Tena hawa ambao wako chini ya diwani hawana weledi kabisa sidhani hata huwa wamefuzu mafunzo kabla ya kula viapo, ni vijana washenzi, wahuni, walevi, waropokaji, wagomvi, malaya na matapeli kuzidi hata polisi.Watoto wa Diwani ni wenye heshima,nidhamu na utii wa Hali ya juu zaidi
Sio sawa kbsa kuja kuwachafua huku .......nimesuzunika sana sio sawa kbsa
Tunajuaje mke wako kabla ujamuoa alikuwa mtu wake?
Hivi Bw. nyboma utaifufua lini bendi yako ya Les Kamale? Aisee mlikuwa mnapiga muziki tishio sana.Unaweza funguka alikutapeli nini na namna ulivyo shughulika nae.
Huna uwelewa wowote kwa haya unayoyaandika zaidi ya moyo wako kujaa chuki baada ya Afisa mmoja kukugongea kidemu chako hizi zingine ni porojo tu, huna ulijuwalo kwa sababu hata wao hawajuwani kama hampo dawati moja au kitengo kimoja.Tena hawa ambao wako chini ya diwani hawana weledi kabisa sidhani hata huwa wamefuzu mafunzo kabla ya kula viapo, ni vijana washenzi, wahuni, walevi, waropokaji, wagomvi, malaya na matapeli kuzidi hata polisi.
Sawa afisa usalama wa Jf tumekuelewa naona umeenda mbali kabisa umewataja hadi maafisa vipenyo, hongera sana ila narudia tena mbadilikeUna uwelewa wowote kwa haya unayoyaandika zaidi ya moyo wako kujaa chuki baada ya Afisa mmoja kukugongea kidemu chako hizi zingine ni porojo tu, huna ulijuwalo kwa sababu hata wao hawajuwano kama hampo dawati moja au kitengo kimoja.
Taasisi zote za serikali unazozijuwa wewe wapo maafisa usalama na mishahara yao wanapokea kwenye taasisi hizo.
Wapo TRA, BOT ndio usiseme, wapo kwenye mifuko ya serikali wapo everywhere mpaka kina Cardinali Pengo na sheikh mkuu wa Dar ni sehemu ya system.
Usidhani JF ni kijiwe cha wavulana kuja kuropoka ujinga ujinga wako.
Kumbe weye ndo hujui sasa[emoji23]Mshahara wa ofisa unafika milioni kweli?
Ishu siyo mshahara. Ni lifestyle. Seema hujui salary zao hawa. Asikudanganye mtu.Mke wangu si bar maid ila hata nature yao inasidiki hawatulii na familia zao muda wote wananusa nusa kutafuta wake za watu ila alichokipata atanikumbuka hadi atakapo staafu, pia waambie ma boss wenu wawaongezee mishahara muache kukopa hovyo na kutapeli watu mitaani
Nilisahau wanalipwa milioni tatu miss pablo πIshu siyo mshahara. Ni lifestyle. Seema hujui salary zao hawa. Asikudanganye mtu.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hapo pa kutoa bastola kutaka eti apige mtu kisa mke [emoji23] kwa sheria gani. Ama ndo alitaka tu kuchangamsha genge. Ungemtwanga mkuu halaf ya mbeleni ukutane nayo. Kama ni short tempered hivi kama akina siye unaimilikije hiyo kitu? Yaani ishu ya mke? Nilijua kulikua kuna any physical torture umefanyiwa unajilinda eti. Sasa una tofauti gani nao. Hilo bastola rudisha tu mkuu utaua wengi.Umpige mtu risasi kwa ajili ya kumtongoza mkeo!!!? Utapiga wangapi sasa? Hapo utakua umeua au umejeruhi kutokana na wivu wa kimapenzi na utakwenda jela
Kwanza kitendo cha mwanaume kupata ujasiri wa kuja hadi mezani kwenu kumtongoza wife wako baada ya kua alishamkonyeza ni kwamba amealikwa au kapewa ishara nzuri. Tafakari
Soma vizuri hiyo scenario ilikuwa ni kumchapa makofi tu ishu ya bastola ilikuwa ni scenario nyingine na hata usitake kujua ilikuaje ππHapo pa kutoa bastola kutaka eti apige mtu kisa mke [emoji23] kwa sheria gani. Ama ndo alitaka tu kuchangamsha genge. Ungemtwanga mkuu halaf ya mbeleni ukutane nayo. Kama ni short tempered hivi kama akina siye unaimilikije hiyo kitu? Yaani ishu ya mke? Nilijua kulikua kuna any physical torture umefanyiwa unajilinda eti. Sasa una tofauti gani nao. Hilo bastola rudisha tu mkuu utaua wengi.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hii comment inaonesha una kitu cha ziada na hawa mabwana japo umeanzia mbali sana!Zaidi ya unavyofikiria na wanawake wao kote hivyo hivyo wanalika kwa pesa ndogo tu
Nimecheka hapo aliposema hata million moja haifiki[emoji23][emoji23][emoji23] halaf kutongozewa mke huo ndo urijali. Huwa hawa vijana wenyewe kabisa hata siku moja kutamka ni ngumu mno kwamba wako idara fulani. Hata siku moja hutawasikia. Huyu anajifurahisha tu na kuvimba bure. Amekutanana MATAGA huko anajimwambafai. Kwanza vijana wana nidham mnoo mno mno. Kaunda suti yeyore anavaa. Eti mke ndo utoe bastola? Yaan waliokupa wakasikia tu wanachukua kifaa chao jinsi ulivyo limbukeni...Una uwelewa wowote kwa haya unayoyaandika zaidi ya moyo wako kujaa chuki baada ya Afisa mmoja kukugongea kidemu chako hizi zingine ni porojo tu, huna ulijuwalo kwa sababu hata wao hawajuwano kama hampo dawati moja au kitengo kimoja.
Taasisi zote za serikali unazozijuwa wewe wapo maafisa usalama na mishahara yao wanapokea kwenye taasisi hizo.
Wapo TRA, BOT ndio usiseme, wapo kwenye mifuko ya serikali wapo everywhere mpaka kina Cardinali Pengo na sheikh mkuu wa Dar ni sehemu ya system.
Usidhani JF ni kijiwe cha wavulana kuja kuropoka ujinga ujinga wako.
Mkuu, sema na mkeo. Kama hatatongozwa na mtu system basi atatongozwa na mwanaume yoyote, na wala wewe wakati huo hautakuwepoSoma vizuri hiyo scenario ilikuwa ni kumchapa makofi tu ishu ya bastola ilikuwa ni scenario nyingine na hata usitake kujua ilikuaje ππ
Hiyo bado kidogo. Ongeza boss. Punguza ulimbukeni maana unafanana na uliokutana naoNilisahau wanalipwa milioni tatu miss pablo [emoji16]
Sawa sawa boss kubwa ππHiyo bado kidogo. Ongeza boss. Punguza ulimbukeni maana unafanana na uliokutana nao
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Huna lolote. Unajibrag tu. Umesema ulitaka utoe. Na hata ukute huna pia. Halaf mwanaume madeni. Kopa na wewe. Na akimtaka vyema mkeo anampata tu. Ngoja akufungie kazi[emoji23][emoji23] yaan mpk amefika mezan kwako? Aah huyo kidumeee. Jembeee. Kifuatacho amlee sasa. Una uchungu sana. Ukute hata hukufanya lolote. Na ukute ulikomeshwa. Ndo umeamua kuja toa uchungu wkao hapa.Soma vizuri hiyo scenario ilikuwa ni kumchapa makofi tu ishu ya bastola ilikuwa ni scenario nyingine na hata usitake kujua ilikuaje [emoji16][emoji16]
Sio wanawake wote wana tabia za ulimbukeni na tamaa za pesa kama wewe, hivyo usipende kuwasemea wanawake wengine jisemee wewe binafsi kuwa ukihongwa wekundu watatu unaachia orifice π πHuna lolote. Unajibrag tu. Umesema ulitaka utoe. Na hata ukute huna pia. Halaf mwanaume madeni. Kopa na wewe. Na akimtaka vyema mkeo anampata tu. Ngoja akufungie kazi[emoji23][emoji23] yaan mpk amefika mezan kwako? Aah huyo kidumeee. Jembeee. Kifuatacho amlee sasa. Una uchungu sana. Ukute hata hukufanya lolote. Na ukute ulikomeshwa. Ndo umeamua kuja toa uchungu wkao hapa.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kabisa kabisa mkuu. Basi punguza hasira ndugu yangu. Maisha yenyewe haya mafupi sana na kila siku linatokeza janga jingine la kupukutisha watu. Sasa hivi corona inatosha, hebu bastola tuziweke kando kwanzaNature ipo hivyo Sesten Zakazaka asipoliwa na Ex, ataliwa na shamba boy, jirani ama mtumishi mwenzake.