Ila hakunaga Muha tajiri au mwenye maendeleo ya maana,hata mkoa wao ni miongoni mwa miji duuuni ya mwisho kwa umaskiniUkiangalia kwa makini watu wenye asili ya kigoma ni kwamba utagundua kuwa ni so innovative, brilliant, akili kubwa na ndo wana run tanzania hii.
Mfano.
Ali kiba
Diamond platnumz
Haji manara
Gavana w bank kuu (Tutuba)
Makamu wa rais
Mwijaku
Baba levo
Nk
Hebu chunguza tu utagundua wana vipaji vingi sana sema moshi na bukoba wametuzidi elimu
We unalingana na diamond?Ila hakunaga Muha tajiri au mwenye maendeleo ya maana,hata mkoa wao ni miongoni mwa miji duuuni ya mwisho kwa umaskini
Diamond sio Muha bwana mdogo,yule ni mzaramo mwenye ASILI ya kigomaWe unalingana na diamond?
Ulipochanganya na hao mashoga umewaharibia Makamu wa Rais na Gavana wa Benki na Ali Kiba.Ukiangalia kwa makini watu wenye asili ya kigoma ni kwamba utagundua kuwa ni so innovative, brilliant, akili kubwa na ndo wana run tanzania hii.
Mfano.
Ali kiba
Diamond platnumz
Haji manara
Gavana w bank kuu (Tutuba)
Makamu wa rais
Mwijaku
Baba levo
Nk
Hebu chunguza tu utagundua wana vipaji vingi sana sema moshi na bukoba wametuzidi elimu
Hiyo mikalio mikubwa hapo ujiji haijambo?Ukiangalia kwa makini watu wenye asili ya kigoma ni kwamba utagundua kuwa ni so innovative, brilliant, akili kubwa na ndo wana run tanzania hii.
Mfano.
Ali kiba
Diamond platnumz
Haji manara
Gavana w bank kuu (Tutuba)
Makamu wa rais
Mwijaku
Baba levo
Nk
Hebu chunguza tu utagundua wana vipaji vingi sana sema moshi na bukoba wametuzidi elimu
Yule amezaliwa hapa kigoma hata kwao napajua. Ni ujijiDiamond sio Muha bwana mdogo,yule ni mzaramo mwenye ASILI ya kigoma
Halafu Ali Kiba ni mhehe wa Iringa. Kigoma ni asili ya mama yake tu
Diamond sio Muha bwana mdogo,yule ni mzaramo mwenye ASILI ya kigoma
Mmoja kasema Diamond ni mzaramo, mwingine kasema ni muhehe!Halafu Ali Kiba ni mhehe wa Iringa. Kigoma ni asili ya mama yake tu
Namuongelea Ali Kiba kuwa ni mhehe kima wewe siyo DiamondMmoja kasema Diamond ni mzaramo, mwingine kasema ni muhehe!
Ngoja tusubirie tuone mwingine huenda akasema Diamond ni mchaga wa Kishimundu
IllusionsSema wale jamaa ni wachawi aisee. Mtu wa Kigoma ukimfanyia ubaya katika harakati zake za kutafuta noti hakuachi aisee. Nimeshuhudia jamaa anarudi kwao Mwanza hoi washatafuta ugonjwa washakosa, kumbe alimchongea mtu wa Kigoma akafukuzwa kazi. Alimwambia mimi naondoka lkn unauefuata na wew. Alienda Kigoma wiki moja baadae kilichofuata ni Historia. Huo uchawi ungekua unawasaidi kutafuta hela wangekua mbali sana.
Alaf wabishi sana wale jamaa
Mbona mimi sio mchawi?Sema wale jamaa ni wachawi aisee. Mtu wa Kigoma ukimfanyia ubaya katika harakati zake za kutafuta noti hakuachi aisee. Nimeshuhudia jamaa anarudi kwao Mwanza hoi washatafuta ugonjwa washakosa, kumbe alimchongea mtu wa Kigoma akafukuzwa kazi. Alimwambia mimi naondoka lkn unauefuata na wew. Alienda Kigoma wiki moja baadae kilichofuata ni Historia. Huo uchawi ungekua unawasaidi kutafuta hela wangekua mbali sana.
Alaf wabishi sana wale jamaa
Muha in one and two....Waha mna mikogo sanaUkiangalia kwa makini watu wenye asili ya kigoma ni kwamba utagundua kuwa ni so innovative, brilliant, akili kubwa na ndo wana run tanzania hii.
Mfano.
Ali kiba
Diamond platnumz
Haji manara
Gavana w bank kuu (Tutuba)
Makamu wa rais
Mwijaku
Baba levo
Nk
Hebu chunguza tu utagundua wana vipaji vingi sana sema moshi na bukoba wametuzidi elimu
NB. Wachaga ni matajiri kwa sababu ya wizi tu. Popote alipo mchaga anafikirii kuiba tu. Ndo mana wamevamia makanisa kama wachungaji, mapadre kumbe ni utapeli tu