Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Uliweka heshima, hongera. Kwanza hakuwa na adabu na alikuwa na kiburi. Hiyo ndiyo dawa, wala sikulaumu kwa kumzaba kofi. Ila ungem-shoot ungekuwa umeenda mbali mno.
 
Kila nafasi ya utumishi wa umma Kuna watu wachache wasio waadilifu ,wasio adabu na heshima ,wasio wazalendo ,wasio waelewa na huruma kwa wananchi wenzao....

#SiempreJMT
#NchiKwanza
#UadilifuNiLazima
 
Kuna mmoja ilikuwa manusura nimpige risasi ya kichwa ni huruma tu iliniingia, ni washenzi sana hawa vijana wa diwani. Huwa najiuliza hii mishahara wanayoipata haiwatoshi ama ni tamaa zao wenyewe?
Katika msafara wa mamba .......,.......................
 
Umpige mtu risasi kwa ajili ya kumtongoza mkeo!!!? Utapiga wangapi sasa? Hapo utakua umeua au umejeruhi kutokana na wivu wa kimapenzi na utakwenda jela

Kwanza kitendo cha mwanaume kupata ujasiri wa kuja hadi mezani kwenu kumtongoza wife wako baada ya kua alishamkonyeza ni kwamba amealikwa au kapewa ishara nzuri. Tafakari
 
Kijana shida yako ni wivu tu ndio unakusumbua kwa kuwa hukupata nafasi huko, nachojua ni kosa kisheria kwa hao watu kutenda makosa hayo labda ulikutana nao akina sabaya feki,
 
Kuna mmoja ilikuwa manusura nimpige risasi ya kichwa ni huruma tu iliniingia, ni washenzi sana hawa vijana wa diwani. Huwa najiuliza hii mishahara wanayoipata haiwatoshi ama ni tamaa zao wenyewe?
Unaweza kutana na uvccm ukadhani ni vijana wa diwani.

Hayo makaunda suti hata wewe ukipenda nunuwa kitambaa shona au nunuwa spesheli kabisa.
 
Hahahahaha

Huyo ndiyo matola bwana

Hukopeshagi

Ova
 
Ni miaka zaidi ya 4 imepita,nimeshamsamehe
Halafu huyo mbwa atakuwemo humu lakini sijui id yake,niliwahi kuona app ya JF kwenye simu yake
Njoo PM tafadhali kuna vitu nataka nikuulize kwa msaada zaidi, na pole sana kwa kudhulumiwa na huyo ofisa asiye jua maadili yake ya kazi. Kuna kitu nilitaka nikushauri
 
Watoto wa Diwani ni wenye heshima,nidhamu na utii wa Hali ya juu zaidi
Sio sawa kbsa kuja kuwachafua huku .......nimesuzunika sana sio sawa kbsa

Tunajuaje mke wako kabla ujamuoa alikuwa mtu wake?
 
TATIZO LAKO MOJA TU.

Unafatilia maisha ya watu.. TUNAJUA WEWE NI MMOJA WAO, LAKINI TAFADHALI ACHA KUWAANDIKA ANDIKA HUMU.

Mara DSO, Mara yule ni RSO Kwanini au ndo JASIRI HAACHI ASILI YAKE Bw.80mg OD.
 
Nikikupa jina halitokusaidia kitu ila jua watumishi wengi wa ile idara nyeti wametawaliwa na tamaa na udhulumaji kwa wananchi wa kawaida, hivyo ni matapeli 100%
Tupe jina. Ova
 
TATIZO LAKO MOJA TU.

Unafatilia maisha ya watu.. TUNAJUA WEWE NI MMOJA WAO, LAKINI TAFADHALI ACHA KUWAANDIKA ANDIKA HUMU.

Mara DSO, Mara yule ni RSO Kwanini au ndo JASIRI HAACHI ASILI YAKE Bw.80mg OD.
Kwa ufupi tu siwezi fanya kazi ya kinafiki na majungu kama hiyo wanayofanya wao, nimeleta huu uzi kwa lengo moja tu vijana waache tabia za kishamba maana enzi za Mzena hukuwahi kusikia watumishi wa idara hii wakijonesha hadharani vitambulisho vyao ama hata kuwa na tabia za kitapeli nidhamu ni kila kitu katika taasisi hiyo ila vijana wengi wamepofuka wamesahau miiko ya kazi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…