Kwanini Waziri January Makamba anaongoza majadiliano ya Wizara peke yake?

Kwanini Waziri January Makamba anaongoza majadiliano ya Wizara peke yake?

Habari zenu Wana wa JF.

Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.

Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.

Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.

1. Je hataki ushirikiano?

2. Hawaamini wenzie?

3. Wenzake ni wala rushwa?

4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?

5. Anataka kujizolea sifa pekee?

6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?

7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?

8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Katiba mpya ni jibu......
na kila siku tunazidi kuona umuhimu wa katiba Mpya
 
Habari zenu Wana wa JF.

Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.

Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.

Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.

1. Je hataki ushirikiano?

2. Hawaamini wenzie?

3. Wenzake ni wala rushwa?

4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?

5. Anataka kujizolea sifa pekee?

6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?

7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?

8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
January alisomeshwa na baba yake marekani sijui vyuo gani. Binafsi simuamini chembe. Ni mtafuta ukuu na mali mkubwa. Hatutakubali biashara ya kuuza mashirika ya umma tena. Ajiandae kupingwa vikali.
 
Makamba anakataa majungu?
Waziri yeye anacho kitaka ni taarifa za kweli sio majungu.
kuna tofauti kati ya majungu na taarifa za kweli.
majungu na taarifa au habari za uongo zenye nia ya kumharibia au kumchafua mfanyakazi mwenzako.
 
Habari zenu Wana wa JF.

Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.

Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.

Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.

1. Je hataki ushirikiano?

2. Hawaamini wenzie?

3. Wenzake ni wala rushwa?

4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?

5. Anataka kujizolea sifa pekee?

6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?

7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?

8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Anataka kuonyesha kuwa yeye ni jeshi la mtu mmoja ili apate umaarufu lumuumbua yule mwongo mwongo aliedanymganya umma kuwa mwaka kesho eti bwawa litaanza kufanya kazi wakati unaambiwa kujaa maji tuu ni miaka 5
 
Wafitini wa JF hawa, wamejaa humu kibao, wakishashiba wanakurupuka na kuandika upupu wao, nimemuwekea attachments hapo juu, hamna kikao January kafanya mwenyewe bila kushirikiana na watu! Kwa sasa kaenda Saudi na hajaenda peke yake, kaenda na baadhi ya wasaidizi wake! Hili Taifa linolotegemea Machinga kuweka kiongozi wa nchi shida sana
Koma kabisa kudharau wamachinga, no kiongozi gani wa wamachinga?
 
Vita mnavyompiga sidhani kama itawasaidia na watz watanufaika nayo, mwacheni afanye kazi, kama una ushindi wa tuhuma yeyote peleka kunakostahili ifanyiwe kazi!
 
Huyu ndiye mwenyewe, ktk Twitter anapost akiwa peke yake na kudai leo nimeongea na ........... nk. Tena hatumii lugha ya kiswahili.
Kwa lugha nyingine tunasema kuwa anajichoosha tu
 
Interesting question...
Manake hata akifanya sahihi akija kuondoka tunarudi kule kule...
Akikosea ndo kabisa hakuna wa Ku explain vision ilikuwa ipi...

January awe makini na hii wizara..inaongoza kwa kuua career za wanasiasa..

Karamagi
Msabaha
Muhongo
Kalemani..

Orodha ndefu

William Mganga Ngeleja
 
Habari zenu Wana wa JF.

Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.

Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.

Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.

1. Je hataki ushirikiano?

2. Hawaamini wenzie?

3. Wenzake ni wala rushwa?

4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?

5. Anataka kujizolea sifa pekee?

6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?

7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?

8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Keep cool men do not under estimate our system keep cool
 
Mnazi unakatwa huku jameni.... Nasikitika sana vijana wengi hawapo vizuri kwenye maswala ya usalama.
 
Wizara hii ni Kama Maliasili na Utalii...Na Nyinginrzo zenye mahela mengi na Muunganiko Mkubwa na Mahitaji ya Dunia Na biashara Kubwa kubwa...Humezewa Mate na kila mtu...Na Hii Wizara Pia ni kama Idara nyingine za Serikali zenye mapesa Mengi...Hizo huwa na Vita Na Majungu yasiyoisha...

KAMA mnavyojua January ana ndoto awe Rais...Na mara zote hajawahi kuacha sema labda kimkakati anamuachia mama Aendelee mpaka 2030 huku na yeye akiwa ndani ya baraza akiendelea Kujipanga by then awe na Nguvu zote tu za watu nje na ndani na pia uchumi imara.

Nadhani anaendelea kujijenga vizuri taratibu akilenga 2030.
Ni wizara yenye kugusa watu na yenye madili mengi makubwa sijui atanusurikaje na mitego ya hii Wizara..Naamini kipindi cha Mwamba isingeyokea kamwe eti waziri kaalikwa na Mwenzie wa Saudia kwenda huko kuongea masuala ya fursa za hapa.
Wanazijua tayari .
Umeelewa ndio maana umechambua vizuri mkuu.....sema hawezi kuwa rais.....ila atakuwa waziri mkuu
 
Unadhani hatojulikana?

Akifanya pupa wenzie hao career civil servants watamtegea bomu halafu litamlipukia na huo ndio utakuwa Mwisho wake!!!
January should take extra care because he has many enemies internally and externally.
 
Back
Top Bottom