Kwanini watu wengi hawajui chochote kuhusu taifa la Israel, part 2

Kwanini watu wengi hawajui chochote kuhusu taifa la Israel, part 2

Joined
Feb 13, 2024
Posts
80
Reaction score
204
Habari zenu waungwana, nadhani siku si nyingi nilipandisha uzi wenye heading ya WATU WENGI HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU TAIFA LA ISRAEL then kukawa na maneno mengi sana hapa, lakini nilihadi nitarudi na sasa nimerudi kutetea hoja yangu.

Kwa uchunguzi wangu mdogo tu tena kupitia hili jukwaa niliweza kugundua humu ndani kuna battle ya udini iliyojificha katika ajenda ya vita kati ya mataifa mawili Israel na Palestine, Kwanza kabisa nianze kwa kusema sipo hapa kwa ajili ya kuingia kwenye hii battle yenu, ila lengo na dhumuni langu nataka kutoa darasa kidogo, kwani kuna watu wapo weupe sana kichwani, ni jukumu la mtu mwenye busura kuweza kutoa elimu ili tuweze kuwekana sawa.

Leo nitatumia reference ya bible kujenga hoja zangu na kutetea kile ninachoamini ni ukweli, na kitu kingine nilichokigundua ni kwamba kuna wakristo wengi wanatumia bible kama kitabu cha muongozo kwenye imani zao lakini ukweli ni kwamba wengi hawaijui bible wengi wanawasikiliza sana wachungaji wao katika kusoma na kutafasiriwa hivyo wengi hukosa uwezo wakuweza kuisoma na kuielewa bibilia.

Hoja yangu ni kua watu wengi hawafamu chochote kuhusu taifa la waisrael, nikaenda mbali na kusema taifa hili la leo tunaoambiwa ni waisrael hawana mahusiano yoyote na taifa la Israel ambalo hadithi zake tunazisoma kwenye bibilia, najua kuna watu wengi mlikua hamjui hichi kitu na wale wachache wanaofahamu wana kosa hoja na mifano ya kutetea hoja zao, sasa nawaletea ushaidi kutoka kwenye bibilia, bible inatuambia waisrael ni watu wa aina gani? Angalizo nimesema nitatumia bibilia Kama reference ila mambo ya vifungu mimi sikariri huwa napenda kusoma bibilia na sio kukariri vifungu, na kitu kingine kuna watu hua na tabia ya kukoasoa uandishi wa wenzao, ni kwamba hapa sipo kuandika insha ya kiswahili nadhani tumeelewana.

Je bibilia inawaelezea vipi wana wa Israel? Ukisoma kitabu cha mwanzo utakutana na hadithi ya Nuhu na garika, haditthi inasimulia bahada ya wanadamu kuwa wengi na kuongezeka watu walianza kua chukizo machoni mwa bwana, ndipo mwenyezi mungu alipowashushia gharika na kuangamiza watu wote isipokua Nuhu na jamaa zake waliokua ndani ya safina, yahani ndani safina Nuhu akatoka na watoto wake ambao walikua ni Hamu, Shemu, na Yafethi na kupitia hawa wakasambaa na kuujaza nchi.

Hamu aliweka makazi yake Africa na kuzaa watoto wake ambao ni Cush, Misri, Putu (Libya) na Canan kitu watu wengi wasichojua nikwamba bibilia ni kitabu kinachoelezea mwanzo wa ulimwengu na civilization yake na pia inatuambia huu ulimwengu utaisha vipi, hapa nataka niwambieni kwamba Hamu ambao wengi husema ndio baba wa watu weusi, kiasi kwamba wazungu wakaja na hoja ya kwamba Hamu alilaaniwa na baba yake kwani alimuchugulia wakati Nuhu alikua kalewa mvinyo na kubaki uchi, na ukisoma bibilia inasema Nuhu akumulaani Hamu lakini alitoa laana kwa Canan ambye alikua ni mtoto wa Hamu yahani mjukuu wa Nuhu, na bibilia inasema watoto wa Hamu ndio waliotengeneza Civilization kubwa zilizoanza mwanzo kabisa, kama vile Egyptian civilization Cushite civilization (Ethiopia) Canan alienda kukaa Asia na maeneo ya middle east katika eneo ambalo linajulikana kua ni la wapalestina.

Najaribu kukuonesha kwamba watu wa taifa la Israel walikua na vinasaba vilivyoshabiana na watu wa Misri na Cushite.

Abraham bahada ya kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata mtoto mkewe Sarah alimpa kibali kuzaa na kijakazi wake Hagali ambaye alikua ni mwanamke wa kimisri

Lakini pia bibilia inatuelezea kisa cha Yusuf na nduguze katika hii hadithi tunaona Yusuf aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara waliokua wakielekea Misri na bibilia inatuambia badae Yusuf alikuja kua kiongozi mkubwa tu ndani ya nchi ya Wamisri, lakini bibilia inatuambia bahada ya janga la njaa kuikumba dunia wakati ule nchi iliyokua na hadhina kubwa ya chakula ilikua ni Misri, hivyo ndugu zake na Yusuf iliwalazimu kufunga safari mpaka Misri wakitokea Canan kwa lengo la kutafuta chakula, bibilia inatueleza ya kwamba walipofika Misri ndugu zake hawakuweza kumtambua Yusuf lakini yeye aliweza kuwatambua.

Ukisoma maelezo ya hapo juu utangundua kuna kitu cha kujiuliza kwanini nduguze na Yusuf walishindwa kumtambua Yusuf kwani walimuona kama viongozi wengine tu wakimisiri, na hapa ndipo tunagundua Wamisri wa kale walikua na vinasaba na waisrael na ndio sababu ya ndugu wa Yusuf walishindwa kumtambua ndugu yao, yahani ni kama Mtanzania apate nafasi ya kua kiongozi Kenya kama awatakwambia huyo kiongozi ni Mtanzania itakua ni vigumu kutambua sababu ya kwamba wakenya na watanzania ni race moja, hivyo hata Wamisri na waisrael walikua ni watu wa race moja.

Pia ukisoma kwenye kitabu cha Kutoka utakutana na hadithi ya Musa, ambapo bibilia inatuambia Musa alizaliwa Misiri, akalelewa na kufundishwa elimu ya Kimisri, na alipofanya uasi kwa kumuua Mmisri ndipo Musa alikimbilia Ethiopia ambako alihishi na kubahatika kuoa mke wa Kiethiopia.

Lakini pia ukisoma hadithi ya mfalme Solomon utaona na yeye mke wake wa kwanza alikua ni mwanamke wa Kimisri na badae Mfalme Solomon alikuja kuzaa na malkia wa Sheba au Ethiopia, lakini pia kwenye kitabu cha wimbo ulio bora Kuna sura inaelezea mwandishi wa Kitabu hicho ambaye inahaminika kua ni Mfalme Solomon akiweka wazi rangi ya ngozi yake kua ni mweusi hivyo pasipo na shaka yoyote tunaweza kusema mfalme Solomon alikua ni mtu mwusi.

Kwa ufupi tu ni kwamba ukiisoma bibilia utangundua watu weusi ndio wanaconnection kubwa na Waisrael walioandikwa kwenye bibilia kuliko hawa wa sasa hivi wanaokalia eneo la watu kimabavu.

Na ushaidi wa kisayansi na kihisoria unaonyesha wanyeji wa Misiri ya zamani walikua ni watu weusi na na sio hawa waarabu walikuja karne ya 7 ambapo uisilamu ulikua ukienezwa kwa njia ya jihadi.

Pia soma:Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel
 
😂😂😂😂sasa Tanzania ndiyo Israel?
Kuna mgombea mmoja wa urais miaka fulani hapa Tanzania alikuwa ananadi sera zake akisema Tanzania ndio Israel na yeye amechaguliwa ili aivushe......
 
Habari zenu waungwana, nadhani siku si nyingi nilipandisha uzi wenye heading ya WATU WENGI HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU TAIFA LA ISRAEL then kukawa na maneno mengi sana hapa, lakini nilihadi nitarudi na sasa nimerudi kutetea hoja yangu.

Kwa uchunguzi wangu mdogo tu tena kupitia hili jukwaa niliweza kugundua humu ndani kuna battle ya udini iliyojificha katika ajenda ya vita kati ya mataifa mawili Israel na Palestine, Kwanza kabisa nianze kwa kusema sipo hapa kwa ajili ya kuingia kwenye hii battle yenu, ila lengo na dhumuni langu nataka kutoa darasa kidogo, kwani kuna watu wapo weupe sana kichwani, ni jukumu la mtu mwenye busura kuweza kutoa elimu ili tuweze kuwekana sawa.

Leo nitatumia reference ya bible kujenga hoja zangu na kutetea kile ninachoamini ni ukweli, na kitu kingine nilichokigundua ni kwamba kuna wakristo wengi wanatumia bible kama kitabu cha muongozo kwenye imani zao lakini ukweli ni kwamba wengi hawaijui bible wengi wanawasikiliza sana wachungaji wao katika kusoma na kutafasiriwa hivyo wengi hukosa uwezo wakuweza kuisoma na kuielewa bibilia.

Hoja yangu ni kua watu wengi hawafamu chochote kuhusu taifa la waisrael, nikaenda mbali na kusema taifa hili la leo tunaoambiwa ni waisrael hawana mahusiano yoyote na taifa la Israel ambalo hadithi zake tunazisoma kwenye bibilia, najua kuna watu wengi mlikua hamjui hichi kitu na wale wachache wanaofahamu wana kosa hoja na mifano ya kutetea hoja zao, sasa nawaletea ushaidi kutoka kwenye bibilia, bible inatuambia waisrael ni watu wa aina gani? Angalizo nimesema nitatumia bibilia Kama reference ila mambo ya vifungu mimi sikariri huwa napenda kusoma bibilia na sio kukariri vifungu, na kitu kingine kuna watu hua na tabia ya kukoasoa uandishi wa wenzao, ni kwamba hapa sipo kuandika insha ya kiswahili nadhani tumeelewana.

Je bibilia inawaelezea vipi wana wa Israel? Ukisoma kitabu cha mwanzo utakutana na hadithi ya Nuhu na garika, haditthi inasimulia bahada ya wanadamu kuwa wengi na kuongezeka watu walianza kua chukizo machoni mwa bwana, ndipo mwenyezi mungu alipowashushia gharika na kuangamiza watu wote isipokua Nuhu na jamaa zake waliokua ndani ya safina, yahani ndani safina Nuhu akatoka na watoto wake ambao walikua ni Hamu, Shemu, na Yafethi na kupitia hawa wakasambaa na kuujaza nchi.

Hamu aliweka makazi yake Africa na kuzaa watoto wake ambao ni Cush, Misri, Putu (Libya) na Canan kitu watu wengi wasichojua nikwamba bibilia ni kitabu kinachoelezea mwanzo wa ulimwengu na civilization yake na pia inatuambia huu ulimwengu utaisha vipi, hapa nataka niwambieni kwamba Hamu ambao wengi husema ndio baba wa watu weusi, kiasi kwamba wazungu wakaja na hoja ya kwamba Hamu alilaaniwa na baba yake kwani alimuchugulia wakati Nuhu alikua kalewa mvinyo na kubaki uchi, na ukisoma bibilia inasema Nuhu akumulaani Hamu lakini alitoa laana kwa Canan ambye alikua ni mtoto wa Hamu yahani mjukuu wa Nuhu, na bibilia inasema watoto wa Hamu ndio waliotengeneza Civilization kubwa zilizoanza mwanzo kabisa, kama vile Egyptian civilization Cushite civilization (Ethiopia) Canan alienda kukaa Asia na maeneo ya middle east katika eneo ambalo linajulikana kua ni la wapalestina.

Najaribu kukuonesha kwamba watu wa taifa la Israel walikua na vinasaba vilivyoshabiana na watu wa Misri na Cushite.

Abraham bahada ya kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata mtoto mkewe Sarah alimpa kibali kuzaa na kijakazi wake Hagali ambaye alikua ni mwanamke wa kimisri

Lakini pia bibilia inatuelezea kisa cha Yusuf na nduguze katika hii hadithi tunaona Yusuf aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara waliokua wakielekea Misri na bibilia inatuambia badae Yusuf alikuja kua kiongozi mkubwa tu ndani ya nchi ya Wamisri, lakini bibilia inatuambia bahada ya janga la njaa kuikumba dunia wakati ule nchi iliyokua na hadhina kubwa ya chakula ilikua ni Misri, hivyo ndugu zake na Yusuf iliwalazimu kufunga safari mpaka Misri wakitokea Canan kwa lengo la kutafuta chakula, bibilia inatueleza ya kwamba walipofika Misri ndugu zake hawakuweza kumtambua Yusuf lakini yeye aliweza kuwatambua.

Ukisoma maelezo ya hapo juu utangundua kuna kitu cha kujiuliza kwanini nduguze na Yusuf walishindwa kumtambua Yusuf kwani walimuona kama viongozi wengine tu wakimisiri, na hapa ndipo tunagundua Wamisri wa kale walikua na vinasaba na waisrael na ndio sababu ya ndugu wa Yusuf walishindwa kumtambua ndugu yao, yahani ni kama Mtanzania apate nafasi ya kua kiongozi Kenya kama awatakwambia huyo kiongozi ni Mtanzania itakua ni vigumu kutambua sababu ya kwamba wakenya na watanzania ni race moja, hivyo hata Wamisri na waisrael walikua ni watu wa race moja.

Pia ukisoma kwenye kitabu cha Kutoka utakutana na hadithi ya Musa, ambapo bibilia inatuambia Musa alizaliwa Misiri, akalelewa na kufundishwa elimu ya Kimisri, na alipofanya uasi kwa kumuua Mmisri ndipo Musa alikimbilia Ethiopia ambako alihishi na kubahatika kuoa mke wa Kiethiopia.

Lakini pia ukisoma hadithi ya mfalme Solomon utaona na yeye mke wake wa kwanza alikua ni mwanamke wa Kimisri na badae Mfalme Solomon alikuja kuzaa na malkia wa Sheba au Ethiopia, lakini pia kwenye kitabu cha wimbo ulio bora Kuna sura inaelezea mwandishi wa Kitabu hicho ambaye inahaminika kua ni Mfalme Solomon akiweka wazi rangi ya ngozi yake kua ni mweusi hivyo pasipo na shaka yoyote tunaweza kusema mfalme Solomon alikua ni mtu mwusi.

Kwa ufupi tu ni kwamba ukiisoma bibilia utangundua watu weusi ndio wanaconnection kubwa na Waisrael walioandikwa kwenye bibilia kuliko hawa wa sasa hivi wanaokalia eneo la watu kimabavu.

Na ushaidi wa kisayansi na kihisoria unaonyesha wanyeji wa Misiri ya zamani walikua ni watu weusi na na sio hawa waarabu walikuja karne ya 7 ambapo uisilamu ulikua ukienezwa kwa njia ya jihadi.
Kwa hiyo ndiyo hivyo tu?Prrrrrr!🤔
 
Mkuu, kwanza hongera sana kwa kujaribu na kujaribu na hujakata tamaa kuwaelezea Waisrael kwa kutumia NENO (Biblical)

Hata hivyo, bado kuna mambo kibao umeyachanganya mno

Ila una kitu kizuri unachokuwa unabaki nacho moyoni, yawezekana kwa sababu ya muda ulionao ni mdogo kukielezea hatua kwa hatua

Kidogo sana kwa leo, hujaja na mahaba ya upande wowote, umesimama kama mtu wa kati asiyeegemea kokote

Nadhani bado tena utakuja kutupasha kwa ufasaha zaidi

Ila uelewe tu kwamba, Israel iliyokuwa imesambaa kwenye mataifa mbalimbali, walianza kurejea kwao baada ya vita vya pili vya Dunia, na ndiyo maana kuna kipindi ilikuwa kila leo Kunajengwa makazi ya walowezi waliokuwa wakirudi kutoka umataifani!

Na bado wataendelea kurudi, na moto wao ni uleule uliosemwa na kunukuliwa na Biblia

Kina Netanyahu, ndiyo haswaa JEWS,
 
Habari zenu waungwana, nadhani siku si nyingi nilipandisha uzi wenye heading ya WATU WENGI HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU TAIFA LA ISRAEL then kukawa na maneno mengi sana hapa, lakini nilihadi nitarudi na sasa nimerudi kutetea hoja yangu.

Kwa uchunguzi wangu mdogo tu tena kupitia hili jukwaa niliweza kugundua humu ndani kuna battle ya udini iliyojificha katika ajenda ya vita kati ya mataifa mawili Israel na Palestine, Kwanza kabisa nianze kwa kusema sipo hapa kwa ajili ya kuingia kwenye hii battle yenu, ila lengo na dhumuni langu nataka kutoa darasa kidogo, kwani kuna watu wapo weupe sana kichwani, ni jukumu la mtu mwenye busura kuweza kutoa elimu ili tuweze kuwekana sawa.

Leo nitatumia reference ya bible kujenga hoja zangu na kutetea kile ninachoamini ni ukweli, na kitu kingine nilichokigundua ni kwamba kuna wakristo wengi wanatumia bible kama kitabu cha muongozo kwenye imani zao lakini ukweli ni kwamba wengi hawaijui bible wengi wanawasikiliza sana wachungaji wao katika kusoma na kutafasiriwa hivyo wengi hukosa uwezo wakuweza kuisoma na kuielewa bibilia.

Hoja yangu ni kua watu wengi hawafamu chochote kuhusu taifa la waisrael, nikaenda mbali na kusema taifa hili la leo tunaoambiwa ni waisrael hawana mahusiano yoyote na taifa la Israel ambalo hadithi zake tunazisoma kwenye bibilia, najua kuna watu wengi mlikua hamjui hichi kitu na wale wachache wanaofahamu wana kosa hoja na mifano ya kutetea hoja zao, sasa nawaletea ushaidi kutoka kwenye bibilia, bible inatuambia waisrael ni watu wa aina gani? Angalizo nimesema nitatumia bibilia Kama reference ila mambo ya vifungu mimi sikariri huwa napenda kusoma bibilia na sio kukariri vifungu, na kitu kingine kuna watu hua na tabia ya kukoasoa uandishi wa wenzao, ni kwamba hapa sipo kuandika insha ya kiswahili nadhani tumeelewana.

Je bibilia inawaelezea vipi wana wa Israel? Ukisoma kitabu cha mwanzo utakutana na hadithi ya Nuhu na garika, haditthi inasimulia bahada ya wanadamu kuwa wengi na kuongezeka watu walianza kua chukizo machoni mwa bwana, ndipo mwenyezi mungu alipowashushia gharika na kuangamiza watu wote isipokua Nuhu na jamaa zake waliokua ndani ya safina, yahani ndani safina Nuhu akatoka na watoto wake ambao walikua ni Hamu, Shemu, na Yafethi na kupitia hawa wakasambaa na kuujaza nchi.

Hamu aliweka makazi yake Africa na kuzaa watoto wake ambao ni Cush, Misri, Putu (Libya) na Canan kitu watu wengi wasichojua nikwamba bibilia ni kitabu kinachoelezea mwanzo wa ulimwengu na civilization yake na pia inatuambia huu ulimwengu utaisha vipi, hapa nataka niwambieni kwamba Hamu ambao wengi husema ndio baba wa watu weusi, kiasi kwamba wazungu wakaja na hoja ya kwamba Hamu alilaaniwa na baba yake kwani alimuchugulia wakati Nuhu alikua kalewa mvinyo na kubaki uchi, na ukisoma bibilia inasema Nuhu akumulaani Hamu lakini alitoa laana kwa Canan ambye alikua ni mtoto wa Hamu yahani mjukuu wa Nuhu, na bibilia inasema watoto wa Hamu ndio waliotengeneza Civilization kubwa zilizoanza mwanzo kabisa, kama vile Egyptian civilization Cushite civilization (Ethiopia) Canan alienda kukaa Asia na maeneo ya middle east katika eneo ambalo linajulikana kua ni la wapalestina.

Najaribu kukuonesha kwamba watu wa taifa la Israel walikua na vinasaba vilivyoshabiana na watu wa Misri na Cushite.

Abraham bahada ya kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata mtoto mkewe Sarah alimpa kibali kuzaa na kijakazi wake Hagali ambaye alikua ni mwanamke wa kimisri

Lakini pia bibilia inatuelezea kisa cha Yusuf na nduguze katika hii hadithi tunaona Yusuf aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara waliokua wakielekea Misri na bibilia inatuambia badae Yusuf alikuja kua kiongozi mkubwa tu ndani ya nchi ya Wamisri, lakini bibilia inatuambia bahada ya janga la njaa kuikumba dunia wakati ule nchi iliyokua na hadhina kubwa ya chakula ilikua ni Misri, hivyo ndugu zake na Yusuf iliwalazimu kufunga safari mpaka Misri wakitokea Canan kwa lengo la kutafuta chakula, bibilia inatueleza ya kwamba walipofika Misri ndugu zake hawakuweza kumtambua Yusuf lakini yeye aliweza kuwatambua.

Ukisoma maelezo ya hapo juu utangundua kuna kitu cha kujiuliza kwanini nduguze na Yusuf walishindwa kumtambua Yusuf kwani walimuona kama viongozi wengine tu wakimisiri, na hapa ndipo tunagundua Wamisri wa kale walikua na vinasaba na waisrael na ndio sababu ya ndugu wa Yusuf walishindwa kumtambua ndugu yao, yahani ni kama Mtanzania apate nafasi ya kua kiongozi Kenya kama awatakwambia huyo kiongozi ni Mtanzania itakua ni vigumu kutambua sababu ya kwamba wakenya na watanzania ni race moja, hivyo hata Wamisri na waisrael walikua ni watu wa race moja.

Pia ukisoma kwenye kitabu cha Kutoka utakutana na hadithi ya Musa, ambapo bibilia inatuambia Musa alizaliwa Misiri, akalelewa na kufundishwa elimu ya Kimisri, na alipofanya uasi kwa kumuua Mmisri ndipo Musa alikimbilia Ethiopia ambako alihishi na kubahatika kuoa mke wa Kiethiopia.

Lakini pia ukisoma hadithi ya mfalme Solomon utaona na yeye mke wake wa kwanza alikua ni mwanamke wa Kimisri na badae Mfalme Solomon alikuja kuzaa na malkia wa Sheba au Ethiopia, lakini pia kwenye kitabu cha wimbo ulio bora Kuna sura inaelezea mwandishi wa Kitabu hicho ambaye inahaminika kua ni Mfalme Solomon akiweka wazi rangi ya ngozi yake kua ni mweusi hivyo pasipo na shaka yoyote tunaweza kusema mfalme Solomon alikua ni mtu mwusi.

Kwa ufupi tu ni kwamba ukiisoma bibilia utangundua watu weusi ndio wanaconnection kubwa na Waisrael walioandikwa kwenye bibilia kuliko hawa wa sasa hivi wanaokalia eneo la watu kimabavu.

Na ushaidi wa kisayansi na kihisoria unaonyesha wanyeji wa Misiri ya zamani walikua ni watu weusi na na sio hawa waarabu walikuja karne ya 7 ambapo uisilamu ulikua ukienezwa kwa njia ya jihadi.
Watoto wa Nuhu; Japhet, Shem, na Ham.
Kutoka kwa Japhet ndo wakapatikana vizazi vya mataifa mengi ya Ulaya ya leo
Kutoka kwa Ham ndo wakapatikana hao uliowataja Misri, Kanaani n.k.
Kutoka kwa Shem ndo wakapatikana Israeli, Assyria n.k.

Sasa inakuwaje unaona ukaribu wa vinasaba vya Israeli ya zamani na Misri huku ukituhumu Israeli ya sisi hivi kuwa na ukaribu wa vinasaba na Ulaya.

Halafu waisraeli wa zamani walishachanganyikana na mataifa ya Ulaya kwa miaka zaidi ya 1878, huoni kwamba asilimia kubwa watakuwa na mwonekano wa Caucasian hasa ukizingatia rangi nyeupe biologically inakuwa dominant alleles na wao hawakuwa Weusi tii kama waafrika. Daudi alikuwa mwekundu 1Samweli 16:12

Na je unazungumziaje sasa wale ambao nao ni waisraeli wa leo lakini tukiangalia rangi zao ni nyeusi kama waafrika wengi.

Na je kama unatumia Biblia kutoa hoja zako, unazungumziaje ahadi ya Mungu kuwarejesha hawa watu katika nchi yao; kama sio hawa tunaowaona siku za leo je watatoka nchi gani ili wafanane na mwonekano unaoamini ndo asili yao?

Vipi kuhusu hawa wa sasa hivi kuwa ni watu ambao kutoka katika nchi nyingi walizokuwa walitengwa na kubaguliwa kutokana na utamaduni wao wa kiyahudi na ethnicity yao?

Vipi kuhusu urithi wa lugha ya kiebrania waliyonayo hawa wa siku za leo? je kuna taifa watu wanaongea kiebrania kama lugha tunayoiona kwenye Biblia. Hata majina yao hawa wengi yana asili ya kiebrania tofauti na wazungu wa Ulaya au waarabu majirani zao.

Mimi sisemi nina Ushahidi kwamba hawa wa siku za leo kweli ni waisraeli lakini tunapohoji tuangalie angle zingine pia.
 
Nakuunga mkono kabisa wengi hawajui hizi mambo na wazungu wanapambana tusijue huu ukweli. Hata nabii SEFANIA ni mweusi ni mtoto wa Kush....

BIBLIA KITABU CHA SEFANIA Mlango 1:

Neno la Bwana lililomjia Sefania, mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia; katika siku za Yosia, mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda.
Kama Waisrael wangekuwa ni race ya kizungu wangeweza kusikiliza nabii kutoka race nyingine ambaye anamuonekano tofauti na wao?
 
Watoto wa Nuhu; Japhet, Shem, na Ham.
Kutoka kwa Japhet ndo wakapatikana vizazi vya mataifa mengi ya Ulaya ya leo
Kutoka kwa Ham ndo wakapatikana hao uliowataja Misri, Kanaani n.k.
Kutoka kwa Shem ndo wakapatikana Israeli, Assyria n.k.

Sasa inakuwaje unaona ukaribu wa vinasaba vya Israeli ya zamani na Misri huku ukituhumu Israeli ya sisi hivi kuwa na ukaribu wa vinasaba na Ulaya.

Halafu waisraeli wa zamani walishachanganyikana na mataifa ya Ulaya kwa miaka zaidi ya 1878, huoni kwamba asilimia kubwa watakuwa na mwonekano wa Caucasian hasa ukizingatia rangi nyeupe biologically inakuwa dominant alleles na wao hawakuwa Weusi tii kama waafrika. Daudi alikuwa mwekundu 1Samweli 16:12

Na je unazungumziaje sasa wale ambao nao ni waisraeli wa leo lakini tukiangalia rangi zao ni nyeusi kama waafrika wengi.

Na je kama unatumia Biblia kutoa hoja zako, unazungumziaje ahadi ya Mungu kuwarejesha hawa watu katika nchi yao; kama sio hawa tunaowaona siku za leo je watatoka nchi gani ili wafanane na mwonekano unaoamini ndo asili yao?

Vipi kuhusu hawa wa sasa hivi kuwa ni watu ambao kutoka katika nchi nyingi walizokuwa walitengwa na kubaguliwa kutokana na utamaduni wao wa kiyahudi na ethnicity yao?

Vipi kuhusu urithi wa lugha ya kiebrania waliyonayo hawa wa siku za leo? je kuna taifa watu wanaongea kiebrania kama lugha tunayoiona kwenye Biblia. Hata majina yao hawa wengi yana asili ya kiebrania tofauti na wazungu wa Ulaya au waarabu majirani zao.

Mimi sisemi nina Ushahidi kwamba hawa wa siku za leo kweli ni waisraeli lakini tunapohoji tuangalie angle zingine pia.
Japo bibilia aikuweka wazi kuhusu masuala ya race, lakini tunaweza kuona wahusika wengi wa kwenye bibilia waliishi Africa na middle east na ukisoma bibilia utaona kua mtoto wa Hamu Canan alikwenda kuishi middle east ambapo alimzaa Nimrod aliyekuja kuanzisha falme ya Babel.

Hawa waisrael wa Leo hawana vinasaba na waisrael wa kwenye bibilia bali wanatumia nguvu zao za kiuchumi kuficha ukweli kwa watu.
 
Nakuunga mkono kabisa wengi hawajui hizi mambo na wazungu wanapambana tusijue huu ukweli. Hata nabii SEFANIA ni mweusi ni mtoto wa Kush....

BIBLIA KITABU CHA SEFANIA Mlango 1:

Neno la Bwana lililomjia Sefania, mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia; katika siku za Yosia, mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda.
Kama Waisrael wangekuwa ni race ya kizungu wangeweza kusikiliza nabii kutoka race nyingine ambaye anamuonekano tofauti na wao?
Aliyekua Raisi wa Egypt Anwar El Sadat aliwai kuwaambia hawa waisrael wa leo, tatizo ni kwamba waliondoka Egypt weusi, lakini kwa sasa ni weupe
 
Habari zenu waungwana, nadhani siku si nyingi nilipandisha uzi wenye heading ya WATU WENGI HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU TAIFA LA ISRAEL then kukawa na maneno mengi sana hapa, lakini nilihadi nitarudi na sasa nimerudi kutetea hoja yangu.

Kwa uchunguzi wangu mdogo tu tena kupitia hili jukwaa niliweza kugundua humu ndani kuna battle ya udini iliyojificha katika ajenda ya vita kati ya mataifa mawili Israel na Palestine, Kwanza kabisa nianze kwa kusema sipo hapa kwa ajili ya kuingia kwenye hii battle yenu, ila lengo na dhumuni langu nataka kutoa darasa kidogo, kwani kuna watu wapo weupe sana kichwani, ni jukumu la mtu mwenye busura kuweza kutoa elimu ili tuweze kuwekana sawa.

Leo nitatumia reference ya bible kujenga hoja zangu na kutetea kile ninachoamini ni ukweli, na kitu kingine nilichokigundua ni kwamba kuna wakristo wengi wanatumia bible kama kitabu cha muongozo kwenye imani zao lakini ukweli ni kwamba wengi hawaijui bible wengi wanawasikiliza sana wachungaji wao katika kusoma na kutafasiriwa hivyo wengi hukosa uwezo wakuweza kuisoma na kuielewa bibilia.

Hoja yangu ni kua watu wengi hawafamu chochote kuhusu taifa la waisrael, nikaenda mbali na kusema taifa hili la leo tunaoambiwa ni waisrael hawana mahusiano yoyote na taifa la Israel ambalo hadithi zake tunazisoma kwenye bibilia, najua kuna watu wengi mlikua hamjui hichi kitu na wale wachache wanaofahamu wana kosa hoja na mifano ya kutetea hoja zao, sasa nawaletea ushaidi kutoka kwenye bibilia, bible inatuambia waisrael ni watu wa aina gani? Angalizo nimesema nitatumia bibilia Kama reference ila mambo ya vifungu mimi sikariri huwa napenda kusoma bibilia na sio kukariri vifungu, na kitu kingine kuna watu hua na tabia ya kukoasoa uandishi wa wenzao, ni kwamba hapa sipo kuandika insha ya kiswahili nadhani tumeelewana.

Je bibilia inawaelezea vipi wana wa Israel? Ukisoma kitabu cha mwanzo utakutana na hadithi ya Nuhu na garika, haditthi inasimulia bahada ya wanadamu kuwa wengi na kuongezeka watu walianza kua chukizo machoni mwa bwana, ndipo mwenyezi mungu alipowashushia gharika na kuangamiza watu wote isipokua Nuhu na jamaa zake waliokua ndani ya safina, yahani ndani safina Nuhu akatoka na watoto wake ambao walikua ni Hamu, Shemu, na Yafethi na kupitia hawa wakasambaa na kuujaza nchi.

Hamu aliweka makazi yake Africa na kuzaa watoto wake ambao ni Cush, Misri, Putu (Libya) na Canan kitu watu wengi wasichojua nikwamba bibilia ni kitabu kinachoelezea mwanzo wa ulimwengu na civilization yake na pia inatuambia huu ulimwengu utaisha vipi, hapa nataka niwambieni kwamba Hamu ambao wengi husema ndio baba wa watu weusi, kiasi kwamba wazungu wakaja na hoja ya kwamba Hamu alilaaniwa na baba yake kwani alimuchugulia wakati Nuhu alikua kalewa mvinyo na kubaki uchi, na ukisoma bibilia inasema Nuhu akumulaani Hamu lakini alitoa laana kwa Canan ambye alikua ni mtoto wa Hamu yahani mjukuu wa Nuhu, na bibilia inasema watoto wa Hamu ndio waliotengeneza Civilization kubwa zilizoanza mwanzo kabisa, kama vile Egyptian civilization Cushite civilization (Ethiopia) Canan alienda kukaa Asia na maeneo ya middle east katika eneo ambalo linajulikana kua ni la wapalestina.

Najaribu kukuonesha kwamba watu wa taifa la Israel walikua na vinasaba vilivyoshabiana na watu wa Misri na Cushite.

Abraham bahada ya kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata mtoto mkewe Sarah alimpa kibali kuzaa na kijakazi wake Hagali ambaye alikua ni mwanamke wa kimisri

Lakini pia bibilia inatuelezea kisa cha Yusuf na nduguze katika hii hadithi tunaona Yusuf aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara waliokua wakielekea Misri na bibilia inatuambia badae Yusuf alikuja kua kiongozi mkubwa tu ndani ya nchi ya Wamisri, lakini bibilia inatuambia bahada ya janga la njaa kuikumba dunia wakati ule nchi iliyokua na hadhina kubwa ya chakula ilikua ni Misri, hivyo ndugu zake na Yusuf iliwalazimu kufunga safari mpaka Misri wakitokea Canan kwa lengo la kutafuta chakula, bibilia inatueleza ya kwamba walipofika Misri ndugu zake hawakuweza kumtambua Yusuf lakini yeye aliweza kuwatambua.

Ukisoma maelezo ya hapo juu utangundua kuna kitu cha kujiuliza kwanini nduguze na Yusuf walishindwa kumtambua Yusuf kwani walimuona kama viongozi wengine tu wakimisiri, na hapa ndipo tunagundua Wamisri wa kale walikua na vinasaba na waisrael na ndio sababu ya ndugu wa Yusuf walishindwa kumtambua ndugu yao, yahani ni kama Mtanzania apate nafasi ya kua kiongozi Kenya kama awatakwambia huyo kiongozi ni Mtanzania itakua ni vigumu kutambua sababu ya kwamba wakenya na watanzania ni race moja, hivyo hata Wamisri na waisrael walikua ni watu wa race moja.

Pia ukisoma kwenye kitabu cha Kutoka utakutana na hadithi ya Musa, ambapo bibilia inatuambia Musa alizaliwa Misiri, akalelewa na kufundishwa elimu ya Kimisri, na alipofanya uasi kwa kumuua Mmisri ndipo Musa alikimbilia Ethiopia ambako alihishi na kubahatika kuoa mke wa Kiethiopia.

Lakini pia ukisoma hadithi ya mfalme Solomon utaona na yeye mke wake wa kwanza alikua ni mwanamke wa Kimisri na badae Mfalme Solomon alikuja kuzaa na malkia wa Sheba au Ethiopia, lakini pia kwenye kitabu cha wimbo ulio bora Kuna sura inaelezea mwandishi wa Kitabu hicho ambaye inahaminika kua ni Mfalme Solomon akiweka wazi rangi ya ngozi yake kua ni mweusi hivyo pasipo na shaka yoyote tunaweza kusema mfalme Solomon alikua ni mtu mwusi.

Kwa ufupi tu ni kwamba ukiisoma bibilia utangundua watu weusi ndio wanaconnection kubwa na Waisrael walioandikwa kwenye bibilia kuliko hawa wa sasa hivi wanaokalia eneo la watu kimabavu.

Na ushaidi wa kisayansi na kihisoria unaonyesha wanyeji wa Misiri ya zamani walikua ni watu weusi na na sio hawa waarabu walikuja karne ya 7 ambapo uisilamu ulikua ukienezwa kwa njia ya jihadi.

Pia soma:Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel
Simulizi yako ni ya kihisia zaidi kuliko uhalisia kwa mfano: umesema Waarabu wa Misri waliingia nchi hiyo karne ya 7, wakati huo huo unaongelea muingiliano kati ya Wamisri na Waisrael wakati wa Yusufu na nabii Mussa!

Unadhani hao Mafarao, Yusufu na Mussa walikuwa ni race gani?

Umesema Waisrael waliopo sasa siyo wale wa kwenye Biblia bila kuweka uthibitisho wa kisayansi.

Hao wa kwenye Biblia nani aliwafagia wakaisha wote asibakize hata mmoja, kisha akaanza kupachika watu wake wapya na kuwaita Waisrael bila ya kuwa na nasaba yoyote ya eneo hilo.

Na waliopo walitokea Taifa gani kuja kupachikwa hapo na kuitwa ni Waisrael?

Ninaomba uweke viambatanishi vya kihistoria na siyo simulizi za blah blah ama hisia zako binafsi.
 
Habari zenu waungwana, nadhani siku si nyingi nilipandisha uzi wenye heading ya WATU WENGI HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU TAIFA LA ISRAEL then kukawa na maneno mengi sana hapa, lakini nilihadi nitarudi na sasa nimerudi kutetea hoja yangu.

Kwa uchunguzi wangu mdogo tu tena kupitia hili jukwaa niliweza kugundua humu ndani kuna battle ya udini iliyojificha katika ajenda ya vita kati ya mataifa mawili Israel na Palestine, Kwanza kabisa nianze kwa kusema sipo hapa kwa ajili ya kuingia kwenye hii battle yenu, ila lengo na dhumuni langu nataka kutoa darasa kidogo, kwani kuna watu wapo weupe sana kichwani, ni jukumu la mtu mwenye busura kuweza kutoa elimu ili tuweze kuwekana sawa.

Leo nitatumia reference ya bible kujenga hoja zangu na kutetea kile ninachoamini ni ukweli, na kitu kingine nilichokigundua ni kwamba kuna wakristo wengi wanatumia bible kama kitabu cha muongozo kwenye imani zao lakini ukweli ni kwamba wengi hawaijui bible wengi wanawasikiliza sana wachungaji wao katika kusoma na kutafasiriwa hivyo wengi hukosa uwezo wakuweza kuisoma na kuielewa bibilia.

Hoja yangu ni kua watu wengi hawafamu chochote kuhusu taifa la waisrael, nikaenda mbali na kusema taifa hili la leo tunaoambiwa ni waisrael hawana mahusiano yoyote na taifa la Israel ambalo hadithi zake tunazisoma kwenye bibilia, najua kuna watu wengi mlikua hamjui hichi kitu na wale wachache wanaofahamu wana kosa hoja na mifano ya kutetea hoja zao, sasa nawaletea ushaidi kutoka kwenye bibilia, bible inatuambia waisrael ni watu wa aina gani? Angalizo nimesema nitatumia bibilia Kama reference ila mambo ya vifungu mimi sikariri huwa napenda kusoma bibilia na sio kukariri vifungu, na kitu kingine kuna watu hua na tabia ya kukoasoa uandishi wa wenzao, ni kwamba hapa sipo kuandika insha ya kiswahili nadhani tumeelewana.

Je bibilia inawaelezea vipi wana wa Israel? Ukisoma kitabu cha mwanzo utakutana na hadithi ya Nuhu na garika, haditthi inasimulia bahada ya wanadamu kuwa wengi na kuongezeka watu walianza kua chukizo machoni mwa bwana, ndipo mwenyezi mungu alipowashushia gharika na kuangamiza watu wote isipokua Nuhu na jamaa zake waliokua ndani ya safina, yahani ndani safina Nuhu akatoka na watoto wake ambao walikua ni Hamu, Shemu, na Yafethi na kupitia hawa wakasambaa na kuujaza nchi.

Hamu aliweka makazi yake Africa na kuzaa watoto wake ambao ni Cush, Misri, Putu (Libya) na Canan kitu watu wengi wasichojua nikwamba bibilia ni kitabu kinachoelezea mwanzo wa ulimwengu na civilization yake na pia inatuambia huu ulimwengu utaisha vipi, hapa nataka niwambieni kwamba Hamu ambao wengi husema ndio baba wa watu weusi, kiasi kwamba wazungu wakaja na hoja ya kwamba Hamu alilaaniwa na baba yake kwani alimuchugulia wakati Nuhu alikua kalewa mvinyo na kubaki uchi, na ukisoma bibilia inasema Nuhu akumulaani Hamu lakini alitoa laana kwa Canan ambye alikua ni mtoto wa Hamu yahani mjukuu wa Nuhu, na bibilia inasema watoto wa Hamu ndio waliotengeneza Civilization kubwa zilizoanza mwanzo kabisa, kama vile Egyptian civilization Cushite civilization (Ethiopia) Canan alienda kukaa Asia na maeneo ya middle east katika eneo ambalo linajulikana kua ni la wapalestina.

Najaribu kukuonesha kwamba watu wa taifa la Israel walikua na vinasaba vilivyoshabiana na watu wa Misri na Cushite.

Abraham bahada ya kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata mtoto mkewe Sarah alimpa kibali kuzaa na kijakazi wake Hagali ambaye alikua ni mwanamke wa kimisri

Lakini pia bibilia inatuelezea kisa cha Yusuf na nduguze katika hii hadithi tunaona Yusuf aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara waliokua wakielekea Misri na bibilia inatuambia badae Yusuf alikuja kua kiongozi mkubwa tu ndani ya nchi ya Wamisri, lakini bibilia inatuambia bahada ya janga la njaa kuikumba dunia wakati ule nchi iliyokua na hadhina kubwa ya chakula ilikua ni Misri, hivyo ndugu zake na Yusuf iliwalazimu kufunga safari mpaka Misri wakitokea Canan kwa lengo la kutafuta chakula, bibilia inatueleza ya kwamba walipofika Misri ndugu zake hawakuweza kumtambua Yusuf lakini yeye aliweza kuwatambua.

Ukisoma maelezo ya hapo juu utangundua kuna kitu cha kujiuliza kwanini nduguze na Yusuf walishindwa kumtambua Yusuf kwani walimuona kama viongozi wengine tu wakimisiri, na hapa ndipo tunagundua Wamisri wa kale walikua na vinasaba na waisrael na ndio sababu ya ndugu wa Yusuf walishindwa kumtambua ndugu yao, yahani ni kama Mtanzania apate nafasi ya kua kiongozi Kenya kama awatakwambia huyo kiongozi ni Mtanzania itakua ni vigumu kutambua sababu ya kwamba wakenya na watanzania ni race moja, hivyo hata Wamisri na waisrael walikua ni watu wa race moja.

Pia ukisoma kwenye kitabu cha Kutoka utakutana na hadithi ya Musa, ambapo bibilia inatuambia Musa alizaliwa Misiri, akalelewa na kufundishwa elimu ya Kimisri, na alipofanya uasi kwa kumuua Mmisri ndipo Musa alikimbilia Ethiopia ambako alihishi na kubahatika kuoa mke wa Kiethiopia.

Lakini pia ukisoma hadithi ya mfalme Solomon utaona na yeye mke wake wa kwanza alikua ni mwanamke wa Kimisri na badae Mfalme Solomon alikuja kuzaa na malkia wa Sheba au Ethiopia, lakini pia kwenye kitabu cha wimbo ulio bora Kuna sura inaelezea mwandishi wa Kitabu hicho ambaye inahaminika kua ni Mfalme Solomon akiweka wazi rangi ya ngozi yake kua ni mweusi hivyo pasipo na shaka yoyote tunaweza kusema mfalme Solomon alikua ni mtu mwusi.

Kwa ufupi tu ni kwamba ukiisoma bibilia utangundua watu weusi ndio wanaconnection kubwa na Waisrael walioandikwa kwenye bibilia kuliko hawa wa sasa hivi wanaokalia eneo la watu kimabavu.

Na ushaidi wa kisayansi na kihisoria unaonyesha wanyeji wa Misiri ya zamani walikua ni watu weusi na na sio hawa waarabu walikuja karne ya 7 ambapo uisilamu ulikua ukienezwa kwa njia ya jihadi.

Pia soma:Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel
Waisraeli halisi( og) wako wapi? Tueleze waliko tukawashabikie huko huko
 
Watoto wa Nuhu; Japhet, Shem, na Ham.
Kutoka kwa Japhet ndo wakapatikana vizazi vya mataifa mengi ya Ulaya ya leo
Kutoka kwa Ham ndo wakapatikana hao uliowataja Misri, Kanaani n.k.
Kutoka kwa Shem ndo wakapatikana Israeli, Assyria n.k.

Sasa inakuwaje unaona ukaribu wa vinasaba vya Israeli ya zamani na Misri huku ukituhumu Israeli ya sisi hivi kuwa na ukaribu wa vinasaba na Ulaya.

Halafu waisraeli wa zamani walishachanganyikana na mataifa ya Ulaya kwa miaka zaidi ya 1878, huoni kwamba asilimia kubwa watakuwa na mwonekano wa Caucasian hasa ukizingatia rangi nyeupe biologically inakuwa dominant alleles na wao hawakuwa Weusi tii kama waafrika. Daudi alikuwa mwekundu 1Samweli 16:12

Na je unazungumziaje sasa wale ambao nao ni waisraeli wa leo lakini tukiangalia rangi zao ni nyeusi kama waafrika wengi.

Na je kama unatumia Biblia kutoa hoja zako, unazungumziaje ahadi ya Mungu kuwarejesha hawa watu katika nchi yao; kama sio hawa tunaowaona siku za leo je watatoka nchi gani ili wafanane na mwonekano unaoamini ndo asili yao?

Vipi kuhusu hawa wa sasa hivi kuwa ni watu ambao kutoka katika nchi nyingi walizokuwa walitengwa na kubaguliwa kutokana na utamaduni wao wa kiyahudi na ethnicity yao?

Vipi kuhusu urithi wa lugha ya kiebrania waliyonayo hawa wa siku za leo? je kuna taifa watu wanaongea kiebrania kama lugha tunayoiona kwenye Biblia. Hata majina yao hawa wengi yana asili ya kiebrania tofauti na wazungu wa Ulaya au waarabu majirani zao.

Mimi sisemi nina Ushahidi kwamba hawa wa siku za leo kweli ni waisraeli lakini tunapohoji tuangalie angle zingine pia.
Una hoja usipuuzwe!
 
Japo bibilia aikuweka wazi kuhusu masuala ya race, lakini tunaweza kuona wahusika wengi wa kwenye bibilia waliishi Africa na middle east na ukisoma bibilia utaona kua mtoto wa Hamu Canan alikwenda kuishi middle east ambapo alimzaa Nimrod aliyekuja kuanzisha falme ya Babel.

Hawa waisrael wa Leo hawana vinasaba na waisrael wa kwenye bibilia bali wanatumia nguvu zao za kiuchumi kuficha ukweli kwa watu.
Hawana vinasaba kwa hoja ipi hasa?
Hawa wameji identify kama jews kutokea kila kona ya dunia; India, Morocco, Ethiopia, Ujerumani na nchi nyingi za Ulaya.

Na kwenye hizo nchi miaka yote wameishi kama wapitaji, hata jews waliofanikiwa sana USA wanadai USA is not their home.

Hao jews wa kwenye Biblia hatukuwaona unawezaje kusema hawa tulionao leo hawana vinasaba vya wale wa zamani?

Halafu mbona kwa muonekano pia hawa waisraeli leo bado wengi hawana weupe sawa na wa Ulaya? Au hujaliona hilo?

Kuwahi kukaa Afrika sio hoja, hata leo Afrika ina significant population ya watu ambao sio Blacks na wamekaa kwa mamia ya miaka.
 
Hili unasema sio Taifa la Israel halisi. Ebu chukulia Hawa wasio halisi wanavyowahenyesha Waarabu na Waajemi (Iran). Je, wangekuwa ni "original" kama unavyosema wewe ingelikuwaje?
 
Simulizi yako ni ya kihisia zaidi kuliko uhalisia kwa mfano: umesema Waarabu wa Misri waliingia nchi hiyo karne ya 7, wakati huo huo unaongelea muingiliano kati ya Wamisri na Waisrael wakati wa Yusufu na nabii Mussa!

Unadhani hao Mafarao, Yusufu na Mussa walikuwa ni race gani?

Umesema Waisrael waliopo sasa siyo wale wa kwenye Biblia bila kuweka uthibitisho wa kisayansi.

Hao wa kwenye Biblia nani aliwafagia wakaisha wote asibakize hata mmoja, kisha akaanza kupachika watu wake wapya na kuwaita Waisrael bila ya kuwa na nasaba yoyote ya eneo hilo.

Na waliopo walitokea Taifa gani kuja kupachikwa hapo na kuitwa ni Waisrael?

Ninaomba uweke viambatanishi vya kihistoria na siyo simulizi za blah blah ama hisia zako binafsi.
HUYU JAMAA MTOA UZI NI MSABATO ,NA WASABATO WANAAMIN WAO NDIO WAISRAEL.YAAN ISRAEL NI KIROHO ZAID KULIKO KIMWILI,HIVYO KIROHO WAISRAEL NI WASABATO
 
Hawana vinasaba kwa hoja ipi hasa?
Hawa wameji identify kama jews kutokea kila kona ya dunia; India, Morocco, Ethiopia, Ujerumani na nchi nyingi za Ulaya.

Na kwenye hizo nchi miaka yote wameishi kama wapitaji, hata jews waliofanikiwa sana USA wanadai USA is not their home.

Hao jews wa kwenye Biblia hatukuwaona unawezaje kusema hawa tulionao leo hawana vinasaba vya wale wa zamani?

Halafu mbona kwa muonekano pia hawa waisraeli leo bado wengi hawana weupe sawa na wa Ulaya? Au hujaliona hilo?

Kuwahi kukaa Afrika sio hoja, hata leo Afrika ina significant population ya watu ambao sio Blacks na wamekaa kwa mamia ya miaka.
Mwanzo nilishasema wengi hamjui chochote kuhusu taifa la waisrael labda ngoja nikuambie hawa jamaa leo mnaowaita ni waisrael wanajilikana kama Ashkenazi ambao asili yao ni Uturiki hawa jamaa karne ya 8 ndio wali convert imani na ku adopt Judaism, na wengine waliishi maeneo ya Urusi na Ukraine, lakini badaye ikatokea kama jamii yao inapotezwa then wakaanza kutawanyika sehemu mbalimbali za Ulaya, na wengi walikua ni wafanyabiashara haswa wakopeshaji wa fedha.
Hii ndio sababu unaona weupe wao wangine ni tofauti na wazungu wa ulaya
 
Hawana vinasaba kwa hoja ipi hasa?
Hawa wameji identify kama jews kutokea kila kona ya dunia; India, Morocco, Ethiopia, Ujerumani na nchi nyingi za Ulaya.

Na kwenye hizo nchi miaka yote wameishi kama wapitaji, hata jews waliofanikiwa sana USA wanadai USA is not their home.

Hao jews wa kwenye Biblia hatukuwaona unawezaje kusema hawa tulionao leo hawana vinasaba vya wale wa zamani?

Halafu mbona kwa muonekano pia hawa waisraeli leo bado wengi hawana weupe sawa na wa Ulaya? Au hujaliona hilo?

Kuwahi kukaa Afrika sio hoja, hata leo Afrika ina significant population ya watu ambao sio Blacks na wamekaa kwa mamia ya miaka.
Mwanzo nilishasema wengi hamjui chochote kuhusu taifa la waisrael labda ngoja nikuambie hawa jamaa leo mnaowaita ni waisrael wanajilikana kama Ashkenazi ambao asili yao ni Uturuki hawa jamaa karne ya 8 ndio wali convert imani na ku adopt Judaism, na wengine waliishi maeneo ya Urusi na Ukraine, lakini badaye ikatokea kama jamii yao inapotezwa then wakaanza kutawanyika sehemu mbalimbali za Ulaya, na wengi walikua ni wafanyabiashara haswa wakopeshaji wa fedha.
Hii ndio sababu unaona weupe wao wangine ni tofauti na wazungu wa ulaya
 
Hawana vinasaba kwa hoja ipi hasa?
Hawa wameji identify kama jews kutokea kila kona ya dunia; India, Morocco, Ethiopia, Ujerumani na nchi nyingi za Ulaya.

Na kwenye hizo nchi miaka yote wameishi kama wapitaji, hata jews waliofanikiwa sana USA wanadai USA is not their home.

Hao jews wa kwenye Biblia hatukuwaona unawezaje kusema hawa tulionao leo hawana vinasaba vya wale wa zamani?

Halafu mbona kwa muonekano pia hawa waisraeli leo bado wengi hawana weupe sawa na wa Ulaya? Au hujaliona hilo?

Kuwahi kukaa Afrika sio hoja, hata leo Afrika ina significant population ya watu ambao sio Blacks na wamekaa kwa mamia ya miaka.
Mwanzo nilishasema wengi hamjui chochote kuhusu taifa la waisrael labda ngoja nikuambie hawa jamaa leo mnaowaita ni waisrael wanajilikana kama Ashkenazi ambao asili yao ni Uturuki hawa jamaa karne ya 8 ndio wali convert imani na ku adopt Judaism, na wengine waliishi maeneo ya Urusi na Ukraine, lakini badaye ikatokea kama jamii yao inapotezwa then wakaanza kutawanyika sehemu mbalimbali za Ulaya, na wengi walikua ni wafanyabiashara haswa wakopeshaji wa fedha.
Hii ndio sababu unaona weupe wao wangine ni tofauti na wazungu wa ulaya
 
Hawana vinasaba kwa hoja ipi hasa?
Hawa wameji identify kama jews kutokea kila kona ya dunia; India, Morocco, Ethiopia, Ujerumani na nchi nyingi za Ulaya.

Na kwenye hizo nchi miaka yote wameishi kama wapitaji, hata jews waliofanikiwa sana USA wanadai USA is not their home.

Hao jews wa kwenye Biblia hatukuwaona unawezaje kusema hawa tulionao leo hawana vinasaba vya wale wa zamani?

Halafu mbona kwa muonekano pia hawa waisraeli leo bado wengi hawana weupe sawa na wa Ulaya? Au hujaliona hilo?

Kuwahi kukaa Afrika sio hoja, hata leo Afrika ina significant population ya watu ambao sio Blacks na wamekaa kwa mamia ya miaka.
Mwanzo nilishasema wengi hamjui chochote kuhusu taifa la waisrael labda ngoja nikuambie hawa jamaa leo mnaowaita ni waisrael wanajilikana kama Ashkenazi ambao asili yao ni Uturuki hawa jamaa karne ya 8 ndio wali convert imani na ku adopt Judaism, na wengine waliishi maeneo ya Urusi na Ukraine, lakini badaye ikatokea kama jamii yao inapotezwa then wakaanza kutawanyika sehemu mbalimbali za Ulaya, na wengi walikua ni wafanyabiashara haswa wakopeshaji wa fedha.
Hii ndio sababu unaona weupe wao wangine ni tofauti na wazungu wa ulaya
 
Back
Top Bottom