Sonia G
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 3,071
- 3,909
Anaimba vizuri kuhusu mengine hayo akisikia atajirekebisha
Kuoka sidhani nikujenga chuki na wasio okoka hilo kukaa karibu na bongo flava sioni mbaya pia waimbaji wengi wa gospel wako hawana ukaribu na umoja kiivyo na pia wengi watu wazima yaani washaoa na kuolewa yule kijana bado kwahiyo washindwa kuendana pia
Ninapenda akihojiwa hana papara nilimwona jikoni na Marion nilipenda anaonekana mstaarabu
Kuoka sidhani nikujenga chuki na wasio okoka hilo kukaa karibu na bongo flava sioni mbaya pia waimbaji wengi wa gospel wako hawana ukaribu na umoja kiivyo na pia wengi watu wazima yaani washaoa na kuolewa yule kijana bado kwahiyo washindwa kuendana pia
Ninapenda akihojiwa hana papara nilimwona jikoni na Marion nilipenda anaonekana mstaarabu