Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Habari zenu Wana wa JF.
Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.
Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.
Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.
1. Je hataki ushirikiano?
2. Hawaamini wenzie?
3. Wenzake ni wala rushwa?
4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?
5. Anataka kujizolea sifa pekee?
6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?
7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?
8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.
Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.
Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.
1. Je hataki ushirikiano?
2. Hawaamini wenzie?
3. Wenzake ni wala rushwa?
4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?
5. Anataka kujizolea sifa pekee?
6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?
7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?
8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?