Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ConfidenceSimu ni yangu halafu mtu aidharau!! Sio shida zangu kabisa.
Niko hapa na katekno tangu saaafi kabisa.
Ukiishi maisha ya kuwasikiliza watu na kuruhusu wakupangie nini cha kuwa nacho, watakwambia mkeo mbaya mwache, shule wanayosoma watoto wako mbaya, nyumba yako ina rangi isiyo na mvuto, imani yako haifai etcSimu ni yangu halafu mtu aidharau!! Sio shida zangu kabisa.
Niko hapa na katekno tangu saaafi kabisa.
Sio lazima sheikhNdio unatakiwa kusema umetoa wapi maana wewe sio fundi, hilo ni bandiko la watu, jamaa katumia akili kujitangaza halafu kindezi tu unataka mseleleko dogo.
Hata hao wazungu unaowaongelea hawapendi kutumia vitu vya poor quality. Ndio maana hata Ulaya watu wanatumia simu bora kama iPhone, Samsung, Xiaomi, Oppo, Vivo, Huawei, Realme na sio Tecno, Infinix na itelNiliwahi kusoma sehemu kwamba mtu mweusi ni royal sana kwa bland,
Inasemekana wajapan huwaona Waafrika kama hamnazo,na viongozi wao waliishawahi kutamka hadharani,lakini mtu mweusi hata atukanwe vipi hawezi kuacha kununua Toyota!
Mwafrika huona ufahari akimiliki Vitu vya bei kubwa,Benz,BMW,Lexus,Samsung,vogue,hufikiri kuwa na vitu vya bei mbaya ni kuonyesha ubora wake,Elimu yake,status,!
Hivi umeishawahi kujiuliza kwanini,kule USA,wanaocheza basketball wengi ni black Americans,lakini hakuna timu inayomilikiwa na mtu mweusi,hata makocha wengi ni wazungu,!!sio kwamba Waafrika hawana pesa,wao pesa zao ni kununua na kumiriki vitu vya gharama kubwa,hiyo kwao ndio la muhimu,kujionesha kuwa Bora kuriko wengine,
Sasa unadharau tekno,Kisa Samsung,apple,nk,hizo simu zote hakuna inayotengenezwa Afrika,
Hata ikitokea Nchi moja ya Afrika ikatengeneza gari(Nigeria)au simu,nchi nyingi za Afrika zitaona bora kwenda japan kununua matoyota,kuliko kununua model ya kiafrika!!
Mtu mweusi ni ngozi ya Tako kabisa!!!
Sasa imagine kenge mmoja anajiona Bora kwa vile anamiriki apple,Samsung!!
Jione Bora kwamba,nimemaliza chuo,nikapiga mishe zangu sasa namiriki kampuni,nimeajili vijana 10+Nina bilions kadhaa benk!!sio kujivunia ka simu,fuckers
Tunaongelea simu sio bundukiHata bunduki za kichina, zinaua vizuri tu
Infinix, Tecno na Itel ni upuuzi fulani hivi amaizing[emoji2960][emoji2960][emoji2960]Infinix, Tecno na itel sio simu ni vikundi vya wahuni tu.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Ni lazima kwa muungwanaSio lazima sheikh
Hizo tecno na infinix zimeshindwa kazi gani ?Sema saizi watu wanazipa simu kazi zingine kabisa
Unateseka ukiwa pande zipi?Ni lazima kwa muungwana
Hakuna anaeteseka kikubwa nimekupa somo.Unateseka ukiwa pande zipi?
Sijaona somo lolote bro, labda unirudishe chekecheaHakuna anaeteseka kikubwa nimekupa somo.
Na umelielewa vyema kabisa, safi sana.
Unakaaje na simu miaka 5?Tecno yangu mwaka wa 5 unakamilika sasa ,,, napata huduma zote za msingi kwenye simu!
Sina stress nyie endeleeni na Samsung zenu mpate kila mioyo yenu inataka
Kwamba kila mwenye iphone kafirwa?Sawa tuu Kama hata mtu akiwa na iPhone 13 huku Hana marinda Ni msiba,acha tubaki na vitochi vyetu,tunasomesha watoto watatu Ada 1500000*3,unapatsje muda wa kuwaza Mambo ya simu
Tatizo la Tecno helicopter ikipita juu network inakata na chaji inaisha...Aibu yake ni nini mzee? Kwani zinauzwaje?
Ushaolewa? Maana kuna uzi umesema hijaolewa badoUkichunguza wengi wanaodharau wenzao kwa aina ya simu ni mashoga chunguza hata kwenye huu uzi utajifunza mashoga washajitokeza
😂😂😂😂 Upo huku kujua nani kaolewa na nani hajaolewa au sio 😂😂😂😂 mimi siwezi olewaUshaolewa? Maana kuna uzi umesema hijaolewa bado