Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Wewe ni jinsia gani?(samahani kwa swali)Jamaa mshamba sana. Nitajamuoa akicheza na mimi. Hiyo bastola nakuambia hanaaa... mwenye nayo hajibrag hivyoo. Na anaprove jinsi gani ni mshamba kama anaimiliki kweli basi ni jinsi gani watoaji wana makosa..
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sawa mke wanguWewe ni mwerevu sina shaka na wewe [emoji28] ndio maana umeolewa na kibopa wa mwewe
Kkoo kwenyewe watu walikua wakifanga mgomo kumbe humohumo ndani yao wafabyabiashara ni kitengo wanaharibu harakati[emoji23] hawa wanaongelea freshers walioanza kazi juzi ati. Na wenyewe wana maisha yao mazuri tu. Mpaka waganga wako kitengo, maaskofu kama hivyo. Ama anaona ni walala hoi kama yeye.Huyu Diwani Athumani ni Tiss kitambo tu, nchi ilivyokabidhiwa kwa washamba akapigwa demotion ya kuwa RAS huko katavi, kumbe yule mzee wa chuki hakujuwa kwamba huyu jamaa ni kazi maalum ndipo akaumwa sikio hapo umechemka huyo ni kitengo, Finally Diwani amerudi nyumbani ndio DG wa TISS sasa.
πππ mwanamme yeyote anayetumia ID ya kike huwa ana shida mahali, sasa nimetambua una shida gani? Hujachelewa bado acha tabia za kike. Na ninaposema uache hizo tabia uziache kwelikweli maana kuna baadhi yenu mna tabia hizo mnachoreshwa tu saba huku mtaani.
Kwani jinsia yangu ina shida gani boss na wewe. Unaangalia logic ya kilichoandikwa ama member?Mmmh uandishi wako ni wa kiume! Mbona umeumia hivyo? Kulikoni?
Wewe ni mwanamke kweli? Nafsi inakataa!
Ndio mimi ni kapuku kwelikweli π πKkoo kwenyewe watu walikua wakifanga mgomo kumbe humohumo ndani yao wafabyabiashara ni kitengo wanaharibu harakati[emoji23] hawa wanaongelea freshers walioanza kazi juzi ati. Na wenyewe wana maisha yao mazuri tu. Mpaka waganga wako kitengo, maaskofu kama hivyo. Ama anaona ni walala hoi kama yeye.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Na ndo sijibrag kama wewe. Kama uliniwekea mkia hakuna noma wala. Ila jikubali mkuu umemegewa. Una inferiority comflex.[emoji3][emoji3][emoji3] mwanamme yeyote anayetumia ID ya kike huwa ana shida mahali, sasa nimetambua una shida gani? Hujachelewa bado acha tabia za kike. Na ninaposema uache hizo tabia uziache kwelikweli maana kuna baadhi yenu mna tabia hizo.
Kuchepuka kupo na kutokuwepo na hakika hata wewe unachoreshwa saba ila mme wako wala hana habari maana ni jadi yenu πNa ndo sijibrag kama wewe. Kama uliniwekea mkia hakuna noma wala. Ila jikubali mkuu umemegewa. Una inferiority comflex.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kuna mmoja kasema wanalipwa zaidi ya milioni tatu nimecheka sana ππWatu wa hovyo wanamshambulia mleta mada, badala ya kutafuta solution, kimsingi mleta hoja ana hoja kwanini watu wanaojiita nyeti wana tabia kama alizoeleza? sasa anashambuliiiwa as if sijui kakosa nini , narudia tena hao mwatu ni shida mtaani njaa njaa hizi zinawaumbua sana
π€£Una hela gani wewe? Jitahidi kuzihurumia sehemu zako za siri usikute hata nimekutafuna kimasihara π π
ππ€£Nyoo. Ona ulivyo na ushamba. Sisi tunahonga kijana. Ukicheza na mimi na wewe nitakuhonga vilevile nikuoe. Mshamba wa mwisho
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mkuu, hakuna afisa anauejitambulishaga. Hakuna. Hao ni wajinga wajinga wa Mataga. Tunachomblast hapa ni andiko lake la ghadhabu na kujibrag alitaka mpaka kutoa bastola. Ina maana he is unfit kumiliki hiko chombo. Unatoa bastola kwa mambo ya kijinga hivi? Nilitegemea kuona labda aseme jamaa alimrushoa chupa maybe akataka hata kujilinda kumbe wapi. Jamaa alijitambulisha kwake kwamba ni afisa? Alikuja uson kwake akamtamkia mimi ni afisa? Alikua anamjua kabla? Sindo wamekutana na jamaa hiyo mitaa? Alimthreat?Watu wa hovyo wanamshambulia mleta mada, badala ya kutafuta solution, kimsingi mleta hoja ana hoja kwanini watu wanaojiita nyeti wana tabia kama alizoeleza? sasa anashambuliiiwa as if sijui kakosa nini , narudia tena hao mwatu ni shida mtaani njaa njaa hizi zinawaumbua sana
Miss Pablo unataka kumtolea mahari komredi Nyboma?!!π€£π€£Jamaa mshamba sana. Nitajamuoa akicheza na mimi. Hiyo bastola nakuambia hanaaa... mwenye nayo hajibrag hivyoo. Na anaprove jinsi gani ni mshamba kama anaimiliki kweli basi ni jinsi gani watoaji wana makosa..
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
See? Una ushamba bado..na haohao ndo wanamla mkeo. Pumbaf kbs. Usipokua makini nakuoa wewe[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Watanifanya nini mbona ni viumbe wa kawaida sana na nipo nao hapa napiga nao supu na uniform zao, karibu sana ila nikupe pongezi tu kwa kuolewa na mmoja wao [emoji28]
Okey, i love you[emoji3059][emoji3059] kisses mwaah mwaah[emoji23][emoji23]Sawa sawa madam, siku njema [emoji28]
Ndio[emoji23][emoji23] ameniudhi sana. Analeta mambo ya kingai kama vile hajui matumizi ya PGO bana[emoji23][emoji23] namuoa halaf akileta ujinga nampigaaa kipigo cha kuchinjia nguruwe.Miss Pablo unataka kumtolea mahari komredi Nyboma?!![emoji1787][emoji1787]
π€£