Kwanini watumiaji wa simu za itel, Tecno na Infinix wanadharaulika sana Dar?

Kwanini watumiaji wa simu za itel, Tecno na Infinix wanadharaulika sana Dar?

Ukitumia samsung hutakuja kutumia tena hizo aina zingine tatu za simu, yaani utaona takataka kabisa.
 
Simu ni yangu halafu mtu aidharau!! Sio shida zangu kabisa.

Niko hapa na katekno tangu saaafi kabisa.
Ukiishi maisha ya kuwasikiliza watu na kuruhusu wakupangie nini cha kuwa nacho, watakwambia mkeo mbaya mwache, shule wanayosoma watoto wako mbaya, nyumba yako ina rangi isiyo na mvuto, imani yako haifai etc
 
Niliwahi kusoma sehemu kwamba mtu mweusi ni royal sana kwa bland,
Inasemekana wajapan huwaona Waafrika kama hamnazo,na viongozi wao waliishawahi kutamka hadharani,lakini mtu mweusi hata atukanwe vipi hawezi kuacha kununua Toyota!
Mwafrika huona ufahari akimiliki Vitu vya bei kubwa,Benz,BMW,Lexus,Samsung,vogue,hufikiri kuwa na vitu vya bei mbaya ni kuonyesha ubora wake,Elimu yake,status,!
Hivi umeishawahi kujiuliza kwanini,kule USA,wanaocheza basketball wengi ni black Americans,lakini hakuna timu inayomilikiwa na mtu mweusi,hata makocha wengi ni wazungu,!!sio kwamba Waafrika hawana pesa,wao pesa zao ni kununua na kumiriki vitu vya gharama kubwa,hiyo kwao ndio la muhimu,kujionesha kuwa Bora kuriko wengine,
Sasa unadharau tekno,Kisa Samsung,apple,nk,hizo simu zote hakuna inayotengenezwa Afrika,
Hata ikitokea Nchi moja ya Afrika ikatengeneza gari(Nigeria)au simu,nchi nyingi za Afrika zitaona bora kwenda japan kununua matoyota,kuliko kununua model ya kiafrika!!
Mtu mweusi ni ngozi ya Tako kabisa!!!
Sasa imagine kenge mmoja anajiona Bora kwa vile anamiriki apple,Samsung!!
Jione Bora kwamba,nimemaliza chuo,nikapiga mishe zangu sasa namiriki kampuni,nimeajili vijana 10+Nina bilions kadhaa benk!!sio kujivunia ka simu,fuckers
Hata hao wazungu unaowaongelea hawapendi kutumia vitu vya poor quality. Ndio maana hata Ulaya watu wanatumia simu bora kama iPhone, Samsung, Xiaomi, Oppo, Vivo, Huawei, Realme na sio Tecno, Infinix na itel
So Mwafrika kudharau TECNO ni halali yake, yaani tukubali kutumia simu mbaya eti kisa Afrika hatutengenezi simu. Huu ushuzi gani umeandika[emoji38][emoji38]
Ilimradi hela yangu imenitoka, siwezi kukubali kununua poor quality products
 
😁😁😁😁😁daah i phone anamwona sumsung sio kitu sumsung anavimba na pixel pixel anakomaa na Huawei Huawei na anakomaa na Tecno Tecno anakomaa na Vivo Vivo anakomaa na itel ni vita...
 
Ukianza kuona mtu anafuatilia mwenzake anatumia simu gani basi jua huyo ni mpumba.vu na kama ni mwanaume basi anaweza kuwa shoga!
Kila mtu ana mahitaji yake na uwezo wake! Ndio maana ukiangalia barabarani kuna wanaoendesha IST na kuna wanaoendesha Range Rover , VX V8, cha msingi kila mtu ana destination yake!
 
Tecno yangu mwaka wa 5 unakamilika sasa ,,, napata huduma zote za msingi kwenye simu!
Sina stress nyie endeleeni na Samsung zenu mpate kila mioyo yenu inataka
Unakaaje na simu miaka 5?
 
Sawa tuu Kama hata mtu akiwa na iPhone 13 huku Hana marinda Ni msiba,acha tubaki na vitochi vyetu,tunasomesha watoto watatu Ada 1500000*3,unapatsje muda wa kuwaza Mambo ya simu
Kwamba kila mwenye iphone kafirwa?
 
Ukichunguza wengi wanaodharau wenzao kwa aina ya simu ni mashoga chunguza hata kwenye huu uzi utajifunza mashoga washajitokeza
Ushaolewa? Maana kuna uzi umesema hijaolewa bado
 
Back
Top Bottom