Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

Kwanini Watutsi wanapendelewa sana huku wahutu wakipuuzwa, kudharauliwa ili hali wao ni wengi. Je, kuna madhara yoyote kwa hili?

So alipata nafasi ya kumnyoosha mobutu baadae kwa kutumia wale vijana wake aliyowalea huku Tz. Ndio maana nchi zote kasoro kenya zikuja kuongozwa na vijana wa mchonga
Huu ushawishi Nyerere aliokuwa anautaka ulitusaidia/umetusaidia hata kidogo kiuchumi?..
 
Ndo maana wakina Kagame wakabadili historia kwa kutunga sheria ya Genocide denial ya kusema kwamba yale mauaji ya mwaka 1994 yalikua dhidi ya watutsi wakati wahutu na pia waliuwawa..yule wakili Jwani Mwaikusa kwenye ile kesi iliokua ikiendea huko ICTR alikua anaenda kuonesha kwamba na Kagame alihusika kwenye mauaji na sio watutsi tu ndo walikua target ndo ikatokea vile jamaa akatolewa kafara pamoja na Ssengondo Mvungi...
Umenifungua macho mkuu
 
MKUU ISSUE YA MAUAJI YA KIMBALI YA RWANDA NI PANA SANA KUMBUKA HATA KAGAME MWENYEWE ALIZUIA UN KUPELEKA KIKOSI RWANDA KWA KUANDIKA BARUA USHAHIDI HUU.
View attachment 2457992View attachment 2457993View attachment 2457994View attachment 2457995
Sorry page nimeshidwa kuatach zote na vizuri
Nakusoma mkuu! Aliyeandika hii barua ni Jaji Gerlad Gahima, aliyewahi kuhudumu kule The International Criminal Tribunal For The Former Yugoslavia (ICTY). Siku hizi amekuwa mkimbizi akidai anataka kuuwawa na General Paul Kagame.

Kuna mahojiano yake alifanya na Tshaka Salli kuhusu makosa ya kimataifa yanayofanyika ukanda huu wa maziwa makuu (Great Lake Regions), na udhaifu wa makakama za kimataifa kama The International Criminal Court (ICC).

Humo ndani amekiri kwamba General Kagame na Museveni wamefanya uhalifu mkubwa mno dhidi ya binadamu. Kumbuka huyu alikuwa ni mwanachama kindakindaki wa RPF, hivyo anafahamu fika anachokisema.

Nikirudi kuhusu siasa za Rwanda Circa 1994: Kuna maswali mengi yameachwa zaidi ya majibu. Machache ni hayo niliyokuuliza hivi punde. Ila kusema kwamba Tanzania ilikuwa haifahamu kwamba Marekani, Uingereza na Israel zilikuwa zinahusika nyuma ya Rwanda na Uganda napata ukakasi.

Serikali ya Tanganyika ina mkono mrefu mno kuliko ambavyo wengi tunapenda kukashifu na kudanganyana humu ndani. Kwamba Mzee Nyerere alikuwa hafahamu kinachoendelea nyuma ya pazia na hawa vijana wake Kagame na Museveni aliowakuza mwenyewe. Nazidi kupata ukakasi.

Swali jingine: Wakati mauaji ya Raisi Juvenile na Cyprian yanafanyika, Umoja wa Afrika (O.A.U) walipendekeza iundwe kamati maalumu ya uchunguzi. Kuuwawa wakuu wawili wa nchi, tena kwa kombora ni jambo zito ambalo ilibidi litiliwe mkazo. Kule O.A.U mambo yalienda kimaajabu. Unafahamu nani alikuwa ni Katibu Mkuu (Secretary General) wa O.A.U wakati wakulungwa wanapendekeza uchunguzi ufanyike ???

Kijana mwingine wa Mzee Nyerere kutoka visiwani: Dr Salim Ahmed Salim....

NB: Come to think of it, the Great Lake Region is another Wild-Wild West. Full of lawlessness, megalomania, greed, political fiascos and military adventurism. You look at Kagame, Museveni, Tsishikedi and Kiir is like I'm watching The Movie: Mad Max, Furry Road (It's just diabolical)

Binafsi ningekuwa na mamlaka makubwa ningeifunga kabisa Tanganyika, isijuhusishe hata kidogo na hizi siasa za Uganda, Rwanda, Burundi na Kongo bila sababu maalum. EAC ingebaki na nchi tatu tu za mwanzoni. Hawa wengine wangekuwa waalikwa tu (Observers)

Watutsi, Wahutu, Wasudani na Wakongo wayamalize matatizo yao wenyewe. Sisi nasi (Tanganyika) tufanye yetu, maana ni mengi mno tena mazito...
 
Hili swali la mwisho nakujibu.

Mobutu alikataa kufika mkutanoni baada ya kunasa info za kumpindua, yeye pamoja na hibyamana. Na mratibu alikuwa mzee mchonga. Mchonga na mobutu walishawahi vimbiana kwenye vikao, mobutu akamwambia mchonga, Tanzania ni ndogo kuliko Congo, na haina lolote kwa congo....kwamba kuiongoza Congo lazima uwe na akili nyingi, Tanzania sio congo so shutup your mouth. Mchonga akawa kimya na kinyongo juu. Bahati mchonga alikuwa mwenyekiti wa kuratibu nchi moja africa, upande wa kusini na kati mwa africa. Ndiyo maana brifying nyingi za nchi zote alikuwa anapewa na kukoment..... aliandika na kitabu kabisa nahisi walikificha
Kuna siku Mwalimu Nyerere aliwahi kualikwa na Raisi Mobutu kule kijijini kwao Gbadolite. Ilibidi apande ndege ili kufika lakini baadaye Mwalimu Nyerere akatoa udhuru wa ghafla kwamba hatafika. Raisi Mobutu alionesha kukasirika sana...

Kwanini Mobutu alikasirika vile ???....

NB: Hivi kwanini kile kitabu ambacho Mzee Nyerere alikiandika mwishoni wa uhai wake, yule jamaa wa Lupaso alikipiga kiberiti. Alikuwa anaficha madudu gani ???
 
Ila kusema kwamba Tanzania ilikuwa haifahamu kwamba Marekani, Uingereza na Israel zilikuwa zinahusika nyuma ya Rwanda na Uganda napata ukakasi.
👍
Ila MIMI mwenyewe nafikili hata Tanzania wangejaribu kuzuia genocide SIDHANI kama wangefanikiwa kutokana ile issue ilikuwa ni mkakati kabisa.
 
Mzee Nyerere alikuwa hafahamu kinachoendelea nyuma ya pazia na hawa vijana wake Kagame na Museveni aliowakuza mwenyewe. Nazidi kupata ukakasi.
NIMEWAHI KUONA DOCUMENTARY MOJA KUHUSU Kifo cha mwanzilishi wa RPF and RPA rafiki wa MU7 mejar general fred rwigema. Ambapo PK alihusika na kifo kile.
Niliiona kuwa MU7 na wenzie na PK na mwenzako wameishi WOTE hapa DSM mpaka nyumba yao walionyesha.
 
Umuofia kwenu,

Kwa nje utasikia waRwanda wakijisifia kua wako wamoja hawana tena ukabila, wanapendana, wanashirikiamda bla bla bla ila maajabu wote wanaoimba hizi ngonjera 10 out of 10 hua ni waTutsi.

Kutokana na sensa ya 1994 waTutsi ni 14%, waHutu 85% na waTwa ni 1% lakini vyeo vyote naomba kurudia VYOTE vya juu wamekalia waTutsi wakati wao ni 14% tu ya population. imagine
Rais - mTutsi,
Security adviser - mTutsi,
Chief of Staff - mTutsi,
Waziri wa Ulinzi- mTutsi,
Mageneral wote 4 - waTutsi,
Maluteni general wote 4 -waTutsi, Mamejor general 15 wote - waTutsi, Mabrigedia general 23 wote -waTutsi !!.

Hali iko hivyo hivyo kwa wakuu wa idara za serikali, maofisa wa serikali, wakurugenzi wa mashirika nk. Yani kama una dsTV na hua unatazama RwandaTV utakubaliana na mimi kwenye taarifa zao za habari utaona viongozi wote wa Rwanda hua ni waTutsi tupu na hata watu wote kwenye nyadhifa za maana utawaona waTutsi tupu. Ikumbukwe kuna maelfu ya wakimbizi wa kiHutu hapa Tanzania waliokataliwa kurudi kwao wa wengine wengi nchi tofauti tofauti ikiwemo Uganda, Kenya, Afrika Kusini nk

Hivi hili likoje ?!, Raia wa Rwanda waliouana kwa mamillion 1994 kisa ukabila wanalionaje hili kua sawa ?! na je hili jambo halina madhara yoyote kwa kanchi haka kwenye size ya mkoa wa Tabora?

View attachment 2281960
Mkuu mkoa wa Tabora ni mkubwa sana. Rwanda inalingana na wilaya ya Sikonge. Google alafu tuletee mrejesho!
 
Sasa inatuhusu nini sisi watanzania?
Fungua medula yako mkuu, duniani tunaishi kama kijiji sasa hivi. Rudi shule ukasome maana naona bado ujinga uliokuwa nao haujafutika hata for 2% only.
 
Nakusoma mkuu! Aliyeandika hii barua ni Jaji Gerlad Gahima, aliyewahi kuhudumu kule The International Criminal Tribunal For The Former Yugoslavia (ICTY). Siku hizi amekuwa mkimbizi akidai anataka kuuwawa na General Paul Kagame.

Kuna mahojiano yake alifanya na Tshaka Salli kuhusu makosa ya kimataifa yanayofanyika ukanda huu wa maziwa makuu (Great Lake Regions), na udhaifu wa makakama za kimataifa kama The International Criminal Court (ICC).

Humo ndani amekiri kwamba General Kagame na Museveni wamefanya uhalifu mkubwa mno dhidi ya binadamu. Kumbuka huyu alikuwa ni mwanachama kindakindaki wa RPF, hivyo anafahamu fika anachokisema.

Nikirudi kuhusu siasa za Rwanda Circa 1994: Kuna maswali mengi yameachwa zaidi ya majibu. Machache ni hayo niliyokuuliza hivi punde. Ila kusema kwamba Tanzania ilikuwa haifahamu kwamba Marekani, Uingereza na Israel zilikuwa zinahusika nyuma ya Rwanda na Uganda napata ukakasi.

Serikali ya Tanganyika ina mkono mrefu mno kuliko ambavyo wengi tunapenda kukashifu na kudanganyana humu ndani. Kwamba Mzee Nyerere alikuwa hafahamu kinachoendelea nyuma ya pazia na hawa vijana wake Kagame na Museveni aliowakuza mwenyewe. Nazidi kupata ukakasi.

Swali jingine: Wakati mauaji ya Raisi Juvenile na Cyprian yanafanyika, Umoja wa Afrika (O.A.U) walipendekeza iundwe kamati maalumu ya uchunguzi. Kuuwawa wakuu wawili wa nchi, tena kwa kombora ni jambo zito ambalo ilibidi litiliwe mkazo. Kule O.A.U mambo yalienda kimaajabu. Unafahamu nani alikuwa ni Katibu Mkuu (Secretary General) wa O.A.U wakati wakulungwa wanapendekeza uchunguzi ufanyike ???

Kijana mwingine wa Mzee Nyerere kutoka visiwani: Dr Salim Ahmed Salim....

NB: Come to think of it, the Great Lake Region is another Wild-Wild West. Full of lawlessness, megalomania, greed, political fiascos and military adventurism. You look at Kagame, Museveni, Tsishikedi and Kiir is like I'm watching The Movie: Mad Max, Furry Road (It's just diabolical)

Binafsi ningekuwa na mamlaka makubwa ningeifunga kabisa Tanganyika, isijuhusishe hata kidogo na hizi siasa za Uganda, Rwanda, Burundi na Kongo bila sababu maalum. EAC ingebaki na nchi tatu tu za mwanzoni. Hawa wengine wangekuwa waalikwa tu (Observers)

Watutsi, Wahutu, Wasudani na Wakongo wayamalize matatizo yao wenyewe. Sisi nasi (Tanganyika) tufanye yetu, maana ni mengi mno tena mazito...
YAO NAKUELEWA.
ISSUE YA MAUAJI YA KIMBALI RWANDA NI ISSUE PANA SANA UKIANZA KUCHUNGUZA UTAKUTA WAHUSIKA NI WENGI SANA HASA NCHI KUBWA.
USA NDO MUHUSIKA MKUU UNDER BILL
CLITON.
NA ndo maana bill CLITON na kagame ni marafiki sana tena sana na ndie anayemtetea mpaka leo. Anamuita SHUJAA.
arton25707.jpg

9447054368_4da2883871_b.jpg
Bill-Clinton-in-Rwanda-wi-008.jpg
Chelsea-Clinton-Bill-Clin-006-2.jpg

Na issue ilikuja kwa nini wahutu wakimbizi walikimbilia congo pamoja na millitia(interahamwe) na ex far.
Ila ikaonekana RPA walikuwa wanapigana kuelekea kigali kwa UPANDE wa mashairiki yani kutoka kaskazini kwenda mashairiki kuelekea kusini mwa rwanda then kwenda magaidi.
Na ikaonekana kumbe ilikuwa na mchezo ulipangwa ililenga congo(zaire)
 
Kuna siku Mwalimu Nyerere aliwahi kualikwa na Raisi Mobutu kule kijijini kwao Gbadolite. Ilibidi apande ndege ili kufika lakini baadaye Mwalimu Nyerere akatoa udhuru wa ghafla kwamba hatafika. Raisi Mobutu alionesha kukasirika sana...

Kwanini Mobutu alikasirika vile ???....

NB: Hivi kwanini kile kitabu ambacho Mzee Nyerere alikiandika mwishoni wa uhai wake, yule jamaa wa Lupaso alikipiga kiberiti. Alikuwa anaficha madudu gani ???
On a side note, hivi unakumbuka katika maadhimisha ya miaka 100 ya Maisha ya mwalimu Nyerere, familia ya Nyerere ilialika watu wengi sana waliofanya kazi na mwalimu, na watu waliokuwa karibu na mwalimu ikiwemo familia ya kawawa, mzee Mwinyi na watu kedekede lakini hakukuwa na mtu kutoka familia ya Mkapa!.
Na kitu kingine, Mkapa alipokufa, Familia ya Mwalimu ni kama vile ilijieweka mbali, hatukumuona mama Maria akienda ila alipokufa Magufuli mama Maria huyohuyo akaenda msibani
HIVI KUNA SIRI GANI KATI YA MKAPA NA NYERERE?
 
Aise tungemnyoa ndevu PK kwa chupa. Wakati huo nilikua Mwanza ile kambi ya jesh 602 Ilemela ilijengewa uwanja wa ndege haraka yakawa yanatua madege ya kila aina mule ndani marufuku zikabandikwa hakuna kusogea wala kupiga picha.

kuna treni zakawa zinaleta mabehewa yamefunikma yanaelekezwa 602 Ilmela wajuba wakawa wanasema ni silaha nzito nzito zinasogezwa.
Kagame angetupasua bongo
 
Back
Top Bottom