Wana ubaguzi sana hawa watu.Kama hujui lugha yao wanakuona kama haramia tu (Jongoli).Nimeishi nao sana mkuu na hata wakati wa jiwe miaka ya mwanzo nilifanya nao kazi kazi katika taasisi fulani ya serikali, wengi wao ni watu poa sana hawana nongwa. Sema jiwe alikua tu na mapungufu yake.
M23 walikimbilia uganda,kulikua na dalili zote wangekimbilia kigali tungeunga nao 😂Vita ni mbaya ila nilitamani wakati ule Jk alivyotaka kukinukisha, majeshi yetu yangekazingira hako kakitongoji tukapige kila upande na wanawake wao tuwannje.
Angalizo kila mtu apaswa kutoa kwa wanaomzunguka ulinzi wa jamii ni jukumu la jamii nzima sio mimi The unpaid Seller peke yangu.Sasa inabidi utoe angalizo la sisi kuimalisha ulinzi maeneo husika na sio huo upuuzi wa uhutu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise tungemnyoa ndevu PK kwa chupa. Wakati huo nilikua Mwanza ile kambi ya jesh 602 Ilemela ilijengewa uwanja wa ndege haraka yakawa yanatua madege ya kila aina mule ndani marufuku zikabandikwa hakuna kusogea wala kupiga picha.M23 walikimbilia uganda,kulikua na dalili zote wangekimbilia kigali tungeunga nao 😂
Hawa jamaa mauaji ya kimbari part 2 yatatokea tena.
Ni suala la muda tu.
Waswahili wanasema muda utaongea
Wanaiba colbat, coltan, gold, uranium nk toka Congo na kuiuza marekani na UK pesa ya bure wanavuta mabillion ya dollars. Na kwakua wanajipatia kwa wizi na dhuluma ni lazima wajiimarishe kijeshi maana wanajua kuna siku waCongo wataamka na kuilinda mali yao.Nchi ndogo ila ina majenerali wengi sana!
Hizo pesa za kuwalipa wanapata wapi?
Unafahamu size ya mkoa wa Tabora? Kwa taarifa yako kuna Rwanda 2.7 katika mkoa wa TaboraUmuofia kwenu,
Kwa nje utasikia waRwanda wakijisifia kua wako wamoja hawana tena ukabila, wanapendana, wanashirikiamda bla bla bla ila maajabu wote wanaoimba hizi ngonjera 10 out of 10 hua ni waTutsi.
Kutokana na sensa ya 1994 waTutsi ni 14%, waHutu 85% na waTwa ni 1% lakini vyeo vyote naomba kurudia VYOTE vya juu wamekalia waTutsi wakati wao ni 14% tu ya population. imagine
Rais - mTutsi,
Security adviser - mTutsi,
Chief of Staff - mTutsi,
Waziri wa Ulinzi- mTutsi,
Mageneral wote 4 - waTutsi,
Maluteni general wote 4 -waTutsi, Mamejor general 15 wote - waTutsi, Mabrigedia general 23 wote -waTutsi !!.
Hali iko hivyo hivyo kwa wakuu wa idara za serikali, maofisa wa serikali, wakurugenzi wa mashirika nk. Yani kama una dsTV na hua unatazama RwandaTV utakubaliana na mimi kwenye taarifa zao za habari utaona viongozi wote wa Rwanda hua ni waTutsi tupu na hata watu wote kwenye nyadhifa za maana utawaona waTutsi tupu. Ikumbukwe kuna maelfu ya wakimbizi wa kiHutu hapa Tanzania waliokataliwa kurudi kwao wa wengine wengi nchi tofauti tofauti ikiwemo Uganda, Kenya, Afrika Kusini nk
Hivi hili likoje ?!, Raia wa Rwanda waliouana kwa mamillion 1994 kisa ukabila wanalionaje hili kua sawa ?! na je hili jambo halina madhara yoyote kwa kanchi haka kwenye size ya mkoa wa Tabora ?!
Kanchi kadogo sana, sasa hapo unameza kukatiza hata wilaya tatu kwa kutembea tembea tu kwa miguu.Unafahamu size ya mkoa wa Tabora? Kwa taarifa yako kuna Rwanda 2.7 katika mkoa wa Tabora
Labda nikurekebishe mleta mada hana propaganda ana facts. Unafaham maana ya neno propaganda ?!Akuna Muhutu wa ndani ya Rwanda na nje ya Rwanda atakaemsumbua PK kwa namna yeyoye ile iwe kwa mtutu ama propaganda kama za mleta mada.
Kweli kabisa, pale kambi ya wakimbizi Benako, yani wao ni wakimbizi lazini walikua wanatuteta kwa lugha yao na unaona kabisa jinsi wanamajivuno.Wana ubaguzi sana hawa watu.Kama hujui lugha yao wanakuona kama haramia tu (Jongoli).
Sio kweliSwala baya sana bongo lipo sema hapa makabila mengi wengi wanapuuza wanajichanganya hawana time kujua huyu anatokea wapi
Yaani ni shida sana mkuu.Hii Nchi hatakiwi kupewa MSU **** tenaKweli kabisa, pale kambi ya wakimbizi Benako, yani wao ni wakimbizi lazini walikua wanatuteta kma lugha yao na unaona kabisa jinsi wanamajivuno.
Kuna demu mmoja alinivutia pale kambini nilisota sana kumpata na alinisababishia hatari kubwa sana haa ha ha aise nimekumbuka mbali sana 1998 nitaleta kisa chake hapa siku moja.
Hao wote wawili walikua ni constitutional lawyers na kama sitakua nimekosea mvungi pia alikuwepo kwenye hio kesi ya ICTR..kama nitakua nimeenda pembeni itakua ni makosa ya kumbu kumbu tu...Mvungi ni ishu ya katiba,mwaikusa ...paka.
Watutsi wamezidi aiseeMasahihisho Ni wote mkuu
Kwa hyo bongo upo ubaguzi sioSio kweli
Kumbe legasi ya Nyerere ilikuwa ni kuvuruga nchi za watu !?Wajamaa mshaanza kuitamani Rwanda. Naona mna hamu ya kwenda kupora mali zao na kunajisi dada zao. Ndiyo legasi ya Nyerere hiyo ya kuvuruga nchi za watu.
Mimi sio mroma ila roma huwezi kuifungia kienyeji kama makanisa ya kina kakobeMkuu kanisa halina mandetory authority yoyote wakileta ushauri au mwenendo usioshabiiana na serikali, serikali inaweza kufutilia mbali usajili.
Umesahau kakobe alivyokosoa serikali ghafla account zake za bank zikafungwa kwa utakatishaji fedha, on top tukaambiwa Kakobe sio raia kesho yake alipoisifia serikali boom !! tukaambiwa Kakobe ni mTanzania na passport akarudishiwa na mabillion yake bank hayakuhojiwa tena. Ulitaka kanisa lifanye nini cha kuikemea serikali ya Rwanda ?!
Hawa jamaa walimpa mfalme wa wahutu binti wa kitusi amuoe, halafu mtu wa kwao akaja kumtia mimba. Chifu akalea akijua ni mtoto wake, na happ ndiyo uongozi wa eneo zima ukaangukia mikono yao