Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Umuofia kwenu,

Kwa nje utasikia waRwanda wakijisifia kua wako wamoja hawana tena ukabila, wanapendana, wanashirikiamda bla bla bla ila maajabu wote wanaoimba hizi ngonjera 10 out of 10 hua ni waTutsi.

Kutokana na sensa ya 1994 waTutsi ni 14%, waHutu 85% na waTwa ni 1% lakini vyeo vyote naomba kurudia VYOTE vya juu wamekalia waTutsi wakati wao ni 14% tu ya population. imagine
Rais - mTutsi,
Security adviser - mTutsi,
Chief of Staff - mTutsi,
Waziri wa Ulinzi- mTutsi,
Mageneral wote 4 - waTutsi,
Maluteni general wote 4 -waTutsi, Mamejor general 15 wote - waTutsi, Mabrigedia general 23 wote -waTutsi !!.

Hali iko hivyo hivyo kwa wakuu wa idara za serikali, maofisa wa serikali, wakurugenzi wa mashirika nk. Yani kama una dsTV na hua unatazama RwandaTV utakubaliana na mimi kwenye taarifa zao za habari utaona viongozi wote wa Rwanda hua ni waTutsi tupu na hata watu wote kwenye nyadhifa za maana utawaona waTutsi tupu. Ikumbukwe kuna maelfu ya wakimbizi wa kiHutu hapa Tanzania waliokataliwa kurudi kwao wa wengine wengi nchi tofauti tofauti ikiwemo Uganda, Kenya, Afrika Kusini nk

Hivi hili likoje ?!, Raia wa Rwanda waliouana kwa mamillion 1994 kisa ukabila wanalionaje hili kua sawa ?! na je hili jambo halina madhara yoyote kwa kanchi haka kwenye size ya mkoa wa Tabora?

20220705_192838.jpg
 
Swala baya sana bongo lipo sema hapa makabila mengi wengi wanapuuza wanajichanganya hawana time kujua huyu anatokea wapi
 
Swala baya sana bongo lipo sema hapa makabila mengi wengi wanapuuza wanajichanganya hawana time kujua huyu anatokea wapi
Mkuu hakuwezi kua na usama kamili lazimima jamii fulani watapewa zaidi ila kwa Rwanda sio kwamba kuna waliopendelewa kiasi HAPANA NI 100% NYADHIFA KWA WATUTSI. Sijui kama unanielewa
 
Hio nchi ni kama volcano tuli ipo siku italipuka tena.

siku huyu kagema hayupo duniani watalia na kusaga meno.

hao hao jamaa zake wanapaswa wampinge kwa hio staili ya kugawana vyeo watu aina fulani tu.

mchangamano kama taifa hakuna wanaishi kama wahindi walivyojitenga hapa bongo
 
Mkuu hakuwezi kua na usama kamili lazimima jamii fulani watapewa zaidi ila kwa Rwanda sio kwamba kuna waliopendelewa kiasi HAPANA NI 100% NYADHIFA KWA WATUTSI. Sijui kama unanielewa
Swala linakuwa baya kwao coz wako wawili japo watutsi ni wengi ila ndo wanakabiliana ila bongo hapa wapo wanaopendelewa na kupachikana ila makabila 100 na kitu megine hayana time na mambo ya kielimu wala maendeleo wanaishi kivyao wanaweza kuwa hata raisi hawamjui zunguka utaona
 
Vipi wazanzibar mkuu
Wamekuaje ?! Kwamba 100% wanaiongoza TZ ?! Hebu kua serious basi mkuu.

Je Makamu wa raisi Philip ni Mzanzibar ?
Je waziri mkuu Majalima ni Mzanzibar ?
Je spika wa bunge Tulia ni Mzanzibar ?
Je CDF ni Mzanzibar ?
Je IGP Sirro ni Mzanzibar ?
Je Secretary of state ni Mzanzibar ?
 
wahutu wote wapewe uraia Tanzania, Rwanda waachwe wakae Watutsi peke yao. Tena wahutu huku wapewe ardhi kilwa, Lindi, na Songea huko, hapo tatizo litakuwa jumla.

Lolote linaweza kutokea wakati wowote.
 
Back
Top Bottom