Kwanini wazazi wengi hamthamini malazi ya watoto

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Walikua wanamlia timing
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watoto wangu wananiona mnoko kila niingiapo chumbani kwao kuangalia usafi na mpangilio wao.Na siachi kuwatembelea.Huwa nawaambia wapo kambi ya jeshi na mimi ni CO wao.
 
Mleta post ana kitu huyu asipuuzwe,,

Ni kwl mkuu watu wengi hawathamini wanapolala watoto wao.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Wazazi wachache sana wanaojali mahala ambapo watoto wana lala yani tunasahau mahitaji ya binadamu ni chakula, mavazi, na magazine

Sasa siye tumekomaa na chakula tu kuhusu malazi bora wallet yNi mtu anazaa ajui wanae wataishi vipi, mara watogo wallet sebuleni, wengine awaombee wakalale kwa jirani yani ni tafrani, kweli maisha , magumu ila tunawakosea sana watoto magazine, mwingie kununulia , mtoto nguo mpaka sikuu, au mtoto yeye anavaaga nguo za baba tu ikichoka mze😂😂😂e anaenda ipunguza anavaa dogo au mama anampa nguo binti inapunguzwa tu so watoto wanakuwa wao wazee wa second hand
 
Mleta mada anajinadi kwa usafi wa vyumba vya watoto wake, lakini siku likija kumkuta jambo na majirani wakaona watoto wake wanapo lala ndio itakua kama ya baba J na bakuli la bati wakati anaduka la vyombo standard vya nyumbani..🤣
Miye naongelea uhalisia wa jamii zetu sasa unahamisha mada grow up nani kakwambia miye na watoto wapi nimesema watoto wangu, aise jamii yetu ina safari ndefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…