Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Sasa Kiba si waliohojiwa kabisa na dada yake.... Mama Yao ndio anatokea Kigoma ..baba Yao ni WA Iringa Mhehe...Kwa maneno Yao wenyewe Sasa sijui unawakatalia kabila lao.Mmoja kasema Diamond ni mzaramo, mwingine kasema ni muhehe!
Ngoja tusubirie tuone mwingine huenda akasema Diamond ni mchaga wa Kishimundu
Nyie mmezidi. Yani chale chale mwili mzima.Mbona mimi sio mchawi?
Kila mkoa una uchawi kwa baadhi ya watu! Usitujumlishe wote๐คธ
Uchawa na uchawi ndio unaita akili?Ukiangalia kwa makini watu wenye asili ya kigoma ni kwamba utagundua kuwa ni so innovative, brilliant, akili kubwa na ndo wana run tanzania hii.
Mfano.
Ali kiba
Diamond platnumz
Haji manara
Gavana w bank kuu (Tutuba)
Makamu wa rais
Mwijaku
Baba levo
Nk
Hebu chunguza tu utagundua wana vipaji vingi sana sema moshi na bukoba wametuzidi elimu
NB. Wachaga ni matajiri kwa sababu ya wizi tu. Popote alipo mchaga anafikirii kuiba tu. Ndo mana wamevamia makanisa kama wachungaji, mapadre kumbe ni utapeli tu
Kigoma hamna ndizi kuna ugali wa loye na mawesePote penye ndizi na samaki MA ndizi wana akili
linganisha listi yako,na hii hapa kidogo tu,alafu useme nani ana run nchiUkiangalia kwa makini watu wenye asili ya kigoma ni kwamba utagundua kuwa ni so innovative, brilliant, akili kubwa na ndo wana run tanzania hii.
Mfano.
Ali kiba
Diamond platnumz
Haji manara
Gavana w bank kuu (Tutuba)
Makamu wa rais
Mwijaku
Baba levo
Nk
Hebu chunguza tu utagundua wana vipaji vingi sana sema moshi na bukoba wametuzidi elimu
NB. Wachaga ni matajiri kwa sababu ya wizi tu. Popote alipo mchaga anafikirii kuiba tu. Ndo mana wamevamia makanisa kama wachungaji, mapadre kumbe ni utapeli tu
Na diamond asili yake ni morogoro alikotokea babaake mzazi sio wa kigomaUlipochanganya na hao mashoga umewaharibia Makamu wa Rais na Gavana wa Benki na Ali Kiba.
Halafu Ali Kiba ni mhehe wa Iringa. Kigoma ni asili ya mama yake tu
Sbabu ni kwamba wanakula samaki aina ya mgebuka ambao wana madini yanayojenga ubongo.Mfano.
Ali kiba
Diamond platnumz
Haji manara
Gavana w bank kuu (Tutuba)
Makamu wa rais
Mwijaku
Baba levo
Nk
Aisee mduuu una uhagiga gad kwa hido gambo uloadika?
Ulipochanganya na hao mashoga umewaharibia Makamu wa Rais na Gavana wa Benki na Ali Kiba.
Halafu Ali Kiba ni mhehe wa Iringa. Kigoma ni asili ya mama yake tu
Linganisha na hiilinganisha listi yako,na hii hapa kidogo tu,alafu useme nani ana run nchi
1.prof mwandosya
2.prof mwakyusa
3.dk mwakyembe
4.dk tulia
5.mboma
6.mwamunyange
,,,waimbaji,,,
1.bahati bukuku
2.bon mwaitege
3.martha mwaipaja
4.mwasongwe
5.dk ipyana
6.boaz danken
7.mhangila
,,,wachungaji..
1.mwakasege
2.mzee wa upako
3.mwamposa
4.mwenisongole
5.mwaisabila
6.Malasusa
7.dk mwakipesile
8.prof mtokambali
๐๐๐๐mkuu hii list yako imenichekesha aisee hadi kina mwamposa na mzee na upako??linganisha listi yako,na hii hapa kidogo tu,alafu useme nani ana run nchi
1.prof mwandosya
2.prof mwakyusa
3.dk mwakyembe
4.dk tulia
5.mboma
6.mwamunyange
,,,waimbaji,,,
1.bahati bukuku
2.bon mwaitege
3.martha mwaipaja
4.mwasongwe
5.dk ipyana
6.boaz danken
7.mhangila
,,,wachungaji..
1.mwakasege
2.mzee wa upako
3.mwamposa
4.mwenisongole
5.mwaisabila
6.Malasusa
7.dk mwakipesile
8.prof mtokambali