Kwanini watu wanaogopa sana kuiba umeme wa TANESCO kuliko maji ya DAWASCO?

umeme mali ya mungu kwanini nyie mnatuuzia ?
 
SAFI
 
Sasa mwizi mwenzetu wewe umeona maji na umeme ndio vya kuiba peke yake kwa nini hujiulizi zile nguo zilizoandikwa magereza urekebishaji haziibiwi hata zikiachwa siku 5 nje
 
Mwaka wa sita, ni kifaa gani hicho? Tupeane ujuzi
 
Uzi ufungwe.
 
Thread iishie hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…