Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
R.I.P HamzaEti kila kukichwa wanataka nchi kwa ulemavu huu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P HamzaEti kila kukichwa wanataka nchi kwa ulemavu huu!
Katiba mpya ni jibu......Habari zenu Wana wa JF.
Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.
Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.
Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.
1. Je hataki ushirikiano?
2. Hawaamini wenzie?
3. Wenzake ni wala rushwa?
4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?
5. Anataka kujizolea sifa pekee?
6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?
7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?
8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Nshimiye mukeshimana upo!R.I.P Hamza
Nakuona MURENGEERA RWAMUHURU.Nshimiye mukeshimana upo!
January alisomeshwa na baba yake marekani sijui vyuo gani. Binafsi simuamini chembe. Ni mtafuta ukuu na mali mkubwa. Hatutakubali biashara ya kuuza mashirika ya umma tena. Ajiandae kupingwa vikali.Habari zenu Wana wa JF.
Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.
Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.
Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.
1. Je hataki ushirikiano?
2. Hawaamini wenzie?
3. Wenzake ni wala rushwa?
4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?
5. Anataka kujizolea sifa pekee?
6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?
7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?
8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Waziri yeye anacho kitaka ni taarifa za kweli sio majungu.Makamba anakataa majungu?
Anataka kuonyesha kuwa yeye ni jeshi la mtu mmoja ili apate umaarufu lumuumbua yule mwongo mwongo aliedanymganya umma kuwa mwaka kesho eti bwawa litaanza kufanya kazi wakati unaambiwa kujaa maji tuu ni miaka 5Habari zenu Wana wa JF.
Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.
Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.
Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.
1. Je hataki ushirikiano?
2. Hawaamini wenzie?
3. Wenzake ni wala rushwa?
4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?
5. Anataka kujizolea sifa pekee?
6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?
7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?
8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Koma kabisa kudharau wamachinga, no kiongozi gani wa wamachinga?Wafitini wa JF hawa, wamejaa humu kibao, wakishashiba wanakurupuka na kuandika upupu wao, nimemuwekea attachments hapo juu, hamna kikao January kafanya mwenyewe bila kushirikiana na watu! Kwa sasa kaenda Saudi na hajaenda peke yake, kaenda na baadhi ya wasaidizi wake! Hili Taifa linolotegemea Machinga kuweka kiongozi wa nchi shida sana
Huyu ndiye mwenyewe, ktk Twitter anapost akiwa peke yake na kudai leo nimeongea na ........... nk. Tena hatumii lugha ya kiswahili.Kwanini wewe usiwe ndiye mpashukuna?
Kwa lugha nyingine tunasema kuwa anajichoosha tuHuyu ndiye mwenyewe, ktk Twitter anapost akiwa peke yake na kudai leo nimeongea na ........... nk. Tena hatumii lugha ya kiswahili.
Interesting question...
Manake hata akifanya sahihi akija kuondoka tunarudi kule kule...
Akikosea ndo kabisa hakuna wa Ku explain vision ilikuwa ipi...
January awe makini na hii wizara..inaongoza kwa kuua career za wanasiasa..
Karamagi
Msabaha
Muhongo
Kalemani..
Orodha ndefu
JF ya sasa imejaa wazushi, wafitini na matahira kama wewe muanzisha mada
View attachment 1984963
View attachment 1984964
View attachment 1984965
View attachment 1984966
View attachment 1984967
Keep cool men do not under estimate our system keep coolHabari zenu Wana wa JF.
Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.
Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.
Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.
1. Je hataki ushirikiano?
2. Hawaamini wenzie?
3. Wenzake ni wala rushwa?
4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?
5. Anataka kujizolea sifa pekee?
6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?
7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?
8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Nimekuambia hapo juu leta uthibitisho wa vikao alivyofanya mwenyewe bila kushirikisha wasaidizi wake unarukaruka tu kama jingaKoma kabisa kudharau wamachinga, no kiongozi gani wa wamachinga?
....'lakini si kwa mabaya bali kwa mema'Mtanikumbuka!
Anakwepa mabwege pale wizarani.huyo waziri huwa namuona smart kimtindo, lakini kama anafanya hivyo huenda ikawa kuna shida mahali.
Umeelewa ndio maana umechambua vizuri mkuu.....sema hawezi kuwa rais.....ila atakuwa waziri mkuuWizara hii ni Kama Maliasili na Utalii...Na Nyinginrzo zenye mahela mengi na Muunganiko Mkubwa na Mahitaji ya Dunia Na biashara Kubwa kubwa...Humezewa Mate na kila mtu...Na Hii Wizara Pia ni kama Idara nyingine za Serikali zenye mapesa Mengi...Hizo huwa na Vita Na Majungu yasiyoisha...
KAMA mnavyojua January ana ndoto awe Rais...Na mara zote hajawahi kuacha sema labda kimkakati anamuachia mama Aendelee mpaka 2030 huku na yeye akiwa ndani ya baraza akiendelea Kujipanga by then awe na Nguvu zote tu za watu nje na ndani na pia uchumi imara.
Nadhani anaendelea kujijenga vizuri taratibu akilenga 2030.
Ni wizara yenye kugusa watu na yenye madili mengi makubwa sijui atanusurikaje na mitego ya hii Wizara..Naamini kipindi cha Mwamba isingeyokea kamwe eti waziri kaalikwa na Mwenzie wa Saudia kwenda huko kuongea masuala ya fursa za hapa.
Wanazijua tayari .
Unadhani hatojulikana?