Kwanini Watutsi wa Congo wasichukuliwe kama Wamasai, Wakurya au makabila mengine ambayo yako mipakani?

Kwanini Watutsi wa Congo wasichukuliwe kama Wamasai, Wakurya au makabila mengine ambayo yako mipakani?

Kama niko wrong tupe hiyo historia sahihi kama museven hakua mkimbizi wa kitutsi pale Uganda na kasababisha uuaji wa watu zaidi ya 800k.
Tafuta wazazi wa mseveni......au wanyankole ili ujue historia yao kabla ya wakoloni kuja huko na kuweka mipaka
 
Tatizo watutsi wana umbari wabaguzi na wabinafsi. Ila hayo sio shida. Shida iko wao kujidai ndio wajuaji peke yao na kutaka kutawala popote walipo bila kujali idadi yao ndogo. Burundi na rwanda wako asilimia 15 kwa kila nchi ila wanataka watawale nchi. Burundi waliondolewa kwenye utawala baada ya umwagaji mkubwa wa damu na pale walipomuua rais m'bantu 'mhutu' aliyechaguliwa kidemokrasia. Rwanda ilipata uhuru chini ya uongozi wa waliyo wengi lakini watutsi chini ya kagame na kusaidiwa na uganda wakaondoa kijeshi uongozi wa wabantu walio wengi.
Tatizo kule congo japo ni wachache kwenye majimbo ya kivu kusini na kaskazini wanataka waongoze majimbo hayo na pia watengewe nafasi za vyeo serikali kuu kinshasa na kwenye majeshi yote nchini. Hao ndio watutsi kina kagame. Watu wana umbari wabinafsi na walafi wakubwa wa madaraka.
Makabila yenye watu wengi yanashindwaje kuwadhibiti hadi kikundi kidogo cha watu kiwatawale. Huoni kuwa tatizo sio wao ni hao wanaowaruhusu?
 
Tatizo watutsi wana umbari wabaguzi na wabinafsi. Ila hayo sio shida. Shida iko wao kujidai ndio wajuaji peke yao na kutaka kutawala popote walipo bila kujali idadi yao ndogo. Burundi na rwanda wako asilimia 15 kwa kila nchi ila wanataka watawale nchi. Burundi waliondolewa kwenye utawala baada ya umwagaji mkubwa wa damu na pale walipomuua rais m'bantu 'mhutu' aliyechaguliwa kidemokrasia. Rwanda ilipata uhuru chini ya uongozi wa waliyo wengi lakini watutsi chini ya kagame na kusaidiwa na uganda wakaondoa kijeshi uongozi wa wabantu walio wengi.
Tatizo kule congo japo ni wachache kwenye majimbo ya kivu kusini na kaskazini wanataka waongoze majimbo hayo na pia watengewe nafasi za vyeo serikali kuu kinshasa na kwenye majeshi yote nchini. Hao ndio watutsi kina kagame. Watu wana umbari wabinafsi na walafi wakubwa wa madaraka.
Ila usisahau kua wahutu tokea uhuru wa rwanda walikua wanaua watusi kwa mauaji ya halaiki
 
Tafuta wazazi wa mseveni......au wanyankole ili ujue historia yao kabla ya wakoloni kuja huko na kuweka mipaka
Museveni pale uganda hana baba au shangazi iko yeye na familia yake, yule mzee Amos kaguta alikua mme wa mama ake baba ake na Saleh
 
Tatizo kuu ni Kagame. Huyu akiondolewa panatulia pale. Kagame ni mwiba na ni sumu.
 
Kama ni kweli kwa nininwenyeji wa hapo wasiwe watubwa kwanza kuwatetea. Serikali ya Congo haijui hayo au kuna vitu vinafanywa kusudi.
Fuatilia hidtoria ya hayo makabila kabla ya kuja wageni.
Unajua congo mpaka waarabu wa Zanzibar walitaka kutawala na walipigwa kichapo heavy na wabelgiji
 
Congo imewekewa mipaka na wabelgiji
Ni sahihi hata jamaa mmoja humu siku hizi simuoni avator yake ilikuwa ni German Shephard aliwahi kuandika thread kuwa hata makabila mengi EA yaliundwa na wakoloni kimipaka.
Hata dini kukuta watu flani wa dini flaninwamerundikana sehemu moja ni matokeo ya wakoloni pia.

Ntafuatilia.
 
Museveni pale uganda hana baba au shangazi iko yeye na familia yake, yule mzee Amos kaguta alikua mme wa mama ake baba ake na Saleh
Sasa kumbe jirani wew sio msomi wa historia ni shabiki lia lia....kama wale wa msikiti wa tambani🤣🤣
 
Fuatilia hidtoria ya hayo makabila kabla ya kuja wageni.
Unajua congo mpaka waarabu wa Zanzibar walitaka kutawala na walipigwa kichapo heavy na wabelgiji
Waarabu wachovu wasingeweza. Wanaoenda katibu na Bahari ili kikinuka wanakimbia na mashua hadi kwao.
 
Hao kama wasomali. Waogope wakimbizi wa VITA
Ila msomali namkubalo, kila anapoenda hakubali kiwa mnyonge lazima akamate uchumi kihalali au kiharamu.
Dsm kkoo, SA hadi wajomba wa Soweto wakaanza kuvamia maduka yao na kuiba viroba vya chumvi na unga. Walikuja mikono mitupu ndani ya muda mfupi wano vizuri.

Ila hawa wenzetu kama wavivu wanapenda kutawala kwa kutumia espionage na ujanjaujanja
 
Ila msomali namkubalo, kila anapoenda hakubali kiwa mnyonge lazima akamate uchumi kihalali au kiharamu.
Dsm kkoo, SA hadi wajomba wa Soweto wakaanza kuvamia maduka yao na kuiba viroba vya chumvi na unga. Walikuja mikono mitupu ndani ya muda mfupi wano vizuri.

Ila hawa wenzetu kama wavivu wanapenda kutawala kwa kutumia espionage na ujanjaujanja
Msomali anafanikiwa sababu ya nature ya maisha yao.
 
Ni sahihi hata jamaa mmoja humu siku hizi simuoni avator yake ilikuwa ni German Shephard aliwahi kuandika thread kuwa hata makabila mengi EA yaliundwa na wakoloni kimipaka.
Hata dini kukuta watu flani wa dini flaninwamerundikana sehemu moja ni matokeo ya wakoloni pia.

Ntafuatilia.
Yeah......nenda kondoa.....kwanini kuna waislamu wengi???
Ni sababu ya biashara ya watumwa njia ya tabora na ujiji......waarabu na machotara wa zanzbar waliweka makazi sana kondoa miaka zaidi ya 800.
Au kwanini Albania na Bosnia na Kosovo kuna Watu wa asili ya uturuki na wazungu wengi waislamu.
 
Msomali anafanikiwa sababu ya nature ya maisha yao.
Resilience (uwezo wa kusimama trna baada ya kuanguka) kwa iko juu. Jamaa alikuwa anahojiwa anasema wao waliingia SA hawana kitu, wakakopeshwa bidhaa na wahindi malikauli hadi wakajikuta wanamiliki maduka makubwa south wakiwa wameanza na zero.
Sisi wabongo ni kuzamia tu ili kwenda kufanya ubishoo
 
watutsi kiasili ni jamii ya wafugaji.. hawakai sehemu moja daima.
 
Back
Top Bottom