Kwanini watu wanaziuza Nissan Xtrail kwa wingi sana?

Kwanini watu wanaziuza Nissan Xtrail kwa wingi sana?

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Ni jambo la ajabu sana ila tokea mwaka jana 2024 mwezi wa Disemba nimekuwa nikikutana na matangazo mengi ya watu wakiuza magari yao ila katika matangazo 10 basi kuna matangazo 8 ya mauzo ya gari aina ya Nissan Xtrail.
images - 2025-02-08T233806.376.jpeg


Wapo wanaouza kwa sababu mbalimbali kama uhitaji wa pesa za matibabu, au kulipa ada za shule na kadhalika. Ila sio kitu cha kawaida kuona watu wakiuza magari haya kwa mwendokasi huku wakisifia sana ubora wake pamoja na uimara.
images - 2025-02-08T234309.889.jpeg


Natamani kufahamu je kwanini kipindi hiki Nissan Xtrail zinauzwa kwa wingi haswa kwa wale ambao walizinunua ila hawazitaki tena.
images - 2025-02-08T234318.124.jpeg
 
Ni jambo la ajabu sana ila tokea mwaka jana 2024 mwezi wa Disemba nimekuwa nikikutana na matangazo mengi ya watu wakiuza magari yao ila katika matangazo 10 basi kuna matangazo 8 ya mauzo ya gari aina ya Nissan Xtrail.
View attachment 3229538

Wapo wanaouza kwa sababu mbalimbali kama uhitaji wa pesa za matibabu, au kulipa ada za shule na kadhalika. Ila sio kitu cha kawaida kuona watu wakiuza magari haya kwa mwendokasi huku wakisifia sana ubora wake pamoja na uimara.
View attachment 3229539

Natamani kufahamu je kwanini kipindi hiki Nissan Xtrail zinauzwa kwa wingi haswa kwa wale ambao walizinunua ila hawazitaki tena.
View attachment 3229540
Spea mkuu,ziko ghali na zinapatikana kwa shida hadi Kenya na kuna mfumo flani zinazingua!Ngoja wajuzi waje kwa maelezo zaidi.
 
X-trail, Morano na Dualis zinaumaliza mwendo mapema sana, ni gari pasua kichwa kwa Tanzania. Mtu anatamani kulimiliki, akishalimiliki tu ghafla anataka kuachana nalo mapema kabla ya kumuua kwa presha, kisukari, vidonda vya tumbo, maumivu ya kichwa yasiyokoma, msongo mkubwa wa mawazo nk.
 
X-trail, Morano na Dualis zinaumaliza mwendo mapema sana, ni gari pasua kichwa kwa Tanzania. Mtu anatamani kulimiliki, akishalimiliki tu ghafla anataka kuachana nalo mapema kabla ya kumuua kwa presha, kisukari, vidonda vya tumbo, maumivu ya kichwa yasiyokoma, msongo mkubwa wa mawazo nk.
Aisee
 
Unawauliza WaTz kuhusu magari, they know nothing... WaTz waulize kuhusu IST VITZ CROWN au SPACIO... Washamba sana hawana exposure...
Mtz anataka kuweka oil ya 50k wakat gari inamuelekeza weka oil ya 100k yuo tayar kuweka kifaa cha bei nafuu ili asevu elfu30 akanywe bia bila kujua anaharibu gari...
 
Unawauliza WaTz kuhusu magari, they know nothing... WaTz waulize kuhusu IST VITZ CROWN au SPACIO... Washamba sana hawana exposure...
Mtz anataka kuweka oil ya 50k wakat gari inamuelekeza weka oil ya 100k yuo tayar kuweka kifaa cha bei nafuu ili asevu elfu30 akanywe bia bila kujua anaharibu gari...
Haya Basi uliuzwee wewe mchina! Haya tupe majibu mkuu!
 
Haya Basi uliuzwee wewe mchina! Haya tupe majibu mkuu!
Majibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
 
Majibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
Daah
 
Back
Top Bottom