Kwanini wazazi wengi bado wako 'obsessed' na As na Bs za matokeo ya mitihani?

Wewe ulitaka watangaze nini sasa.Binadqmu tuna kazi sana Kusolve matatizo au kutokusolve ka mtu na definition yake na uwezi kulinganisha
 
Tatizo Tz siasa nyingi.Tusilaumu TOs wakati mfumo wa elimu ni mbovu hivyo wao wameongoza kwa kukariri tu.Vilevile kuna watu kila siku wanakuwa creative hapa bongo ingawa hawana elimu ya kutosha.Ila wanaishia wapi mkuu zaidi ya kupewa pongezi hatimaye hasikiki tena.Wawe wamefaulu au wamefeli mitihani suala la kufanikiwa kimaisha hapa bongo ni zari tu au kanjanja zako.Hiyo elimu inaweza isitumike kabisa.
#UKIRITIMBA NI ADUI WA MAENDELEO.
Nipe mfano wa hzo problems ambazo zimesoviwa na hao genius!!

Nchi inatangaza magenious kila mwaka afu nch hyo hyo inaenda kujenga stand kuu ya kimataifa kwny swamp area kabisa,,,, like WTF are those u call dem genious
 
Tanzania One/genius akifika chuo anaitwa best student, akifika mtaani anapanga foleni na kuzunguka na bahasha huko wanamuita jobless.

Nafikiri Tanzania kuna matatizo ya kimaadili kuanzia katika ngazi ya familia haya yanapelekea matatizo makubwa ya kimfumo.
 
Tuna upuuzi mwingi kufikiria best student ni yule anayefanya vizuri darasani na tunashindwa kuwatambua watu kwenye holistic education
 
Hilo ni swala lingine na ni tatizo la nchi kiujumla, lkn bado ukweli unabakia kuwa ukweli kwamba mtoto anayefaulu vizuri ( sana) ana nafasi kubwa ya kufanikiwa maishani kuliko yule wa wastani .
Unaposema mtu kafanikiwa uweke waz ktk nyanja ipi kimaisha......kiujumla sote tunalenga kufaninikuwa kiuchumi zaid kuliko nyanja nyingnezo......ktk list (top 10) ya matajir dunian au hata Tanzania hakuna kipanga (As au dv 1) wanaosadikika kama ndio ma*genius kwa kipimo cha ufaulu......fikir sana mwananchi.....binafsi nimepta huku na nimepambania sana hzo A kama si mungu na background ya utafutaj ya familia yang bas nadhan utajir ungekuwa muujiza kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…