Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

wahutu wote wapewe uraia Tanzania, Rwanda waachwe wakae Watutsi peke yao. Tena wahutu huku wapewe ardhi kilwa, Lindi, na Songea huko, hapo tatizo litakuwa jumla.

Lolote linaweza kutokea wakati wowote.
Mkuu tafadhali sana, waHutu wanavisasi sana watazusha balaa kwa waTanzania. Kuna kipindi nilikua Ngara kwenye makambi ya Benako, asikwambie mtu hawa jamaa wakae kwao huko huko.

Ni wakatili sana, walikua wanatoroka kambini wanavamia raia na kuwachapa bakora wanataka wapewe chakula, nguo au pesa.
 
Hio nchi ni kama volcano tuli ipo siku italipuka tena.

siku huyu kagema hayupo duniani watalia na kusaga meno.

hao hao jamaa zake wanapaswa wampinge kwa hio staili ya kugawana vyeo watu aina fulani tu.

mchangamano kama taifa hakuna wanaishi kama wahindi walivyojitenga hapa bongo
Na Mungu awaepushe maana wakikiwasha wakati huu watamalizana tukizingatiwa mausiano yao mabaya na majirani hakuna wakuwapokea wakimbizi wao.
 
Tutsi ladies are beautiful; Hutus are not beautiful. That might be the reason.
 
Mkuu tafadhali sana, waHutu wanavisasi sana watazusha balaa kwa waTanzania. Kuna kipindi nilikua Ngara kwenye makambi ya Benako, asikwambie mtu hawa jamaa wakae kwao huko huko.

Ni wakatili sana, walikua wanatoroka kambini wanavamia raia na kuwachapa bakora wanataka wapewe chakula, nguo au pesa.
Wenye roho ya visasi ni watutsi
 
Wajamaa mshaanza kuitamani Rwanda. Naona mna hamu ya kwenda kupora mali zao na kunajisi dada zao. Ndiyo legasi ya Nyerere hiyo ya kuvuruga nchi za watu.
Mkuu kupora mali gani Rwanda ?! Kwanza migogoro ya ardhi isiyo hata na rutba kati ya Tutsi na Hutu mmeimaliza ?! Yani Tanzania ikapore mali Rwanda ?! Aisee nikichekesho.
 
Tutsi ladies are beautiful; Hutus are not beautiful. That might be the reason.
How should that be a reason for segregation. Does beauty count for efficiency, acountability and perfomence ?!
 
How should that be a reason for segregation. Does beauty count for efficiency, acountability and perfomence ?!
... Haha ha. Beauty is everything my friend. Mitume na manabii wote toka Ibrahim hadi Muhammad walichukua vitu vya maana. Uzuri wa Sara waujua wewe?
 
... Haha ha. Beauty is everything my friend. Mitume na manabii wote toka Ibrahim hadi Muhammad walichukua vitu vya maana. Uzuri wa Sara waujua wewe?
Hahaa we jamaa, kama nakuona ulivyojivutia warembo wazuri wasaidizi na staff yako nzima tehee he
 
Najua WaTutsi ni wakatili zaidi ila niamini mimi waHutu sio walokole mazingira yamewashape kua resentiful na nyongo kali, kumbuka waliagiza makontena kadha ya mapanga kwa ajili ya kuwabatiza waTutsi.
Aaah bhana wee heri muhutu kuliko mtutsi, waliowahi kuishi na hizo jamii watashuhudia hapa
 
Hahaa we jamaa, kama nakuona ulivyojivutia warembo wazuri wasaidizi na staff yako nzima tehee he
... jitwalieni katika binti za nchi kuwa wake zenu; tena imenenwa wake zenu ni konde zenu ziendeeni jinsi mpendavyo. Ha ha ha.
 
Umuofia kwenu,

Kwa nje utasikia waRwanda wakijisifia kua wako wamoja hawana tena ukabila, wanapendana, wanashirikiamda bla bla bla ila maajabu wote wanaoimba hizi ngonjera 10 out of 10 hua ni waTutsi.

Kutokana na sensa ya 1994 waTutsi ni 14%, waHutu 85% na waTwa ni 1% lakini vyeo vyote naomba kurudia VYOTE vya juu wamekalia waTutsi wakati wao ni 14% tu ya population. imagine
Rais - mTutsi,
Security adviser - mTutsi,
Chief of Staff - mTutsi,
Waziri wa Ulinzi- mTutsi,
Mageneral wote 4 - waTutsi,
Maluteni general wote 4 -waTutsi, Mamejor general 15 wote - waTutsi, Mabrigedia general 23 wote -waTutsi !!.

Hali iko hivyo hivyo kwa wakuu wa idara za serikali, maofisa wa serikali, wakurugenzi wa mashirika nk. Yani kama una dsTV na hua unatazama RwandaTV utakubaliana na mimi kwenye taarifa zao za habari utaona viongozi wote wa Rwanda hua ni waTutsi tupu na hata watu wote kwenye nyadhifa za maana utawaona waTutsi tupu. Ikumbukwe kuna maelfu ya wakimbizi wa kiHutu hapa Tanzania waliokataliwa kurudi kwao wa wengine wengi nchi tofauti tofauti ikiwemo Uganda, Kenya, Afrika Kusini nk

Hivi hili likoje ?!, Raia wa Rwanda waliouana kwa mamillion 1994 kisa ukabila wanalionaje hili kua sawa ?! na je hili jambo halina madhara yoyote kwa kanchi haka kwenye size ya mkoa wa Tabora ?!
Hilo ni bomu linalosubiriwa kulipuka is just the matter of time.
 
Ndugu! Hivi upo serious kweli na ulichoandika?
Jamaa hajuii kikiwaka Rwanda ukanda wote hautakua salama. Baada ya 1994 genocide mpaka leo mikoa yetu ya Kagera na Kigoma imenajisiwa na waRwanda mali na rasilimali zetu nyingi kama mifugo na mazao yameporwa kuelekea Rwanda kulisha wapiganaji, ujambazi uliongezeka kwa silaha kupatikana kiholela mpaka leo kuna silaha haramu nyingi sana hapo Ngara na imekua soko la silaha haramu kuendea kote nchini kwetu.
 
Sasa inatuhusu nini sisi watanzania?
Aisee, hebu nigusie kiduchu, baada ya 1994 genocide mpaka leo mikoa yetu ya Kagera na Kigoma imenajisiwa na waRwanda mali na rasilimali zetu nyingi kama mifugo na mazao yameporwa kuelekea Rwanda kulisha wapiganaji.

Ujambazi uliongezeka kwa silaha kupatikana kiholela mpaka leo kuna silaha haramu nyingi sana hapo Ngara na imekua soko la silaha haramu kuendea kote nchini kwetu.
 
Kiukweli hapa kuna sumu mbana sana inapandikizwa na madhara yake yataonekana japo itachukua muda, unless hao wa hutu waamue kuingia msituni.

Ukifuatilia, haya maujinya kimbari ya 1994 lawama zote anapelekewa mhutu, lkn pia ikumbukwe chuki baina ya jamii izi ilitengenezwa na mkoloni wao Belgium, ambae alishirikiana /au alikasimisha baadhi uongozi kwa jamii ya watu weusi toka asili yaTutsi ambapo hwa hutu walikuwa wakinyanyaswa na kufanyishwa kazi tu.
 
Kiukweli hapa kuna sumu mbana sana inapandikizwa na madhara yake yataonekana japo itachukua muda, unless hao wa hutu waamue kuingia msituni.

Ukifuatilia, haya maujinya kimbari ya 1994 lawama zote anapelekewa mhutu, lkn pia ikumbukwe chuki baina ya jamii izi ilitengenezwa na mkoloni wao Belgium, ambae alishirikiana /au alikasimisha baadhi uongozi kwa jamii ya watu weusi toka asili yaTutsi ambapo hwa hutu walikuwa wakinyanyaswa na kufanyishwa kazi tu.
Nawaonea huruma sana waHuu kama ulivyoweka hata genocide ya 1994 lawama wanatupima waHutu ili hali Kagame ndie alianzisha vita kwa kuitungua ndege ya raisi wa wakati ule.

Ningekua mHutu ........
 
Back
Top Bottom