Kwanini watu wenye ‘ Sifa ‘ hizi Kuu zifuatazo Vijiweni huhisiwa ni Usalama wa Taifa hasa Kibongobongo?

Kwanini watu wenye ‘ Sifa ‘ hizi Kuu zifuatazo Vijiweni huhisiwa ni Usalama wa Taifa hasa Kibongobongo?

kwasababu akili za waTanzania wanadhani usalama wa Taifa ni watu wanaopatikana vijiweni tu[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu hizo ndio sifa za watu wa usalama wa taifa.
Tanzania hata wakiona chizi anaokota makopo wanasema ni usalama.
Kila Mtanzania ni mwana usalama ukiona jambo baya au kiashiria hatari toa taarifa kwenye vyombo husika. Ipende nchi yako Tanzania nayo itazidi kukupwnda..
Pia kuna watu wanalazimisha wafanane na usalama wakidhani ukiwa usalama wewe ndo boooonge la mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
 
Wachokoza Mada hasa za Kiserikali na Matukio Nyeti hasa yaliyobeba Hisia za Watu.
Watu ambao huwa hawakosekani Vijiweni 24/7 ila huwa wakimya tu na hawachangii lolote.
Watu ambao hupenda mno Kuchambua mambo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi Kiufasaha.
Watu ambao wakiondoka hapo Vijiweni huwa hawaagi na utashtukia tu hawapo Kitambo.
Watu ambao hupenda kuja Vijiweni mara kwa mara ila huwa hawapendi Kujulikana waishipo.
Watu ambao wakiwa Vijiweni hata ukiomba mbadilishane Namba watakataa au kukukwepa.
Watu ambao mkiwa mmekaa Kijiweni mnashtukia tu wamekuja na huwa hawaanzi Kusalimia.

Nawasilisha.
Hizo sifa zoote ni tabia yangu kabisa.
Ongeza nyingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya hoja za kichovu Sana ....
Wachokoza Mada hasa za Kiserikali na Matukio Nyeti hasa yaliyobeba Hisia za Watu.
Watu ambao huwa hawakosekani Vijiweni 24/7 ila huwa wakimya tu na hawachangii lolote.
Watu ambao hupenda mno Kuchambua mambo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi Kiufasaha.
Watu ambao wakiondoka hapo Vijiweni huwa hawaagi na utashtukia tu hawapo Kitambo.
Watu ambao hupenda kuja Vijiweni mara kwa mara ila huwa hawapendi Kujulikana waishipo.
Watu ambao wakiwa Vijiweni hata ukiomba mbadilishane Namba watakataa au kukukwepa.
Watu ambao mkiwa mmekaa Kijiweni mnashtukia tu wamekuja na huwa hawaanzi Kusalimia.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakubali kwamba una ' Upopoma ' mwingi au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuwa jiwe ningemtumbua mkuu wa kitengo haiwezekani CIA aka mabeberu wamdukue mkuu wa jiji halafu wamuanike bila hata kugundulika. Ina maana wakwetu wamezidiwa akili na mabeberu? Wanashindwaje kuwakamata wadukuzi wa viongozi wetu mpaka waanikwe huko nje na kuleta aibu kwa taifa na kimataifa.
Usalana wetu inabidi wabadili mbinu wazuie kudukuliwa viongozi wetu.
 
Kama upo salama huwezi hofu juu ya usalama wa taifa maana wanakulinda dhidi ya wapuuzi..mbinu zao huenda zikatumika kama hizo..ila sio kila kitambaacho ni nyoka.
 
Back
Top Bottom