msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 839
- 692
Hapana mkuu, hii ni kwa ajili ya huyu Mjapani asiyejali gharama ya mafuta lakini anaogopa gharama ya bia.!Kwa hiyo mkuu kataa ndoa sisi ni makapuku🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu, hii ni kwa ajili ya huyu Mjapani asiyejali gharama ya mafuta lakini anaogopa gharama ya bia.!Kwa hiyo mkuu kataa ndoa sisi ni makapuku🤣🤣🤣
We mbwa acha ego za kishamba, IST, Vitz, Crown, Spacio siyo magari?Unawauliza WaTz kuhusu magari, they know nothing... WaTz waulize kuhusu IST VITZ CROWN au SPACIO... Washamba sana hawana exposure...
Mtz anataka kuweka oil ya 50k wakat gari inamuelekeza weka oil ya 100k yuo tayar kuweka kifaa cha bei nafuu ili asevu elfu30 akanywe bia bila kujua anaharibu gari...
We mbwa unaumwa nenda katibiwe, shoga unaweza kuwaita watanzania useless? Hizi chuki na ghadhabu za niniMajibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
Nisan sio gar mbaya wa mbovu kias iko sema kwa hapa kwetu mafund weng ndio wamepelekea wamilik weng wa haya magar kuyachoka mapema kutokana na mafund kukosa elimu sahii ya kufix haya magar, kwanza nisan n gar yenye full of sensa sasa fund maiko akishbdwa kutatua tatzo kama ilvyo kwenye Toyota akikata nyaya sa sensor flan gar uendelea kurun bila sida ila kwa nissan haitak ujanja ujanja
SahihiWajapani hawana magari fake unaposema NISSAN ni gari mbovu sio sahihi. Zinauzwa zaidi kwa wenye akili USA na CHINA. Ninatumia Nissan x trail na Toyota harrier za miaka tofauti kwenye utengenezaji, Iko hivi kwenye x trail hizi gari ni poa sana nafikiri Nissan alitengeneza extrail kushindana na Toyota harrier kuanzia generation ya kwanza mpaka hizi mpya.x trail zote zina four-wheel drive ya kibabe sana hunasi kizembe na ni selective wakati harrier nyingi ni two-wheel drive, pia performance na fuel consumption ni nzuri kama unaagiza au kununua kwa mtu x trail nzuri zaidi ni hii ya kuanzia generation ya pili 2008 Ina umeme mwingi na matatizo mengi kwenye generation ya kwanza walirekebisha.Tatizo kubwa la x trail ni oil fake(engine na gearbox oils), narudia Tena tatizo la x trail ni OIL FAKE,engine na gearbox za x trail hazitaki oil fake. Tununue oil kwa authorized dealers tu hawa wajasiriamali wetu hawana huruma ni kula kwa urefu wa kamba tu, wahuni wanaweka package cover original kabisa ndani oil ni takataka na seals zote zinawekwa
Wanyarwanda,congo na wakenya hawana Kodi za kijinga kama ilivyo TZ ndiyo maana wanaweza kununua gari nzuri zaidi ya wtzMajibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
Msipotoshe watu humu elimu ya magari hamna huenda unasikia tuuh magari gear box nn unanunua gar huzingatii maelekezo kama bodi, atmospheric conditions, Land stability,n.k Kisha unakuja kudanganya watu gear box how,(....)??Gear box.
Haswa chasis yake na air flow mass senser.
Nikwel huenda hajui hata ni model gan ambay wabongo vichomi wameshindwa kuitunza maan mpaka range Rover watu wanauza tuuh sembuse Nissan xtrailMkuu ungespecify model ya Nissan Xtrail na mwaka husika wa Nissan ambao ni umekuta sokoni zinauzwa sana, hiyo ndiyo tungejua tatizo liko wapo
Haya ma nissan ni usenge tu dawa yake ni Toyota basiShida kubwa ni transmission na engine. Kimojawapo lazma kitakusumbua. Nina ushuhuda wa Nissan Dualis ya boss wangu kasha overhaul mara moja ila matatizo hayapoi. Sahizi gari imekufa ac haipoozi🤣 na haiwez kupanda hata kreti la soda la pepsi. Yani mlima wenye inclination sawa na creti la soda gari haina nguvu ya kupanda.
Naendesha Gari Hata baba yako hamiliki gari. Na nikwambie tu nina Suzuki escudo g16 mbili, za 98, urithi kutoka kwa mshua, najua shida za gari kuliko unavyodhani mwehu wewe.Msipotoshe watu humu elimu ya magari hamna huenda unasikia tuuh magari gear box nn unanunua gar huzingatii maelekezo kama bodi, atmospheric conditions, Land stability,n.k Kisha unakuja kudanganya watu gear box how,(....)??
Sijui exposure uliyo nayo ni ya aina gani. Lakini kuacha watu waishi maisha yao ni dalili ya kuwa na exposure pia. London watu wengi hawana magari kwa sababu parking ni expensive, foleni, na public transport ni reliable. Lakini sioni watu wakishangaa kuwa wenzao hawana magari. Hio pia ni wao hawana exposure? Btw hujui natumia magari ya aina gani.Wewe sema maneno yote... Mimi nipo hapa kwajil ya kuwaelimisha wajinga kama wewe ambao ni useless hamjitambui na hamna exposure ya maisha... Nikusaidie tu siku ukipata pesa za kubet au ukihongwa na mume wa dada yako, usinunue magari yasiyo na maana kwa kuogopa spares au ulaji mafuta...
Nikuambie tu hata V8 haili mafuta kama masikini wenzako walivyo kuaminisha... Wewe bado mtoto mdogo bado unanuka maziwa ya mama yako huwez kuelewa hii elimu nayokupa...
Kwani wangap wananunua hizo gari za bei rahisi mnazozipenda mnasema hazili mafuta na spares bei rahisi lakini bado wanashindwa kuzihudumia..?
Gari yoyote usipozingatia menu yake itakusumbua 🤣💩 mbona njian kuna IST SPACIO na VITZ nyingi mmetoka kununua juzi tu ila zimechoka zinapiga kelele kama vile zina miaka 10 barabarani?
Exposure na Elimu ni jambo la muhimu sana ktk maisha, nakusaidia haya ili ukiwa mkubwa usidanganywe