu nianguke barabarani. Alikua kavaa ninja na katia kinyago kwa juu. Nilihisi nimekutana na jambazi. Ila hiyo tabia sijaacha. Nikiona vigari vya kawaida wala siangalii ila haya mazuri naangalia tu nasema one day yes

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] una nini wewww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena aliyekaa kiti cha abiria ndo anachungulia na kushangaa zaidi, tena ukute siku hiyo kapewa lift! Nafikiri mtu anakuwa anashangaa kuwa duh kumbe hata mimi nilikuwa/uwa napata suluba vile[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yan utafikir kuna mwizi wake aliekua anamtafta sana kamuona humo kwenye daladala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kwa sasa hali ni mbaya sana, yani mimi gari langu natumia kwenda ofisin mara mbili tu kwa mwezi, siku nyingine zote niko kwenye kupangwa mistari miwili na kaka kondakta
Mwenye uhitaji aje nimuuzie hili gari aisee
Li-V8 limekushinda nini mkuu?
 
Back
Top Bottom