Kwanini Watutsi wa Congo wasichukuliwe kama Wamasai, Wakurya au makabila mengine ambayo yako mipakani?

Kwanini Watutsi wa Congo wasichukuliwe kama Wamasai, Wakurya au makabila mengine ambayo yako mipakani?

Wana nchi yao ni Rwanda, af fanya yote usimkaribishe mtusi kwako au nchini, hao watu wana tabia ya kuua (host) mwenyeji wao nakutaka kutawala, ona uganda, Burundi, Rwanda mojarity 80% ni wa hutu ila watusi wanata ku dominant, DRC kuna makabila zaidi ya 200 hao watusi hata 1m hawafiki ila ndo wanataka kutawala, ukiona Mtutsi ni wakuua au kutimua mapema, udixoeane nao hao watu ubaguzi na wauuji wa kubwa hata ukae nae miaka 50 akiona mtusi mwenzio watakugeuka au kukuua.
Shida sio Nchi yao,tatizo ni mpaka wa Nchi ya Congo kuwa na raia wa karibia Nchi zote za maziwa makuu zilizo karibu na Mpaka mrefu wa Congo.
Suluhisho liwe la kuwatambua raia hao kama sehemu ya Congo au kuimega Congo ili raia wawe na na mamlaka kamili ya namna yao ya kuishi.
Ni vigumu sana kwa Raia hao kupata msaada kutoka Kinshasa iliyo mbali Kwa zaidi ya 5000Km,kuliko Jirani Uganda,Rwanda au Burundi.
Mashariki ya Congo sio Mali ya Serikali ya Kinshasa bali ni Mali ya Raia wanaoishi hapo toka enzi na enzi,lakini pia asili na jiographia ya eneo inawabeba katika umiliki kuliko raia wengine wa Congo walioko Kinshasa.
Waliogawa mipaka Mwaka 1884 wakifanya kusudi kwa kuwa walijua ya kuwa tawala/himaya za watu wa maziwa makuu zilikuwa imara hivyo zingeliwapa usumbufu kuchota rasilimali.
 
Hili wazo niliwahi kusikia speech moja ya hayati Nyerere. Kabla ya Ukoloni lilikuwa ni kabila moja ambalo liliambaa Rwanda hadi Congo.

Kama Arizona iliwahi kuwekewa mipaka katikati na nusu ya waarizona wakawa US na wengine wako Mexico. Kama Wamasai wako Kenya na TZ, Wakurya wako Kenya na Tz, Wajaruo wako Kenya, Tanzania, Uganda na South sudan, Wamakonde wako kote na makabila mengi duniani.

Kwanini wenzetu hawa watutsi ambao kiasiri wamekuwepo huko mashariki mwa Congo, Rwanda na Burundi imekuwa ni tatizo?. Kwa nini wasitambuliwe kama makabila mengine ambayo yanapatokana nchi mbili.


Wajuvu mtujuze zaidi..
sio shida kuwatambua ila swala hapa ni issue ya siasa za huko na uhasama uliopo baina ya watutsi na watawala wa congo, burundi huwa hawawaamini kabisa hilo ndio tatizo.

NB: Kwa heshima na nia njema, naomba upitie wasifu wangu na unisaidia ktk hitaji langu la ajira.
Mimi ni kijana mchapakazi na mwaminifu, miaka 32, makazi yangu Dar es Salaam. Nina shahada ya utawala, na uzoefu wa miaka 8 katika usimamizi wa miradi, utafiti, data entry, na usimamizi wa mitandao ya kijamii, pia nina ujuzi na uzoefu kwenye customer care, masoko, na mauzo. Naweza kusaidia katika kuandika maandiko mbalimbali ya kiofisi, miradi, tafsiri, na kubuni nakutengeneza tovuti kwa ubora.
Ninaomba fursa ya ajira na nipo tayari kufanya kazi mara moja mahali popote nchini.
Nipigie/text kwa 0769 055050. Asante!
 
Hili wazo niliwahi kusikia speech moja ya hayati Nyerere. Kabla ya Ukoloni lilikuwa ni kabila moja ambalo liliambaa Rwanda hadi Congo.

Kama Arizona iliwahi kuwekewa mipaka katikati na nusu ya waarizona wakawa US na wengine wako Mexico. Kama Wamasai wako Kenya na TZ, Wakurya wako Kenya na Tz, Wajaruo wako Kenya, Tanzania, Uganda na South sudan, Wamakonde wako kote na makabila mengi duniani.

Kwanini wenzetu hawa watutsi ambao kiasiri wamekuwepo huko mashariki mwa Congo, Rwanda na Burundi imekuwa ni tatizo?. Kwa nini wasitambuliwe kama makabila mengine ambayo yanapatokana nchi mbili.


Wajuvu mtujuze zaidi..
Watusi kabla ya kagame hawakua na shida kabisa na kongo!!

shida yao ilionekana wakat wa vita ya kwanza na yapili ya kongo ndipo walipoanza kuchukiwa.
Waliungana na waasi kwenda kumng’oa mobutu wakat uo waliua sana makabila mengine na kujimilikisha maeneo wakisaidiwa na rwanda na uganda.

Kuanzia hapo jamiii ya kongo iliiona rangi yao halisi hvo wakaanza kuchukiwa na kila mtu kuanzia ituri,kivu kusini na kaskazini
 
Nasitika sana uwe yeyote hauna zaidi ya utanzania wako

Tanzania ni Nchi na tunaipenda mtake msitake.
Hapa hatuna UKABILA.
Tumshukuru MUNGU
 
Hili wazo niliwahi kusikia speech moja ya hayati Nyerere. Kabla ya Ukoloni lilikuwa ni kabila moja ambalo liliambaa Rwanda hadi Congo.

Kama Arizona iliwahi kuwekewa mipaka katikati na nusu ya waarizona wakawa US na wengine wako Mexico. Kama Wamasai wako Kenya na TZ, Wakurya wako Kenya na Tz, Wajaruo wako Kenya, Tanzania, Uganda na South sudan, Wamakonde wako kote na makabila mengi duniani.

Kwanini wenzetu hawa watutsi ambao kiasiri wamekuwepo huko mashariki mwa Congo, Rwanda na Burundi imekuwa ni tatizo?. Kwa nini wasitambuliwe kama makabila mengine ambayo yanapatokana nchi mbili.


Wajuvu mtujuze zaidi..

Watanzania by nature ni wabaguzi, kila mtu ni mbinafsi kwa wengine nje ya ethnic group aliyopo. Mtanzania atambagua kila mtu nje ya kabila lake, profession yake, mkoa wake, nchi yake, imani yake, etc.

Ukianzisha mada kuhusu mchaga, hapa utaona negative posts za kutosha kutoka kwa wasio wachaga, ukiweka mkenya, mnyaturu, mmakonde, mmarekani, msouth, mnageria, mwanamuziki, mfaransa, mkongo, mhutu, mmasai, daktari, nesi, hakimu, Tiss, polisi, utaona kila aina ya comment mbaya kumuhusu.

So hapa tutegemee kila neno chafu na baya kuhusu watusi!

Haya tuendelee...

By the way nchi zote tajiri zimejengwa kwa diversity ya watu wake! Kila mgeni anakaribishwa kuweka mchango wake!
 
Hili wazo niliwahi kusikia speech moja ya hayati Nyerere. Kabla ya Ukoloni lilikuwa ni kabila moja ambalo liliambaa Rwanda hadi Congo.

Kama Arizona iliwahi kuwekewa mipaka katikati na nusu ya waarizona wakawa US na wengine wako Mexico. Kama Wamasai wako Kenya na TZ, Wakurya wako Kenya na Tz, Wajaruo wako Kenya, Tanzania, Uganda na South sudan, Wamakonde wako kote na makabila mengi duniani.

Kwanini wenzetu hawa watutsi ambao kiasiri wamekuwepo huko mashariki mwa Congo, Rwanda na Burundi imekuwa ni tatizo?. Kwa nini wasitambuliwe kama makabila mengine ambayo yanapatokana nchi mbili.


Wajuvu mtujuze zaidi..
Miaka yote wamechukuliwa hivyo mbona. Shida ni yale madini. Halafu tall anataka kutanua Rwanda imege Congo kidogo.ukienda Kinshasa wao wanyamulenge viongoz na wafanyabiashara wakubwa tu
 
Wana nchi yao ni Rwanda, af fanya yote usimkaribishe mtusi kwako au nchini, hao watu wana tabia ya kuua (host) mwenyeji wao nakutaka kutawala, ona uganda, Burundi, Rwanda mojarity 80% ni wa hutu ila watusi wanata ku dominant, DRC kuna makabila zaidi ya 200 hao watusi hata 1m hawafiki ila ndo wanataka kutawala, ukiona Mtutsi ni wakuua au kutimua mapema, usizoeane nao hao watu ubaguzi na wauuji wa kubwa hata ukae nae miaka 50 akiona mtusi mwenzie watakugeuka au kukuaua.
nimesoma jinsi walivyotawala rwanda na burundi kipindi hicho cha mwami nilishangaa kama unavoongea mkuu
 
Back
Top Bottom