Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Kwanini watumishi wa Mungu hawamuelewi Goodluck Gozbert?

Anaimba vizuri kuhusu mengine hayo akisikia atajirekebisha
Kuoka sidhani nikujenga chuki na wasio okoka hilo kukaa karibu na bongo flava sioni mbaya pia waimbaji wengi wa gospel wako hawana ukaribu na umoja kiivyo na pia wengi watu wazima yaani washaoa na kuolewa yule kijana bado kwahiyo washindwa kuendana pia
Ninapenda akihojiwa hana papara nilimwona jikoni na Marion nilipenda anaonekana mstaarabu
 
Unajua ili uwe mcha mungu haiitaji mtu akae katika kamati ya uchunguzi, inabidi ukiwa mbali kabla ya kumfikia mtu aanze kutamka moyoni kwamba " Kama anayekuja ni mcha mungu vile" ili ukifika na kujitambulisha ahitimishe fikra yake. Mimi namuona kama hayupo katika kundi la ucha mungu, sababu sijui maana nimeuuliza moyo wangu umemkataa_( Nukuu ya biblia kuwa tutawatambua kwa matendo yao)_

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua ili uwe mcha mungu haiitaji mtu akae katika kamati ya uchunguzi, inabidi ukiwa mbali kabla ya kumfikia mtu aanze kutamka moyoni kwamba " Kama anayekuja ni mcha mungu vile" ili ukifika na kujitambulisha ahitimishe fikra yake. Mimi namuona kama hayupo katika kundi la ucha mungu, sababu sijui maana nimeuuliza moyo wangu umemkataa_( Nukuu ya biblia kuwa tutawatambua kwa matendo yao)_

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mdogo ni yule shehe aliyojaribu kusuluhisha mgogoro wa makonda na gwajima, yule alivyokuwa anaongea ongea tuu hata kama hufungamani na uislam, utamjua tuu ni mcha mungu upinge upangue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Agizo kuu ni kuhubiri injili watu waache dhambi na kumfuata Yesu.

Mtu akijaribu kuenenda sawa na Dunia anakuwa haeleweki

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jamii inabadilika
Lazima nawe ubadilike kama sehemu ya jamii. Ilimradi mabadiliko hayakinzani na amri za Mungu hapo mtu hajapotoka.
Mavazi ni suala la wakati tu, zamani mabwanga yalikuwa habar ya town tofauti na hivi sasa.
 
Mi mwenyewe simuelewi , huyu anaimba bongo fleva ila anajificha kwenye kivuli cha dini. Halaf ni sharo balo tofauti na kina legend Ambwene mwasonge
Mungu haangalii mavazi,mwili,umbo au uzuri yy anaangalia moyo afu Mungu aonavyo ni tofauti na ss binadamu tuonavyo kumtumikia Mungu si lazima uvae suruali ya kitambaa na shati la thatini na tai usikariri badilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye anataka wasikilize hadi waislam,,,mi nazipenda mno akitaja Mungu anatosha
Kwani waislamu hawamtaji issa bin mariam? Wanachopinga waislamu kuhusu yesu ni kwamba yesu siyo mungu baasi ila kufa, kufufuka, miujiza na kwamba atarudi tena wanalijua na wanalihubiri Ila siyo kumuita mungu Bali nabii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnataka atinge ile misuti ya orange kama agent wa hallotel na shati la kung'aa ndio mtaamini kua anaimba nyimbo za Injili...?Hapo waimba Injili watabaki wanyakyusa tu maana wanajua kutupia crazy colour mpaka barabarani nawachanganya na askari wa usalama barabarani na yale ma-reflector [emoji23]
Nimecheka tu....
I reserve my comments coz namjua vizuri yeye na familia yake kwa ujumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Praise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.

Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.

Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu

Nyie mnamuelewaje kwani???

New-song shukrani
Mbona siku izi wapo wengi sio huyu tuu
Kuna mmoja mwingine anavaaga kama anaimba bolingo ya kongo na makoti nusu[emoji53] [emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani huyu mhuni nasikiliza nyimbo zake tu siangalii video zake,anakera.

Mavazi hayana shida-ni mazuri ya kisasa.

Tatizo ni namna gani anafanya,mwanaume huwezi kujishaua bwana tena muimbaji wa dini ndio kabisaa.yaani huyu anayoyafanya hata diamond wa kiuno hayafanyi.

Vaa vizuri,imba ukiwa serious na unamaanisha acha kulambalamba mamidomo na kurembua kama mtoto wa kike,pumbaaaaaaaav.
 
Tatizo humu wahenga wengi hivyo wanataka na dot com waige tabia zao za kihenga. Lazima jamii itambue kuwa miaka inavyokwenda na mambo mengi hubadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijui kama watumishi wa Mungu wanamuhukumu au la, ila mimi nikiwa kama mkristo kwa kweli huyu kaka hata simuelewi na nyimbo zake huwa sijui nizeweke kwenye kundi gani, kiasi kwamba nilishaamua kuachana nazo, mimi huwa sipendi kusikiliza album nzima ya mtu kwahiyo mara nyingi huwa nachagua nyimbo za watu tofauti tofauti nnazozipenda natengeneza mix naweka sehemu moja ndo nasikiliza, kama ni gospel basi nategeneze mix ya waimba injili tofauti tofauti ndo nasikiliza, ila nyimbo za huyu kijana nimeshindwa kabisa niziweke wapi, mana kwenye gospel hazikai na kwenye bongo fleva hazikai. Kuna neno linasema Wanyama wanaofanana huenda pamoja na Ndege wanaofanana huruka pamoja, Ila wenzako wamekukataa kwasababu ya tofauti yako, ndo yanayomtokea gosbert, achague kama anataka kuwa moto au baridi, mkristo bila kumtajia jina la Yesu hajakuelewa bado, mana Kutaja jina la Mungu hata bongo fleva au taarabu wana litaja sana tu kwenye nyimbo zao.
Umewahi kufatilia chapel za marekani??? Acha hizo basi wapiga vyombo wa Doen Moe?????
Sikuwahi kumsikiliza, nadhani hajaingia kwenye circles zangu za muziki. Ila sasa nitatafuta nyimbo zake mbili tatu nisikilize ili nipate kufahamu ni kwa nini mtu ambaye nyimbo zake zote hazihusishi jina wala matendo ya Yesu bado anasadikiwa kuimba "muziki wa injili". Anaimba INJILI ya nani sasa?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Praise the lord..
Hivi kwanini watu wamejaribu kumuandama Goodluck Gozbert mara nyingi watumishi wa Mungu wamekuwa wakimuona wa dunia na sababu zao kubwa ni uvaaji wake.

Uimbaji wake hapa wanapenda kuzungumzia suala la kutungia baadhi ya wasanii nyimbo kama baraka prince.

Suala lingine ya kuwa uimbaji wake hajawahi taja jina la Yesu

Nyie mnamuelewaje kwani???

New-song shukrani
Mimi naona ni vzuri kufanya hivyo kwa kuwa anawateka waumini wa dini zote na wasio na dini.kutaja mungu inatosha tu,sio lazima amtaje yesu
 
Kwa mambo ya Mungu hakuna kuigiza ni injili kwenda mbele ,wawezaje kuhubiri injili pasipo kumtaja Yesu hata wanamziki wa dunia wanamtaja Mungu, lakini muimbaji gani anaimba nyimbo za Mungu anabinua midomo na kuweka vidole juu kama anaimba taarabu, mtawatambua kwa matendo yao ukiokoka unapaswa kuwa kielelezo na wewe unakuwa barua watu wote wanakusoma kwa matendo yako kama yanaendana na Yesu Kristo alivyoagiza. Wengi watakao mtetea ni wale wanaomfurahia kwa namna ya kidunia. Kama uliwahi msikia akijieleza kwamba yeye lengo lake ulikuwa aimbe bongo fleva wazazi wakamkataza sababu wao ni walokole. Hivyo anachoimba kachanganya kuwafurahisha ndugu kwa sehemu na kuwinda soko la mziki wa dunia. Acha watumishi wamwambie ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom