Kwanini watu wenye asili ya kigoma wana akili sana/nyingi?

Kwanini watu wenye asili ya kigoma wana akili sana/nyingi?

Linganisha na hii

Prof ndalichako (tanzania one both form five and six) mbeya hakujawahi kutoka tanzania one

Kafulila ambaye kwa sasa no director wa ppp

Zitto kabwe

Nk
Kwani nyie akili mnazozungumzia hapa ni zipi labda wengine hatujaelewa?
 
Na diamond asili yake ni morogoro alikotokea babaake mzazi sio wa kigoma
Usiingie mtego wa mama ya Diamond. Baba wa Diamond ni Mzee Abdul wa Tandale ambaye asili yake ni Kigoma. Huyo anayeitwa Nyange wa Morogoro ni kumpoteza tu yule mzee asipate huduma. Lakini sura ya Diamond na Mzee Adbul huhitaji hata DNA test
 
Back
Top Bottom