Kwanini Waziri January Makamba anaongoza majadiliano ya Wizara peke yake?

Kwanini Waziri January Makamba anaongoza majadiliano ya Wizara peke yake?

Habari zenu Wana wa JF.

Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.

Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.

Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.

1. Je hataki ushirikiano?

2. Hawaamini wenzie?

3. Wenzake ni wala rushwa?

4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?

5. Anataka kujizolea sifa pekee?

6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?

7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?

8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Vision 2030
 
Jibu hoja wacha vihoja
Hoja imejibiwa kwa ushahidi wa picha kwamba hajafanya kikao peke yake kama mleta mada alivodai.Sasa wewe weka ushahidi wa kupinga huu ushahidi au kaa kimya na wacha kushabikia majungu.
 
Hoja imejibiwa kwa ushahidi wa picha kwamba hajafanya kikao peke yake kama mleta mada alivodai.Sasa wewe weka ushahidi wa kupinga huu ushahidi au kaa kimya na wacha kushabikia majungu.
Chama Cha Majungu.
Naamini umeelewa wewe mgeni wa siasa
 
Ndio ujinga wako wa generalisation bila ushahidi wowote.Umeletewa ushahidi wa picha na majina ya waliohudhuria vikao hivyo unabaki kupayuka. Huo ugwiji wako wa kisiasa ni kuongea pumba na kuunga mkono majungu.
 
Mjinga anaposhindwa kutetea hoja yake au kupinga hoja kwa hoja na ushahidi hukimbilia matusi.
 
Habari zenu Wana wa JF.

Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.

Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.

Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.

1. Je hataki ushirikiano?

2. Hawaamini wenzie?

3. Wenzake ni wala rushwa?

4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?

5. Anataka kujizolea sifa pekee?

6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?

7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?

8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
Mwizi wa Mitihani Kidato cha nne kapewa Wizara ya Nishati
 
Ni muendelezo wa kupita bila kupingwa.
Ukiingia katika ukurasa wa Twitter wa Mheshimiwa January Makamba Waziri wa Nishati, utabaini Jambo.

Jambo hilo sio jingine bali ni yeye kualika wataalamu na wadau wa Nishati kutoka maeneo mbalimbali duniani. Wataalamu hawa wamekuwa wakija wizarani ama waziri kukutana nao popote.

Jambo lisilo la kawaida humuoni Makamba akiwa na Katibu Mkuu Wizara, Naibu Waziri, Naibu Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Nishati, au Wa TANESCO, Wataalamu wa Mazingira, Mwanasheria nk.

1. Je hataki ushirikiano?

2. Hawaamini wenzie?

3. Wenzake ni wala rushwa?

4. Anajiamini kuwa Mbunifu na msimamizi Bora kuliko wote wizarani na wizara za kisekta?

5. Anataka kujizolea sifa pekee?

6. Wenzie wamemsusa na wamekaa pembeni kumsubiri aharibu?

7. Waziri pekee kiitifaki ndiye anayepaswa kuongoza mijadala?

8. Iko wapi dhana ya Collective responsibility au uwajibikaji wa pamoja?
 
Dhana ya collective responsibility haimaanishi uwajibikaji wa pamoja Kati ya Waziri na Katibu Mkuu, wala maafisa, bali Collective responsibility inatumika kumaanisha uwajibikaji wa pamoja miongoni mwa mawaziri wa Serikali bila kujali wizara zao.
 
Back
Top Bottom