Kwanini watu wanaziuza Nissan Xtrail kwa wingi sana?

Kwanini watu wanaziuza Nissan Xtrail kwa wingi sana?

Majibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
Ongea point ueleweke we pimbi
 
Naendesha Gari Hata baba yako hamiliki gari. Na nikwambie tu nina Suzuki escudo g16 mbili, za 98, urithi kutoka kwa mshua, najua shida za gari kuliko unavyodhani mwehu wewe.
Nissan X-Trail nchini Tanzania, hasa yale yenye gearbox ya CVT (Continuously Variable Transmission), yanakabiliwa na changamoto kadhaa zinazohusiana na mfumo wa gia. Sababu zipo nyingi mfano matumizi ya mafuta bora ya transmission, xtrail mafuta yake huwa ni maalumu, NS -2 AU 3 CVT fluid. Wengi wanachanganya tu.
Matumizi mabaya ya gari, mtu anatoa xtrail kwasababu gari ya juu, anaovertake kama anaendesha v8 au harrier au brevis na markx.
Matengenezo ya hovyo. Pia zinaua sana gia box za hizi gari.
Wewe mtoto wa mama unadhihaki watu humu tutaja kukupiga dole. Mimi huniambii chochite kuhusu gari. Labda uje tuelekezane. Nimefanya ufundi hapo bongo 3 fckn years nimeagiza magari 7 years. Fck u bitch
Still ur Soo nothing in our mindset brow wasingetengeneza na watu wasinge nunua stupid that's what u say
 
Unawauliza WaTz kuhusu magari, they know nothing... WaTz waulize kuhusu IST VITZ CROWN au SPACIO... Washamba sana hawana exposure...
Mtz anataka kuweka oil ya 50k wakat gari inamuelekeza weka oil ya 100k yuo tayar kuweka kifaa cha bei nafuu ili asevu elfu30 akanywe bia bila kujua anaharibu gari...
Kwenye avatar Yako hiyo ni gari Gani mkuu😄😄
 
Nissan xtrail ni gari nzuri sana kama ni mtunzaji, nilimiliki xtrail T30 karibu miaka 7 sijawahi kujuta. Niliuza kwa kubadili tu gari.
 
Wajapani hawana magari fake unaposema NISSAN ni gari mbovu sio sahihi. Zinauzwa zaidi kwa wenye akili USA na CHINA. Ninatumia Nissan x trail na Toyota harrier za miaka tofauti kwenye utengenezaji, Iko hivi kwenye x trail hizi gari ni poa sana nafikiri Nissan alitengeneza extrail kushindana na Toyota harrier kuanzia generation ya kwanza mpaka hizi mpya.x trail zote zina four-wheel drive ya kibabe sana hunasi kizembe na ni selective wakati harrier nyingi ni two-wheel drive, pia performance na fuel consumption ni nzuri kama unaagiza au kununua kwa mtu x trail nzuri zaidi ni hii ya kuanzia generation ya pili 2008 Ina umeme mwingi na matatizo mengi kwenye generation ya kwanza walirekebisha.Tatizo kubwa la x trail ni oil fake(engine na gearbox oils), narudia Tena tatizo la x trail ni OIL FAKE,engine na gearbox za x trail hazitaki oil fake. Tununue oil kwa authorized dealers tu hawa wajasiriamali wetu hawana huruma ni kula kwa urefu wa kamba tu, wahuni wanaweka package cover original kabisa ndani oil ni takataka na seals zote zinawekwa
Haya maelezo yamejitosheleza kabisa!
 
Na hapo anakuwa katembea kilomita ngapi? Maana isije ikawa safari za mkoani daily alafu mtu alalamike service inawahi wakati anaenda za masafa daily.
Hicho kimbembe mara nyingi huanza mapema mnoo (na hii ndio sababu kuu ya wamiliki wake kuziuza mapema mnoo), huwa kinaanza baada ya kufanya service ya pili ya kawaida, hapo kinakuwa kimeshatembea wastani wa km 5000 hivi tangu mtu amiliki chombo. (Kumbuka service ya kwanza hufanyika mara tu chuma kilipotua nchini kutoka Japan kabla ya mmiliki kuanza kupiga misele nacho).

Mara nyingi huwa ni mizunguko ya hapa na pale mjini humu humu, na mara chache labda route moja au mbili (To&fro) ya mkoani (Dar-Arusha, Dar-Dom, Dar-Mwanza).
Mara nyingi hizo chuma zikiwa zimetoka Japan unakuta zimeshatembea kati ya km elfu 70-120, nadra kukuta milleage iko chini ya Km elfu 50.

Sasa, mhusika anakuja kugundua mambo haya, ambayo hakuyategemea.....
1. Fuel consumption sio rafiki (tofauti kabisa na alivyoaminishwa na watu kabla ya kumiliki chuma)

2. Vipuri vingi vidogo vidogo ni rahisi kuharibika na vinagharama kubwa ukilinganishwa na gari pendwa Toyota! Gari ni delicate kuliko alivyotazamia, kashikashi kidogo tu, tukutane kwa fundi. Kuna vidubwasha vinaitwa 'sensor' hizo ni muhimu mnoo kwa hiyo gari na vinapasua vichwa balaa.

4. Gari inapenda services za mara kwa mara, na service zake zimechangamka kiasi.

5. Gari haitaki wala haipendi janja janja za kuokoteza vipuri holela na mafundi wa kidananda.
 
Wanaume pia wanachambana hivi?
Ina
Hicho kimbembe mara nyingi huanza mapema mnoo (na hii ndio sababu kuu ya wamiliki wake kuziuza mapema mnoo), huwa kinaanza baada ya kufanya service ya pili ya kawaida, hapo kinakuwa kimeshatembea wastani wa km 5000 hivi tangu mtu amiliki chombo. (Kumbuka service ya kwanza hufanyika mara tu chuma kilipotua nchini kutoka Japan kabla ya mmiliki kuanza kupiga misele nacho).

Mara nyingi huwa ni mizunguko ya hapa na pale mjini humu humu, na mara chache labda route moja au mbili (To&fro) ya mkoani (Dar-Arusha, Dar-Dom, Dar-Mwanza).
Mara nyingi hizo chuma zikiwa zimetoka Japan unakuta zimeshatembea kati ya km elfu 70-120, nadra kukuta milleage iko chini ya Km elfu 50.

Sasa, mhusika anakuja kugundua mambo haya, ambayo hakuyategemea.....
1. Fuel consumption sio rafiki (tofauti kabisa na alivyoaminishwa na watu kabla ya kumiliki chuma)

2. Vipuri vingi vidogo vidogo ni rahisi kuharibika na vinagharama kubwa ukilinganishwa na gari pendwa Toyota! Gari ni delicate kuliko alivyotazamia, kashikashi kidogo tu, tukutane kwa fundi. Kuna vidubwasha vinaitwa 'sensor' hizo ni muhimu mnoo kwa hiyo gari na vinapasua vichwa balaa.

4. Gari inapenda services za mara kwa mara, na service zake zimechangamka kiasi.

5. Gari haitaki wala haipendi janja janja za kuokoteza vipuri holela na mafundi wa kidananda.
Kiongoz umetisha sanaa 👍👍 sio watu wanatutukana bila evidence bila kuangalia mfuko wako Aya magari yapo na yanuzwa hapa nchin shida ni mazingra ya mtu aliyopo Hali ya kimazingira kiuchumi n.k
 
Xtrail ni gari yenye muonekano mzuri wa SUV na bei ya kumiliki ni rafiki kabisa, hilo limepelekea watu wenye kipato cha kati kukimbilia kumiliki. Kimbembe kinakuja kwenye gharama za services and maintenance, ambapo ni kubwa zaidi isiyooana na urahisi wa kuimiliki, na hapo huleta majuto kwa wamiliki, suluhisho kwao ni kuuza haraka mnoo kabla gari haijamfilisi.
 
Mnawachanganya vijana wanaanza kumiliki magari.....any way kijana anza katoyota mi nitàanza na ist
 
Gari imetembea 120,000km ndio ikanunuliwa na kuletwa nchini. Leo tunasema Xtrail ni gari mbovu na haifai, sidhani kama hilo ni jibu sahihi.

Kama ilitembea 120k km huko maana yake tuna shida katika maintenance, caring na/au ubovu katika miundombinu yetu, haiwezekani gari itembee 120k km huko, ije hapa itembee 5k km na tayari isumbue.

Tatizo lipo kwa wamiliki, wananunua vipuri sio sahihi, tatizo lipo kwa mafundi, hawapo competent kutengeneza hizo gari, tatizo lipo kwenye miundombinu ya barabara, hazifai kwa matumizi ya SUV-LUXURY.
 
Mnawachanganya vijana wanaanza kumiliki magari.....any way kijana anza katoyota mi nitàanza na ist
Mkuu,
Hata mitsubishi ni gari imara tu, sio lazima Toyota japo ni gari zinazoweza kuhimili sana mazingira yetu na uchumi wetu.
 
Naendesha Gari Hata baba yako hamiliki gari. Na nikwambie tu nina Suzuki escudo g16 mbili, za 98, urithi kutoka kwa mshua, najua shida za gari kuliko unavyodhani mwehu wewe.
Nissan X-Trail nchini Tanzania, hasa yale yenye gearbox ya CVT (Continuously Variable Transmission), yanakabiliwa na changamoto kadhaa zinazohusiana na mfumo wa gia. Sababu zipo nyingi mfano matumizi ya mafuta bora ya transmission, xtrail mafuta yake huwa ni maalumu, NS -2 AU 3 CVT fluid. Wengi wanachanganya tu.
Matumizi mabaya ya gari, mtu anatoa xtrail kwasababu gari ya juu, anaovertake kama anaendesha v8 au harrier au brevis na markx.
Matengenezo ya hovyo. Pia zinaua sana gia box za hizi gari.
Wewe mtoto wa mama unadhihaki watu humu tutaja kukupiga dole. Mimi huniambii chochite kuhusu gari. Labda uje tuelekezane. Nimefanya ufundi hapo bongo 3 fckn years nimeagiza magari 7 years. Fck u bitch
Sasa mbona unamtukana wakati kiuhalisia komenti yako imeunga mkono komenti yake?
 
Majibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
Heri yako wewe mwenye gari expensive, heri yako wewe ambae unajitoa kwenye kundi la wa Tanzania sjui wewe ni wa nchi gani kiongozi🥶
 
Gari imetembea 120,000km ndio ikanunuliwa na kuletwa nchini. Leo tunasema Xtrail ni gari mbovu na haifai, sidhani kama hilo ni jibu sahihi.

Kama ilitembea 120k km huko maana yake tuna shida katika maintenance, caring na/au ubovu katika miundombinu yetu, haiwezekani gari itembee 120k km huko, ije hapa itembee 5k km na tayari isumbue.

Tatizo lipo kwa wamiliki, wananunua vipuri sio sahihi, tatizo lipo kwa mafundi, hawapo competent kutengeneza hizo gari, tatizo lipo kwenye miundombinu ya barabara, hazifai kwa matumizi ya SUV-LUXURY.
Kweli kabisa.
Unakutana na gari namba E imesha bondwa bondwa mpaka unashangaa.
 
Back
Top Bottom