Salvatory Feragamo
Member
- Sep 26, 2019
- 68
- 64
Kwani hizo gari wanamnunulia mamako mpaka useme hivi? Usipangie watu namna ya kuishi. Wewe nunua unachoweza.Majibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
Kama ulikuwa hujui kuna watu wanakesha vitandani bila kupata usingizi basi miliki Xtrial, Morano au Dualis ndio utaelewa.Mgongo je?
Wewe sema maneno yote... Mimi nipo hapa kwajil ya kuwaelimisha wajinga kama wewe ambao ni useless hamjitambui na hamna exposure ya maisha... Nikusaidie tu siku ukipata pesa za kubet au ukihongwa na mume wa dada yako, usinunue magari yasiyo na maana kwa kuogopa spares au ulaji mafuta...Kwani hizo gari wanamnunulia mamako mpaka useme hivi? Usipangie watu namna ya kuishi. Wewe nunua unachoweza.
We sijui ni mdigo au mzaramoo? Unapayaya sana! AiseeeMajibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
Majibu yako na uchangiaji wako, wewe ni muathirika wa kwanza wa Exposure na Elimu.Exposure na Elimu ni jambo la muhimu
Wewe una akili nimegundua huwezi kupata shida kuishi na walimwengu...We sijui ni mdigo au mzaramoo? Unapayaya sana! Aiseee
Ila MUNGU ameumba jamani 😂
Alafu ukute mwamba haumiliki chombo chochote cha usafiri 😂😂😂. Ngoja nikwambie kitu, hakuna mmiliki na mpenda magari asiyewaza ulaji mafuta wa gari lake. Trust me huyo mmiliki wa hivyo hayupo.Majibu ndio hayo, acheni fikra za kimasikini... Mtu na akili zako unaenda kununua VITZ au IST 🤣😅 eti hazili mafuta...
WaTz useless hopeless shit holes kabisa, yaani Kenya Rwanda na Burundi kilasiku wanaingiza gari nzuri za kisasa kupitia bandari yenu na zinaenda kwao zinadumu, ila nyie Tz mmejaza gari za mwaka 2000 eti mnasema spare zake bei rahisi na hazili mafuta
Nina uhakika huyu jamaa hana milioni kwenye akauntiMajibu yako na uchangiaji wako, wewe ni muathirika wa kwanza wa Exposure na Elimu.
Umepiga Mule muleKama ulikuwa hujui kuna watu wanakesha vitandani bila kupata usingizi basi miliki Xtrial, Morano au Dualis ndio utaelewa.
Ni zaidi ya maumivu ya mgongo.
Yaani mtu anamiliki gari ya milioni 25 kutoka Japan, anatembelea miezi miwili tu anajikuta anatakiwa kufanya services ya 1.3milioni, anapambana anafanya, hajatulia kidogo ndani ya wiki mbili anatakiwa services ya laki 6, anapambana anarekebisha, hajatulia anambiwa akishatembea kama wiki mbili zingine ajipange kwa service nyingine ya laki 7, akitulia kidogo anaambiwa kuna utitiri wa vidubwasha vya kuja kubadilisha ndani ya miezi sita ijayo vyenye thamani ya 3.5milioni ili chuma ikae sawa kuweza kupiga route mbili tatu ndefu au kumpush kwa mwaka hivi ili isisumbue sana. Na hapo hapo fundi wake makini kabisa anayemwamini anamwambia hizo ni karaha za kawaida kabisa za Nissan na kama zinamkera ni bora auze tu mapema ali anunue kitu kingine. Kwanini asiuze mapema?
Mtu anaona gari ya 25milioni bora aisukume chap chap sasa hata kwa 18milioni ili ajazie kiasi na kuvuta mchuma wowote mwingine wa chap chap.
Bila shaka upo kwa RutoUnawauliza WaTz kuhusu magari, they know nothing... WaTz waulize kuhusu IST VITZ CROWN au SPACIO... Washamba sana hawana exposure...
Mtz anataka kuweka oil ya 50k wakat gari inamuelekeza weka oil ya 100k yuo tayar kuweka kifaa cha bei nafuu ili asevu elfu30 akanywe bia bila kujua anaharibu gari...
Na hapo anakuwa katembea kilomita ngapi? Maana isije ikawa safari za mkoani daily alafu mtu alalamike service inawahi wakati anaenda za masafa daily.Kama ulikuwa hujui kuna watu wanakesha vitandani bila kupata usingizi basi miliki Xtrial, Morano au Dualis ndio utaelewa.
Ni zaidi ya maumivu ya mgongo.
Yaani mtu anamiliki gari ya milioni 25 kutoka Japan, anatembelea miezi miwili tu anajikuta anatakiwa kufanya services ya 1.3milioni, anapambana anafanya, hajatulia kidogo ndani ya wiki mbili anatakiwa services ya laki 6, anapambana anarekebisha, hajatulia anambiwa akishatembea kama wiki mbili zingine ajipange kwa service nyingine ya laki 7, akitulia kidogo anaambiwa kuna utitiri wa vidubwasha vya kuja kubadilisha ndani ya miezi sita ijayo vyenye thamani ya 3.5milioni ili chuma ikae sawa kuweza kupiga route mbili tatu ndefu au kumpush kwa mwaka hivi ili isisumbue sana. Na hapo hapo fundi wake makini kabisa anayemwamini anamwambia hizo ni karaha za kawaida kabisa za Nissan na kama zinamkera ni bora auze tu mapema ali anunue kitu kingine. Kwanini asiuze mapema?
Mtu anaona gari ya 25milioni bora aisukume chap chap sasa hata kwa 18milioni ili ajazie kiasi na kuvuta mchuma wowote mwingine wa chap chap.
Mimi sikupingi as long as umeamua kufikiria hivyo basi naheshimu mawazo yako, japo wewe hujataka kuheshimu yangu... Na kamwe siwezi kuthibitisha kama namiliki chombo chochote au laaaah...Alafu ukute mwamba haumiliki chomno chochote cha usafiri 😂😂😂. Ngoja nikwambie kitu, hakuna mmiliki na mpenda magari asiyewaza ulaji mafuta wa gari lake. Trust me huyo mmiliki wa hivyo hayupo.
Lazima tu atawaza consuption na power ya gari yake.
Nipo kwa bi mkubwa SSH na Kaka yake Antipas... Maisha ni exposure tuBila shaka upo kwa Ruto
Shida kubwa ni transmission na engine. Kimojawapo lazma kitakusumbua. Nina ushuhuda wa Nissan Dualis ya boss wangu kasha overhaul mara moja ila matatizo hayapoi. Sahizi gari imekufa ac haipoozi🤣 na haiwez kupanda hata kreti la soda la pepsi. Yani mlima wenye inclination sawa na creti la soda gari haina nguvu ya kupanda.
Wewe Mjapan ongelea kuhusu gari bwana mambo ya beer tuachie wanywaji na wamiliki wa pombe shop.Unawauliza WaTz kuhusu magari, they know nothing... WaTz waulize kuhusu IST VITZ CROWN au SPACIO... Washamba sana hawana exposure...
Mtz anataka kuweka oil ya 50k wakat gari inamuelekeza weka oil ya 100k yuo tayar kuweka kifaa cha bei nafuu ili asevu elfu30 akanywe bia bila kujua anaharibu gari...
Soma avatar yake utajua huyu jamaa ni kapuku mchekeshaji mwandamizi daraja la kwanza A.Nina uhakika huyu jamaa hana milioni kwenye akaunti
Kwa hiyo mkuu kataa ndoa sisi ni makapuku🤣🤣🤣Soma avatar yake utajua huyu jamaa ni kapuku mchekeshaji mwandamizi daraja la kwanza A.