GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mmechelewa sana Hima Empira ni lazima.ila mjue hii nchi si kama congo, burundi na uganda ambako mnaweza kuanzisha uasi mipakani mkaanza kusumbua nchi za watu. Hapa tz mkijaribu kuleta uasi mtapigika mpaka kwenu. Tena kama mmepata uraia tulieni msilete chokochoko za ajenda zenu za kikabila
Sigala - SigaraSA wanaua wageni wanaouza pipi na sigala ninyi mnawapa vyeo harafu wengine wanaongea mnasema unoko...
Nashukuru sanaHeshima yako mkuu!
Race ya watu wenye high level ya racism!! Wanaoana wao kwa waoHivi watusi ni kabila au ni jamii yenye makabila tofauti?
Nimewasoma kwenye ntandao, wikipedia wanasema wengi wamechanganya na Wahutu. Wana vinasaba na watu wa Somalia.Race ya watu wenye high level ya racism!! Wanaoana wao kwa wao
MtusiChuki
KumbeKawaida kwa jicho la nyama, ila kwa jicho la kijasusi ni hatari sana si kuwalegezea wala kuwaendekeza
Mbona hata Watanzania wana roho mbaya au haya matukio ya Njombe sio ya roho mbaya watu wanakata mtu vipande vipande tena mtu mmoja wengine wanaua watoto huko unataka kuongea kama tupo smart wakati tuna matukio ya hovyo kama wao huko Mtwara pana vima waliua dogo ana madini yake na pesa yake wakampa kesi ya mwizi wa boda boda au haya matukio unaona ni sawa kwa sababu ni Watanzania..Sigala - Sigara
Harafu- halafu
South Africa wana roho mbaya ya asili
Sisi wanaingia kila leo na tunagawana riziki
Na kuna wafanyakazi wanaishi kwa mgongo wa hao hao wakimbizi kwa kuchukua bakhshish kwao
Wana biashara zao wengine ila kila leo kuna watu wanapitia za kubrashi
Sisi Rushwa mbele ndio maana huoni fujo kwetu na ukarimu pia unachangia
Nyerere aliliona hilo ndio maana tunachanganyika bila tatizo
Mkuu hakuna nchi yenye watu wenye akili inaweza kubali kuendeshwa na watu wenye mtazamo wa PK,slim ashawashika makende hawawezi kukohoa,nadhani wahutu sasa wana vikao vya siri wanavizia PK aishiwe pumzi ,mambo yanayotokea Rwanda na Burundi ni kwa sababu kuna kabila mbili/tatu tu, kitu ambacho ni impossible kwa nchi yetu,Nyie mngekuwa na Akili mngeiacha CCM iwatawale kwa muda mrefu huku mkizidi kuwa Mazuzu na Amani yenu ya Kinafiki, Wivu wa Kishamba na Usununu / Roho Mbaya?
Nyoka wenye Akili kuliko nyie Mazuzu.
Mmechelewa sana Hima Empira ni lazima.
Mbunge wa Ilala, zungu la ungaNchi inachezewa sana hii aisee na wageni harafu wana vitambilisho vya Nida na madaraka huku Watanzania wakisumbuliwa kupata haki zao mpaka ajira ukiona hata mapendekezo ya Tozo unajua tu haya yametoka kwa Wageni sio wazawa..
Hawawezi fanya chochote sababu ni wachache.Ni swala la muda ipo siku watakinukisha.
Kama kuna kosa ambalo Tanzania inaweza kulifanya basi ni kupuuzia hawa watu wanitwa Watusi. Huko Congo, Burundi na Uganda n'ai walikua wakarimu kama Tanzania.
Watu wa Congo Kinshasa walipokua wakiambiwa kuhusu ubaya wa Watusi, waliona kama watu wa mpakani wanachuki binafsi na majirani zao. Lakini Leo hii Watusi wamepenya mpaka ikulu na Siri za nchi ya Congo ziko uchi mpaka Sasa.
Watanzania WA mikoa ya katika na ile yenye majirani wazuri, Huwa wakiambiwa ubaaya wa Watusi, wanadhani kuwa ni chuki za waha au wahangaza dhini ya majirani zao watusi.
Tanzania inatakwimu ya kupokea au kutoa uraia kwa wakimbizi wengi na idadi kubwa zaidi ni Kabila la Wahutu zaidi ya Watusi wachache.
Jambo la kujiuliza, ni kwanini Wahutu huchangamana vizuri na Makabila ya Tanzania na kuwa wamoja tofauti na Watusi. Watusi wamebaki na Miata aka Yao na kujitenga ingawa huwezi kujua kama haufuatilii. Mfano watusi wakiwa katika ngazi flani lazima atapenyeza watusi wenzie. Watusi akiwa naishi Tanzania basi lazima atakua na nyumba kwa Rwanda. Mtusi akiwa na Biashara yake basi lazima ataajiri Watusi wenzie.
Hawa watu wanakua na mikutano yao na agenda zao ambao wanazisimamia kimkakati. Mikakati ya hao watu huwezi kurithishwa vizazi mpaka vizazi.
Pale utakapoanza kumuona Mtusi kama ndugu yako na kujisahau , hapo ndipo kosa.
Sasa wameanza kutaka watambuliwe Kipekee hapa Tanzania.
Kwanini Wahutu walio wengi hawajawahi kuota KUTAMBULIWA lakini Watusi WANATAKA KUTAMBULIWA, Wana agenda Gani miaka ijayo?
Wakishatambuliwa watadai ardhi Yao ya asili itambulike, itakua eneo Gani la Tanzania?
Huko Congo walipokelewa na kuishi kwa miaka mingi, walianza vuguvugu la kutaka kutambulika kama hivi wanavyoanza Sasa hapa Tanzania.
Hawa watu sio wakufumbia macho. Kunatakiwa kuwa na Kitengo maalum Cha kuwachunguza watu wenye asili ya Rwanda hasa watusi.
Huko Congo Leo wametangaza kuweka ma RC na ma DC kwenye sehemu walizoteka nchi mpya ya Kitutsi inazaliwaKama kuna kosa ambalo Tanzania inaweza kulifanya basi ni kupuuzia hawa watu wanitwa Watusi. Huko Congo, Burundi na Uganda n'ai walikua wakarimu kama Tanzania.
Watu wa Congo Kinshasa walipokua wakiambiwa kuhusu ubaya wa Watusi, waliona kama watu wa mpakani wanachuki binafsi na majirani zao. Lakini Leo hii Watusi wamepenya mpaka ikulu na Siri za nchi ya Congo ziko uchi mpaka Sasa.
Watanzania WA mikoa ya katika na ile yenye majirani wazuri, Huwa wakiambiwa ubaaya wa Watusi, wanadhani kuwa ni chuki za waha au wahangaza dhini ya majirani zao watusi.
Tanzania inatakwimu ya kupokea au kutoa uraia kwa wakimbizi wengi na idadi kubwa zaidi ni Kabila la Wahutu zaidi ya Watusi wachache.
Jambo la kujiuliza, ni kwanini Wahutu huchangamana vizuri na Makabila ya Tanzania na kuwa wamoja tofauti na Watusi. Watusi wamebaki na Miata aka Yao na kujitenga ingawa huwezi kujua kama haufuatilii. Mfano watusi wakiwa katika ngazi flani lazima atapenyeza watusi wenzie. Watusi akiwa naishi Tanzania basi lazima atakua na nyumba kwa Rwanda. Mtusi akiwa na Biashara yake basi lazima ataajiri Watusi wenzie.
Hawa watu wanakua na mikutano yao na agenda zao ambao wanazisimamia kimkakati. Mikakati ya hao watu huwezi kurithishwa vizazi mpaka vizazi.
Pale utakapoanza kumuona Mtusi kama ndugu yako na kujisahau , hapo ndipo kosa.
Sasa wameanza kutaka watambuliwe Kipekee hapa Tanzania.
Kwanini Wahutu walio wengi hawajawahi kuota KUTAMBULIWA lakini Watusi WANATAKA KUTAMBULIWA, Wana agenda Gani miaka ijayo?
Wakishatambuliwa watadai ardhi Yao ya asili itambulike, itakua eneo Gani la Tanzania?
Huko Congo walipokelewa na kuishi kwa miaka mingi, walianza vuguvugu la kutaka kutambulika kama hivi wanavyoanza Sasa hapa Tanzania.
Hawa watu sio wakufumbia macho. Kunatakiwa kuwa na Kitengo maalum Cha kuwachunguza watu wenye asili ya Rwanda hasa watusi.
Kuna sehem huko Minembwe tayari hâta VIONGOZI wanatipoti kwa KagameHuko Congo Leo wametangaza kuweka ma RC na ma DC kwenye sehemu walizoteka nchi mpya ya Kitutsi inazaliwa
Mlio dharau waliosema Hima Empire inakuja haya hiyo hapo