Mungu ni cheo kama Rais.
Mfano mdogo ni yule shehe aliyojaribu kusuluhisha mgogoro wa makonda na gwajima, yule alivyokuwa anaongea ongea tuu hata kama hufungamani na uislam, utamjua tuu ni mcha mungu upinge upangueUnajua ili uwe mcha mungu haiitaji mtu akae katika kamati ya uchunguzi, inabidi ukiwa mbali kabla ya kumfikia mtu aanze kutamka moyoni kwamba " Kama anayekuja ni mcha mungu vile" ili ukifika na kujitambulisha ahitimishe fikra yake. Mimi namuona kama hayupo katika kundi la ucha mungu, sababu sijui maana nimeuuliza moyo wangu umemkataa_( Nukuu ya biblia kuwa tutawatambua kwa matendo yao)_
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuhMungu ni cheo kama Rais.
YESU ni jina la Mungu kama Magufuli lilivyo jina la Rais.
Steve Jobs - Giant Of Technology.
Mkuu jamii inabadilikaAgizo kuu ni kuhubiri injili watu waache dhambi na kumfuata Yesu.
Mtu akijaribu kuenenda sawa na Dunia anakuwa haeleweki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu haangalii mavazi,mwili,umbo au uzuri yy anaangalia moyo afu Mungu aonavyo ni tofauti na ss binadamu tuonavyo kumtumikia Mungu si lazima uvae suruali ya kitambaa na shati la thatini na tai usikariri badilikaMi mwenyewe simuelewi , huyu anaimba bongo fleva ila anajificha kwenye kivuli cha dini. Halaf ni sharo balo tofauti na kina legend Ambwene mwasonge
Kwani waislamu hawamtaji issa bin mariam? Wanachopinga waislamu kuhusu yesu ni kwamba yesu siyo mungu baasi ila kufa, kufufuka, miujiza na kwamba atarudi tena wanalijua na wanalihubiri Ila siyo kumuita mungu Bali nabiiYeye anataka wasikilize hadi waislam,,,mi nazipenda mno akitaja Mungu anatosha
Nimecheka tu....Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]
Babake NisherGeo davie wa arusha bonge la sharo alafu linajichubua na kupaka lipshine
Mbona siku izi wapo wengi sio huyu tuuPraise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.
Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.
Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu
Nyie mnamuelewaje kwani???
New-song shukrani
Umewahi kufatilia chapel za marekani??? Acha hizo basi wapiga vyombo wa Doen Moe?????sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
Sikuwahi kumsikiliza, nadhani hajaingia kwenye circles zangu za muziki. Ila sasa nitatafuta nyimbo zake mbili tatu nisikilize ili nipate kufahamu ni kwa nini mtu ambaye nyimbo zake zote hazihusishi jina wala matendo ya Yesu bado anasadikiwa kuimba "muziki wa injili". Anaimba INJILI ya nani sasa?
Mimi naona ni vzuri kufanya hivyo kwa kuwa anawateka waumini wa dini zote na wasio na dini.kutaja mungu inatosha tu,sio lazima amtaje yesuPraise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.
Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.
Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu
Nyie mnamuelewaje kwani???
New-song shukrani
Injili haibadiliki mkuuTatizo humu wahenga wengi hivyo wanataka na dot com waige tabia zao za kihenga. Lazima jamii itambue kuwa miaka inavyokwenda na mambo mengi hubadilika
Sent using Jamii Forums mobile app