Kwanini watumiaji wa simu za itel, Tecno na Infinix wanadharaulika sana Dar?

Kwanini watumiaji wa simu za itel, Tecno na Infinix wanadharaulika sana Dar?

Nakuongezea tu kitu kichwani mwako
Si kila kitu cha mchina ni cha ovyo. Mfano kwenye simu China ina simu za ovyo kama TECNO, Infinix, itel, Doogee na kadhalika ila pia ana simu kali zenye international standards kama Xiaomi, One plus, Asus, Oppo, Motorola, Meizu na Vivo.
Huyo hawajui huawei, mpaka USA aliwapa ban maana wangewaondoa sokoni washindani
 
Nakuongezea tu kitu kichwani mwako
Si kila kitu cha mchina ni cha ovyo. Mfano kwenye simu China ina simu za ovyo kama TECNO, Infinix, itel, Doogee na kadhalika ila pia ana simu kali zenye international standards kama Xiaomi, One plus, Asus, Oppo, Motorola, Meizu na Vivo.
Nilidhani Motorola ni USA 🇺🇸
 
View attachment 2477728

Kwa kweli mimi si mjuzi sana wa mambo ya simu, maana baada ya kuhama kutoka kwenye Siemens C25 nikahamia kwenye Research in Motion, na baada ya pale nikaenda Seoul, sikuwahi kurudi tena.

Sasa hapa mjini naona tu wazee wa rika langu wananifuata nyumbani eti niwaagizie simu mtandaoni maana wanachekwa kwa wajukuu zao sababu tu ya aina ya majina ya simu wanazotumia.

Mimi sijui tofauti kati ya iPhone, Samsung, Tecno, LG, Sony, HTC, Infinix, Google Pixel , itel nk naona zote ni smart.


Nikiwa na itel au tecno au infinix vicheko vyenu nitavidharau na kuvipuuza
Hawadharauliki. Wanaokwambia hivyo wana matatizo yao binafsi.
 
me kiukweli hata mimi mwanzo nilipokuwa natumia Tecno nilikuwa naboeka sana nikiona mtu anaiponda hiyo kampuni, though ni simu nzuri kwenye Charge na pia accessories zake ni rahisi kupatikana na ni bei nafuu sana nilizipendea hapo ila nilipokuja kuanza kutumia samsung nimefall in love mazima sahivi ukinipa tecno nafeel kama nipo na power bank vile ila sifeel kutumia simu nyingine zaidi ya Samsung maybe na Iphone zina kila kitu kizuri sijawahi kuzijutia labda charge tu. Iphone pia ni simu nzuri ila ni gereza kwangu mimi sipendi kuwekewa limit kwenye matumiz
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆kichwa chako.muone😄😄😄😄
Kichwa changu kipi hicho cha juu/chini? Kimefanyaje 😂😂
 
Nakuongezea tu kitu kichwani mwako
Si kila kitu cha mchina ni cha ovyo. Mfano kwenye simu China ina simu za ovyo kama TECNO, Infinix, itel, Doogee na kadhalika ila pia ana simu kali zenye international standards kama Xiaomi, One plus, Asus, Oppo, Motorola, Meizu na Vivo.
Hata bunduki za kichina, zinaua vizuri tu
 
Nilidhani Motorola ni USA [emoji631]
Motorola ni kampuni ya Texas, USA na headquarters zake zipo huko USA. Lakini baada ya kuona upande wa simu unawashinda wakaamua kumuachia Mchina yaani Lenovo. Kwa sasa simu za Motorola zinatengenezwa China na kampuni ya Lenovo ila bado headquarters zake zipo USA. So Motorola ninazoziongelea ni Chinese phones
Hebu google hapo Motorola Edge 30 Ultra uone unyama
 
Back
Top Bottom