Kwanini watu wengi hawajui chochote kuhusu taifa la Israel, part 2

Kwanini watu wengi hawajui chochote kuhusu taifa la Israel, part 2

NI KUPOTEZA MUDA KUZUNGUMZIA KITU KILE KILE MUDA WOTE. YAANI UMELETA MAMBO AMBAYO TAYARI TUNAYAFAHAM. HAMNA JIPYA.
Tuambie unachokijua ili uwasaidie na wengine, unaposema mambo tayari mnayafahamu, ni wewe na wakina nani?
Kuna watu walikua hawajui chochote kuhusu hivi vitu nilivyovileta hata kama wanapinga lakini najua wametambua kuna mtazamo mwingine kuhusu ili taifa la Israel ambao walikua hawaujui, sasa wewe ulitakiwa kuonesha unachokijua lakini umeamua kutuandikia mistari ya kwenye taarabu
 
Tuambie unachokijua ili uwasaidie na wengine, unaposema mambo tayari mnayafahamu, ni wewe na wakina nani?
Kuna watu walikua hawajui chochote kuhusu hivi vitu nilivyovileta hata kama wanapinga lakini najua wametambua kuna mtazamo mwingine kuhusu ili taifa la Israel ambao walikua hawaujui, sasa wewe ulitakiwa kuonesha unachokijua lakini umeamua kutuandikia mistari ya kwenye taarabu

HAKUNA MTU SERIOUS AMBAYE HAKUWA ANAJUA HIKI ULICHOANDIKA. KIPO WAZI CHEPESI. HAMNA JIPYA. YALE YALE UMEOKOTEZA OKOTEZA KWENYE NYUZI UKALETA HAPA. HAMNA JIPYA.
 
HAKUNA MTU SERIOUS AMBAYE HAKUWA ANAJUA HIKI ULICHOANDIKA. KIPO WAZI CHEPESI. HAMNA JIPYA. YALE YALE UMEOKOTEZA OKOTEZA KWENYE NYUZI UKALETA HAPA. HAMNA JIPYA.
Watu serious ndio wakina nani? na kama unajua mbona mimi kuleta huu uzi inaonekana unaumia sana.

Halafu auna hoja zaidi ya kudai hivi vitu unavifahamu, ushauri wangu kwako tafuta bendi ya taarabu kajiunge nao usiache kipaji chako kikapotea mkuu
 
Kama kula yao kesho hawaijui, sa itakuaje waijue Israel...🤔
 
Watu serious ndio wakina nani? na kama unajua mbona mimi kuleta huu uzi inaonekana unaumia sana.

Halafu auna hoja zaidi ya kudai hivi vitu unavifahamu, ushauri wangu kwako tafuta bendi ya taarabu kajiunge nao usiache kipaji chako kikapotea mkuu
NIUMIE KWA WEWE KUANDIKA MARUDIO? SIMU YAKO NA KILA KITU CHAKO. UNA COPY UNA PASTE SASA HAPO KUNA SHIDA GANI? MI NIMEKUSHAURI TU KUWA FIND SOMETHING NEW.
 
Mkuu, kwanza hongera sana kwa kujaribu na kujaribu na hujakata tamaa kuwaelezea Waisrael kwa kutumia NENO (Biblical)

Hata hivyo, bado kuna mambo kibao umeyachanganya mno

Ila una kitu kizuri unachokuwa unabaki nacho moyoni, yawezekana kwa sababu ya muda ulionao ni mdogo kukielezea hatua kwa hatua

Kidogo sana kwa leo, hujaja na mahaba ya upande wowote, umesimama kama mtu wa kati asiyeegemea kokote

Nadhani bado tena utakuja kutupasha kwa ufasaha zaidi

Ila uelewe tu kwamba, Israel iliyokuwa imesambaa kwenye mataifa mbalimbali, walianza kurejea kwao baada ya vita vya pili vya Dunia, na ndiyo maana kuna kipindi ilikuwa kila leo Kunajengwa makazi ya walowezi waliokuwa wakirudi kutoka umataifani!

Na bado wataendelea kurudi, na moto wao ni uleule uliosemwa na kunukuliwa na Biblia

Kina Netanyahu, ndiyo haswaa JEWS,
Hawezi kukuelewa sababu ukifatilia maandishi yake kaleta ujanja sana asijulikane kuwa yupo kidini zaidi ya alichoandika. Kwanza anamaanisha wale pale siyo waisrael na Nika Kama kizazi hicho Cha Israel hakipo Tena duniani. Anajaribu kushika shika Mara wamisri wa zamani? Wakati misri ilikuwepo Mara waethiopia. Wakati waitheopia walikuwepo na Africa ilikuwapo pia. Aje na mada hao waisrael anaohisi hawapo wameenda wapi?. Na kwanini wasiwepo na kama wapo ni kina nani? Siyo anarukaruka kwa kutumia biblia. Atumie hata kitabu Cha Imani yake pia.
 
Habari zenu waungwana, nadhani siku si nyingi nilipandisha uzi wenye heading ya WATU WENGI HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU TAIFA LA ISRAEL then kukawa na maneno mengi sana hapa, lakini nilihadi nitarudi na sasa nimerudi kutetea hoja yangu.

Kwa uchunguzi wangu mdogo tu tena kupitia hili jukwaa niliweza kugundua humu ndani kuna battle ya udini iliyojificha katika ajenda ya vita kati ya mataifa mawili Israel na Palestine, Kwanza kabisa nianze kwa kusema sipo hapa kwa ajili ya kuingia kwenye hii battle yenu, ila lengo na dhumuni langu nataka kutoa darasa kidogo, kwani kuna watu wapo weupe sana kichwani, ni jukumu la mtu mwenye busura kuweza kutoa elimu ili tuweze kuwekana sawa.

Leo nitatumia reference ya bible kujenga hoja zangu na kutetea kile ninachoamini ni ukweli, na kitu kingine nilichokigundua ni kwamba kuna wakristo wengi wanatumia bible kama kitabu cha muongozo kwenye imani zao lakini ukweli ni kwamba wengi hawaijui bible wengi wanawasikiliza sana wachungaji wao katika kusoma na kutafasiriwa hivyo wengi hukosa uwezo wakuweza kuisoma na kuielewa bibilia.

Hoja yangu ni kua watu wengi hawafamu chochote kuhusu taifa la waisrael, nikaenda mbali na kusema taifa hili la leo tunaoambiwa ni waisrael hawana mahusiano yoyote na taifa la Israel ambalo hadithi zake tunazisoma kwenye bibilia, najua kuna watu wengi mlikua hamjui hichi kitu na wale wachache wanaofahamu wana kosa hoja na mifano ya kutetea hoja zao, sasa nawaletea ushaidi kutoka kwenye bibilia, bible inatuambia waisrael ni watu wa aina gani? Angalizo nimesema nitatumia bibilia Kama reference ila mambo ya vifungu mimi sikariri huwa napenda kusoma bibilia na sio kukariri vifungu, na kitu kingine kuna watu hua na tabia ya kukoasoa uandishi wa wenzao, ni kwamba hapa sipo kuandika insha ya kiswahili nadhani tumeelewana.

Je bibilia inawaelezea vipi wana wa Israel? Ukisoma kitabu cha mwanzo utakutana na hadithi ya Nuhu na garika, haditthi inasimulia bahada ya wanadamu kuwa wengi na kuongezeka watu walianza kua chukizo machoni mwa bwana, ndipo mwenyezi mungu alipowashushia gharika na kuangamiza watu wote isipokua Nuhu na jamaa zake waliokua ndani ya safina, yahani ndani safina Nuhu akatoka na watoto wake ambao walikua ni Hamu, Shemu, na Yafethi na kupitia hawa wakasambaa na kuujaza nchi.

Hamu aliweka makazi yake Africa na kuzaa watoto wake ambao ni Cush, Misri, Putu (Libya) na Canan kitu watu wengi wasichojua nikwamba bibilia ni kitabu kinachoelezea mwanzo wa ulimwengu na civilization yake na pia inatuambia huu ulimwengu utaisha vipi, hapa nataka niwambieni kwamba Hamu ambao wengi husema ndio baba wa watu weusi, kiasi kwamba wazungu wakaja na hoja ya kwamba Hamu alilaaniwa na baba yake kwani alimuchugulia wakati Nuhu alikua kalewa mvinyo na kubaki uchi, na ukisoma bibilia inasema Nuhu akumulaani Hamu lakini alitoa laana kwa Canan ambye alikua ni mtoto wa Hamu yahani mjukuu wa Nuhu, na bibilia inasema watoto wa Hamu ndio waliotengeneza Civilization kubwa zilizoanza mwanzo kabisa, kama vile Egyptian civilization Cushite civilization (Ethiopia) Canan alienda kukaa Asia na maeneo ya middle east katika eneo ambalo linajulikana kua ni la wapalestina.

Najaribu kukuonesha kwamba watu wa taifa la Israel walikua na vinasaba vilivyoshabiana na watu wa Misri na Cushite.

Abraham bahada ya kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata mtoto mkewe Sarah alimpa kibali kuzaa na kijakazi wake Hagali ambaye alikua ni mwanamke wa kimisri

Lakini pia bibilia inatuelezea kisa cha Yusuf na nduguze katika hii hadithi tunaona Yusuf aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara waliokua wakielekea Misri na bibilia inatuambia badae Yusuf alikuja kua kiongozi mkubwa tu ndani ya nchi ya Wamisri, lakini bibilia inatuambia bahada ya janga la njaa kuikumba dunia wakati ule nchi iliyokua na hadhina kubwa ya chakula ilikua ni Misri, hivyo ndugu zake na Yusuf iliwalazimu kufunga safari mpaka Misri wakitokea Canan kwa lengo la kutafuta chakula, bibilia inatueleza ya kwamba walipofika Misri ndugu zake hawakuweza kumtambua Yusuf lakini yeye aliweza kuwatambua.

Ukisoma maelezo ya hapo juu utangundua kuna kitu cha kujiuliza kwanini nduguze na Yusuf walishindwa kumtambua Yusuf kwani walimuona kama viongozi wengine tu wakimisiri, na hapa ndipo tunagundua Wamisri wa kale walikua na vinasaba na waisrael na ndio sababu ya ndugu wa Yusuf walishindwa kumtambua ndugu yao, yahani ni kama Mtanzania apate nafasi ya kua kiongozi Kenya kama awatakwambia huyo kiongozi ni Mtanzania itakua ni vigumu kutambua sababu ya kwamba wakenya na watanzania ni race moja, hivyo hata Wamisri na waisrael walikua ni watu wa race moja.

Pia ukisoma kwenye kitabu cha Kutoka utakutana na hadithi ya Musa, ambapo bibilia inatuambia Musa alizaliwa Misiri, akalelewa na kufundishwa elimu ya Kimisri, na alipofanya uasi kwa kumuua Mmisri ndipo Musa alikimbilia Ethiopia ambako alihishi na kubahatika kuoa mke wa Kiethiopia.

Lakini pia ukisoma hadithi ya mfalme Solomon utaona na yeye mke wake wa kwanza alikua ni mwanamke wa Kimisri na badae Mfalme Solomon alikuja kuzaa na malkia wa Sheba au Ethiopia, lakini pia kwenye kitabu cha wimbo ulio bora Kuna sura inaelezea mwandishi wa Kitabu hicho ambaye inahaminika kua ni Mfalme Solomon akiweka wazi rangi ya ngozi yake kua ni mweusi hivyo pasipo na shaka yoyote tunaweza kusema mfalme Solomon alikua ni mtu mwusi.

Kwa ufupi tu ni kwamba ukiisoma bibilia utangundua watu weusi ndio wanaconnection kubwa na Waisrael walioandikwa kwenye bibilia kuliko hawa wa sasa hivi wanaokalia eneo la watu kimabavu.

Na ushaidi wa kisayansi na kihisoria unaonyesha wanyeji wa Misiri ya zamani walikua ni watu weusi na na sio hawa waarabu walikuja karne ya 7 ambapo uisilamu ulikua ukienezwa kwa njia ya jihadi.

Pia soma:Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel
Wewe ni mbumbumbu na ndiyo maana unaanza kujihami na eti "mm sikariri vifungu vya biblia" Abraham alitokea mji unaitwa Ur, kwenye jamii ya wakaldayo miaka kama 2018 BCE; alipoishi alifanikwa kuwa pamoja na Shem mtoto wa Nuhu kwa takriban miaka 150 kabla Shem hajafa. Pia fahamu kuwa ingawa bible kuna maandiko inabainisha baadhi ya watu (mf. mke wa Moses) kuwa ni Cushites bado hiyo inaweza kuwa referrence ya location ya jamii hiyo ya watu badala ya kuwa rangi yao ya ngozi. Biblia haijiingizi kwenye mtego wa kubainisha rangi ya watu kama ambavyo Quran iliingia mtego huo na hata kumbainisha ati mtume ni jamii ya watu weupe. Vile vile ujue kuwa biblia ingawa si kitabu cha kihistoria, bado inabidi wewe unayekisoma uende kwenye secular history to vindicate what the bible teaches.
Fahamu pia kuwa kinacho mtambulisha mtu siyo hasa muonekano wa maumbile yake bali kumbukumbu iliyoko kichwani mwake na historia iliyohifadhiwa. Ndiyo maana unaweza mvamia mtu hasa wale walio mapacha na kufikiri ni yule unayemjua, mpaka pale utakapothibitishiwa otherwise kutokana na kumbukumbu alizonazo. Yesu alipofufuka kwakuwa alifufuka akiwa roho (1 Peter 3:18b) alikuwa akivaa miili tofauti na ule aliokuwa nao na ndiyo maana wanafunzi wake hawakumtambua mpaka pale alipotambulisha kwao kumbukumbu za pamoja wakati akiishi nao ndipo walipata kuamini kuwa ndiye yeye mwenyewe.
Waisraeli hawa wa sasa ingawa wanaweza kuwa siyo wale wa zama hizo kwa maana ya maumbile na rangi, ukumbuke kuwa watu hawa waliishakuwa mbele kimaendeleo kiasi kwamba traditions na namna ya ibada yao walii document vizuri kiasi kwamba kokote walikopelekwa uhamishoni wameendeleza traditions, customes, lugha na ibada yao.
Mfano mwingine ambao uko kinyume na huo ni Wamarekani weusi. Kwakuwa sisi waafrika hatukuwa na maendeleo hayo ya kutuwezesha kudocument traditions zetu, ndiyo maana hawa watu walipofika USA, kila kitu kilipotea hata majina yao ya kiafrica pia yakapotea.
Ninachokusihi ndugu, nenda taratibu na hiyo historia ambayo ni very sensitive 🥺 ujue tu kuwa si kila unachokisoma mtandaoni kuhusu historia ni genuine; you got to compare those historians wengine huandika kwa maslahi yao.
Hao unaojaribu kuwatetea ktk suala hili ujue kuwa the foundation of everything they teach is fraudulent. Mohammad is an invention, Mecca also, Alaqsa mosque and Dome of the Rock basis zao ni uongo, Issa wa Quran is a scam, quran is silliest book ever with lots of lies and mistakes. Kinachowasaidia ni kuwa Shetani yule gwiji la propaganda ndiye anayeiongoza hiyo dini ndiyo maana their lies travel very fast around the world.
 
Wewe ni mbumbumbu na ndiyo maana unaanza kujihami na eti "mm sikariri vifungu vya biblia" Abraham alitokea mji unaitwa Ur, kwenye jamii ya wakaldayo miaka kama 2018 BCE; alipoishi alifanikwa kuwa pamoja na Shem mtoto wa Nuhu kwa takriban miaka 150 kabla Shem hajafa. Pia fahamu kuwa ingawa bible kuna maandiko inabainisha baadhi ya watu (mf. mke wa Moses) kuwa ni Cushites bado hiyo inaweza kuwa referrence ya location ya jamii hiyo ya watu badala ya kuwa rangi yao ya ngozi. Biblia haijiingizi kwenye mtego wa kubainisha rangi ya watu kama ambavyo Quran iliingia mtego huo na hata kumbainisha ati mtume ni jamii ya watu weupe. Vile vile ujue kuwa biblia ingawa si kitabu cha kihistoria, bado inabidi wewe unayekisoma uende kwenye secular history to vindicate what the bible teaches.
Fahamu pia kuwa kinacho mtambulisha mtu siyo hasa muonekano wa maumbile yake bali kumbukumbu iliyoko kichwani mwake na historia iliyohifadhiwa. Ndiyo maana unaweza mvamia mtu hasa wale walio mapacha na kufikiri ni yule unayemjua, mpaka pale utakapothibitishiwa otherwise kutokana na kumbukumbu alizonazo. Yesu alipofufuka kwakuwa alifufuka akiwa roho (1 Peter 3:18b) alikuwa akivaa miili tofauti na ule aliokuwa nao na ndiyo maana wanafunzi wake hawakumtambua mpaka pale alipotambulisha kwao kumbukumbu za pamoja wakati akiishi nao ndipo walipata kuamini kuwa ndiye yeye mwenyewe.
Waisraeli hawa wa sasa ingawa wanaweza kuwa siyo wale wa zama hizo kwa maana ya maumbile na rangi, ukumbuke kuwa watu hawa waliishakuwa mbele kimaendeleo kiasi kwamba traditions na namna ya ibada yao walii document vizuri kiasi kwamba kokote walikopelekwa uhamishoni wameendeleza traditions, customes, lugha na ibada yao.
Mfano mwingine ambao uko kinyume na huo ni Wamarekani weusi. Kwakuwa sisi waafrika hatukuwa na maendeleo hayo ya kutuwezesha kudocument traditions zetu, ndiyo maana hawa watu walipofika USA, kila kitu kilipotea hata majina yao ya kiafrica pia yakapotea.
Ninachokusihi ndugu, nenda taratibu na hiyo historia ambayo ni very sensitive 🥺 ujue tu kuwa si kila unachokisoma mtandaoni kuhusu historia ni genuine; you got to compare those historians wengine huandika kwa maslahi yao.
Hao unaojaribu kuwatetea ktk suala hili ujue kuwa the foundation of everything they teach is fraudulent. Mohammad is an invention, Mecca also, Alaqsa mosque and Dome of the Rock basis zao ni uongo, Issa wa Quran is a scam, quran is silliest book ever with lots of lies and mistakes. Kinachowasaidia ni kuwa Shetani yule gwiji la propaganda ndiye anayeiongoza hiyo dini ndiyo maana their lies travel very fast around the world.
Naona kabisa umeshindwa kujibu hoja, ila nia yako ilikua ni kuwashambulia waisilamu, mimi sio muisilamu hivyo siwezi jibu hizo hoja zako ulizoziandika mwishoni nadhani watakuja wenyewe kukujibu.

Hoja zangu zote nimetoa katika bibilia na si kitabu kingiene, Nina facts nyingi tu tofauti na bibilia zinazonithibitishia hawa waisrael wa sasa sio wale walio andikwa kwenye bibilia
 
MWAKA 70 AD MAJESHI YA KIRUMI YALIVAMIA JERUSALEMU NA NA KUCHINJA NA KUHARIBU KILA KITU HADI HEKALU LA SULEIMAN LILIHARIBIWA,.

Yesu aliwatabiria hivi:

LUKA 19
41 Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,
42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.
43 Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
44 watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako.

LUKA 21
20 Lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia.
21 Ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani, na walio katikati yake wakimbilie nje, na walio katika mashamba wasiuingie.
22 Kwa kuwa siku hizo ndizo za mapatilizo, ili yatimizwe yote yaliyoandikwa.
23 Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha katika siku hizo! Kwa kuwa kutakuwa na shida nyingi katika nchi, na hasira juu ya taifa hili.
24 Wataanguka kwa ukali wa upanga, nao watatekwa nyara na kuchukuliwa katika mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hata majira ya Mataifa yatakapotimia.
Ninajua madhila kama hayo yakitokea, huwapata baadhi ya raia na si wote kwa ujumla wao.

Wapo wanaosalimika, wapo wanaotekwa na kuchukuliwa, wapo wanaokuwa mbali na jiografia ya tukio.

Ndiyo swali linabakia pale pale:
Kuna siku ilishatokea wakaswagwa raia nchi nzima kaya kwa kaya na kupachikwa watu wengine, hao watu waliopachikwa walitokea taifa gani na mwaka gani, kwa nini waliopo sasa waendelee kujiita Waisrael?
 
Naona kabisa umeshindwa kujibu hoja, ila nia yako ilikua ni kuwashambulia waisilamu, mimi sio muisilamu hivyo siwezi jibu hizo hoja zako ulizoziandika mwishoni nadhani watakuja wenyewe kukujibu.

Hoja zangu zote nimetoa katika bibilia na si kitabu kingiene, Nina facts nyingi tu tofauti na bibilia zinazonithibitishia hawa waisrael wa sasa sio wale walio andikwa kwenye bibilia
Leta hayo maandiko na hizo secular references zako.
 
Ninajua madhila kama hayo yakitokea, huwapata baadhi ya raia na si wote kwa ujumla wao.

Wapo wanaosalimika, wapo wanaotekwa na kuchukuliwa, wapo wanaokuwa mbali na jiografia ya tukio.

Ndiyo swali linabakia pale pale:
Kuna siku ilishatokea wakaswagwa raia nchi nzima kaya kwa kaya na kupachikwa watu wengine, hao watu waliopachikwa walitokea taifa gani na mwaka gani, kwa nini waliopo sasa waendelee kujiita Waisrael?
Walio salimika walikimbia na walio baki walikamatwa na kupekwa utumwani, Waisrael halisi hawakuwa wazungu.

Tangu uvamizi na kurudishwa hapo hao wazungu wanao julikana leo kama Waisrael ulikuwa ni mpango maalumu wa kujionyesha kwamba wao ni watu tofauti na race nyingine hata sasa wamefanikiwa sana unaweza kuona wameweza kuingiza picha kwenye vichwa vya wengi kwamba malaika wana muonekano wa kizungu kama wao, hata mitume wote walikuwa ni wazungu.

Sasa ili kuyatimiza yote haya ndiyo maana walifanya hawa hata Kuwapoteza Wamisri wakale ambao nao walikuwa weusi na kuwaweka Waraabu.

Vita ya WW2 ambayo ilisababisha taifa hili kuzaliwa ilikuwa imepagwa, Adolf Hitler alisaidiwa na kanisa kuanzisha vita hiyo. na baada ya vita hiyo mwaka 1948 Israel mpya ilirudishwa hapo walipo leo.
 
Walio salimika walikimbia na walio baki walikamatwa na kupekwa utumwani, Waisrael halisi hawakuwa wazungu.

Tangu uvamizi na kurudishwa hapo hao wazungu wanao julikana leo kama Waisrael ulikuwa ni mpango maalumu wa kujionyesha kwamba wao ni watu tofauti na race nyingine hata sasa wamefanikiwa sana unaweza kuona wameweza kuingiza picha kwenye vichwa vya wengi kwamba malaika wana muonekano wa kizungu kama wao, hata mitume wote walikuwa ni wazungu.

Sasa ili kuyatimiza yote haya ndiyo maana walifanya hawa hata Kuwapoteza Wamisri wakale ambao nao walikuwa weusi na kuwaweka Waraabu.

Vita ya WW2 ambayo ilisababisha taifa hili kuzaliwa ilikuwa imepagwa, Adolf Hitler alisaidiwa na kanisa kuanzisha vita hiyo. na baada ya vita hiyo mwaka 1948 Israel mpya ilirudishwa hapo walipo leo.
Wape madini kuna watu weupe sana kichwani
 
Hili Jukwaa andika Vitu vya msingi vinavyoleta Maendleo Kwa Watu Kwenye Fursa za Kilimo, ufugaji Wa Kisasa ,Biashara ,Madini kama Huna hoja ya kuandika na Kutoa Fusra Watu wakafaidika na elimu Yako bola ukae Kimya usiandike Chochote Sio unaandika Ujinga wako Alafu hutaki Watu wacoment Upumbavu wako kama Huna Cha kupost tulia au Post Kwenye Jukwaa la Wajinga wenzio huko.
 
Hili Jukwaa andika Vitu vya msingi vinavyoleta Maendleo Kwa Watu Kwenye Fursa za Kilimo, ufugaji Wa Kisasa ,Biashara ,Madini kama Huna hoja ya kuandika na Kutoa Fusra Watu wakafaidika na elimu Yako bola ukae Kimya usiandike Chochote Sio unaandika Ujinga wako Alafu hutaki Watu wacoment Upumbavu wako kama Huna Cha kupost tulia au Post Kwenye Jukwaa la Wajinga wenzio huko.
Una stress mkuu, Kaa chini utulize akili,
 
H
Habari zenu waungwana, nadhani siku si nyingi nilipandisha uzi wenye heading ya WATU WENGI HAWAJUI CHOCHOTE KUHUSU TAIFA LA ISRAEL then kukawa na maneno mengi sana hapa, lakini nilihadi nitarudi na sasa nimerudi kutetea hoja yangu.

Kwa uchunguzi wangu mdogo tu tena kupitia hili jukwaa niliweza kugundua humu ndani kuna battle ya udini iliyojificha katika ajenda ya vita kati ya mataifa mawili Israel na Palestine, Kwanza kabisa nianze kwa kusema sipo hapa kwa ajili ya kuingia kwenye hii battle yenu, ila lengo na dhumuni langu nataka kutoa darasa kidogo, kwani kuna watu wapo weupe sana kichwani, ni jukumu la mtu mwenye busura kuweza kutoa elimu ili tuweze kuwekana sawa.

Leo nitatumia reference ya bible kujenga hoja zangu na kutetea kile ninachoamini ni ukweli, na kitu kingine nilichokigundua ni kwamba kuna wakristo wengi wanatumia bible kama kitabu cha muongozo kwenye imani zao lakini ukweli ni kwamba wengi hawaijui bible wengi wanawasikiliza sana wachungaji wao katika kusoma na kutafasiriwa hivyo wengi hukosa uwezo wakuweza kuisoma na kuielewa bibilia.

Hoja yangu ni kua watu wengi hawafamu chochote kuhusu taifa la waisrael, nikaenda mbali na kusema taifa hili la leo tunaoambiwa ni waisrael hawana mahusiano yoyote na taifa la Israel ambalo hadithi zake tunazisoma kwenye bibilia, najua kuna watu wengi mlikua hamjui hichi kitu na wale wachache wanaofahamu wana kosa hoja na mifano ya kutetea hoja zao, sasa nawaletea ushaidi kutoka kwenye bibilia, bible inatuambia waisrael ni watu wa aina gani? Angalizo nimesema nitatumia bibilia Kama reference ila mambo ya vifungu mimi sikariri huwa napenda kusoma bibilia na sio kukariri vifungu, na kitu kingine kuna watu hua na tabia ya kukoasoa uandishi wa wenzao, ni kwamba hapa sipo kuandika insha ya kiswahili nadhani tumeelewana.

Je bibilia inawaelezea vipi wana wa Israel? Ukisoma kitabu cha mwanzo utakutana na hadithi ya Nuhu na garika, haditthi inasimulia bahada ya wanadamu kuwa wengi na kuongezeka watu walianza kua chukizo machoni mwa bwana, ndipo mwenyezi mungu alipowashushia gharika na kuangamiza watu wote isipokua Nuhu na jamaa zake waliokua ndani ya safina, yahani ndani safina Nuhu akatoka na watoto wake ambao walikua ni Hamu, Shemu, na Yafethi na kupitia hawa wakasambaa na kuujaza nchi.

Hamu aliweka makazi yake Africa na kuzaa watoto wake ambao ni Cush, Misri, Putu (Libya) na Canan kitu watu wengi wasichojua nikwamba bibilia ni kitabu kinachoelezea mwanzo wa ulimwengu na civilization yake na pia inatuambia huu ulimwengu utaisha vipi, hapa nataka niwambieni kwamba Hamu ambao wengi husema ndio baba wa watu weusi, kiasi kwamba wazungu wakaja na hoja ya kwamba Hamu alilaaniwa na baba yake kwani alimuchugulia wakati Nuhu alikua kalewa mvinyo na kubaki uchi, na ukisoma bibilia inasema Nuhu akumulaani Hamu lakini alitoa laana kwa Canan ambye alikua ni mtoto wa Hamu yahani mjukuu wa Nuhu, na bibilia inasema watoto wa Hamu ndio waliotengeneza Civilization kubwa zilizoanza mwanzo kabisa, kama vile Egyptian civilization Cushite civilization (Ethiopia) Canan alienda kukaa Asia na maeneo ya middle east katika eneo ambalo linajulikana kua ni la wapalestina.

Najaribu kukuonesha kwamba watu wa taifa la Israel walikua na vinasaba vilivyoshabiana na watu wa Misri na Cushite.

Abraham bahada ya kukaa kwa muda mrefu pasipo kupata mtoto mkewe Sarah alimpa kibali kuzaa na kijakazi wake Hagali ambaye alikua ni mwanamke wa kimisri

Lakini pia bibilia inatuelezea kisa cha Yusuf na nduguze katika hii hadithi tunaona Yusuf aliuzwa na ndugu zake kwa wafanyabiashara waliokua wakielekea Misri na bibilia inatuambia badae Yusuf alikuja kua kiongozi mkubwa tu ndani ya nchi ya Wamisri, lakini bibilia inatuambia bahada ya janga la njaa kuikumba dunia wakati ule nchi iliyokua na hadhina kubwa ya chakula ilikua ni Misri, hivyo ndugu zake na Yusuf iliwalazimu kufunga safari mpaka Misri wakitokea Canan kwa lengo la kutafuta chakula, bibilia inatueleza ya kwamba walipofika Misri ndugu zake hawakuweza kumtambua Yusuf lakini yeye aliweza kuwatambua.

Ukisoma maelezo ya hapo juu utangundua kuna kitu cha kujiuliza kwanini nduguze na Yusuf walishindwa kumtambua Yusuf kwani walimuona kama viongozi wengine tu wakimisiri, na hapa ndipo tunagundua Wamisri wa kale walikua na vinasaba na waisrael na ndio sababu ya ndugu wa Yusuf walishindwa kumtambua ndugu yao, yahani ni kama Mtanzania apate nafasi ya kua kiongozi Kenya kama awatakwambia huyo kiongozi ni Mtanzania itakua ni vigumu kutambua sababu ya kwamba wakenya na watanzania ni race moja, hivyo hata Wamisri na waisrael walikua ni watu wa race moja.

Pia ukisoma kwenye kitabu cha Kutoka utakutana na hadithi ya Musa, ambapo bibilia inatuambia Musa alizaliwa Misiri, akalelewa na kufundishwa elimu ya Kimisri, na alipofanya uasi kwa kumuua Mmisri ndipo Musa alikimbilia Ethiopia ambako alihishi na kubahatika kuoa mke wa Kiethiopia.

Lakini pia ukisoma hadithi ya mfalme Solomon utaona na yeye mke wake wa kwanza alikua ni mwanamke wa Kimisri na badae Mfalme Solomon alikuja kuzaa na malkia wa Sheba au Ethiopia, lakini pia kwenye kitabu cha wimbo ulio bora Kuna sura inaelezea mwandishi wa Kitabu hicho ambaye inahaminika kua ni Mfalme Solomon akiweka wazi rangi ya ngozi yake kua ni mweusi hivyo pasipo na shaka yoyote tunaweza kusema mfalme Solomon alikua ni mtu mwusi.

Kwa ufupi tu ni kwamba ukiisoma bibilia utangundua watu weusi ndio wanaconnection kubwa na Waisrael walioandikwa kwenye bibilia kuliko hawa wa sasa hivi wanaokalia eneo la watu kimabavu.

Na ushaidi wa kisayansi na kihisoria unaonyesha wanyeji wa Misiri ya zamani walikua ni watu weusi na na sio hawa waarabu walikuja karne ya 7 ambapo uisilamu ulikua ukienezwa kwa njia ya jihadi.

Pia soma:Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel
Hiki unachokiandika kilifanyiwa utafiti na mzungu mmoja hivi ,na akasema kwamba waisrael halisi ni jamii ya watu weusi!

Hasta mfalme wa misri Abdul naasar alipoambiwa alitambue taifa la sasa kuwa ni la waisrael yeye alihoji"MBONA AWALIONDOKA UTUMWANI MISRI WAKIWA NA MUSA WAKIWA WEUSI WAMEKUAJE WEUPE GHAFULA" MZEE ALIKATAA KATA KATA KUITAMBUA ISRAEL YA SASA KUWA NI TAIFA TAKATIFU!

Yule mzungu anaandika kwamba ukiwapima DNA hao waisrael unapata nasaba za waturuki,wajerumani na wazungu wa kawaida was europe!!

Ukweli unaonekana kabisa Mimi mswahili was Tanzania naweza kufanana na yesu kimuonekano kuliko Benjamini Netanyahu was Israel!!
 
Back
Top Bottom