Kwanini watumiaji wa simu za itel, Tecno na Infinix wanadharaulika sana Dar?

Kwanini watumiaji wa simu za itel, Tecno na Infinix wanadharaulika sana Dar?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daah i phone anamwona sumsung sio kitu sumsung anavimba na pixel pixel anakomaa na Huawei Huawei na anakomaa na Tecno Tecno anakomaa na Vivo Vivo anakomaa na itel ni vita...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazii ipoo kwa kweli.
 
Bora ununue tu simu nyingine kuliko kupitia dharau kama hizi
Screenshot_20230118-221545.jpg
 
Back
Top Bottom